Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,395
- 2,391
Kutokana na makusanyo mapya ya kodi ya uzalendo kupitia miamala ya simu,serikali iandae system ya wazi kutrack hizi tozo na kuonyesha kila mchangiaji.
Itapendeza sana kama watanzania tutaona wenyewe kupitia system itakayoandaliwa iwe ni website au app. Kama walivyofanya CDM mwaka fulani kuona kiasi kinachochangiwa.
FAIDA YA HIYO SYSTEM.
Hicho chama kilifanikiwa sana kwenye kipande hicho,na kila mtu aliona kwa uwazi ukituma tsh 100 unaona kwenye huo muundo (sio lazma kuonyesha majina)
Kama inavyofanya mitandao ya simu serikali pia inaweza kufanya hivyo hata kwa wasio kuwa na simu janja. Yani kuwe na options mbili,ya App na USSD kwa wale wenye simu zisizokuwa na muunganisho wa data(viswaswadu,vitochi).
Je hili wazo linafaa au sio la ulazima?
Itapendeza sana kama watanzania tutaona wenyewe kupitia system itakayoandaliwa iwe ni website au app. Kama walivyofanya CDM mwaka fulani kuona kiasi kinachochangiwa.
FAIDA YA HIYO SYSTEM.
- Kwanza itamuahamasisha mlipaji.
- Pili ni rahisi kufuatilia kiasi kilichopo na kilichotoka.
- Tatu itajenga imani katia ya mlipaji na mpokeaji (serikali)
- Nne kuthibiti wizi(ngumu fisadi kufikiria jinsi ya kuziiba sababu tutazihoji)
Hicho chama kilifanikiwa sana kwenye kipande hicho,na kila mtu aliona kwa uwazi ukituma tsh 100 unaona kwenye huo muundo (sio lazma kuonyesha majina)
Kama inavyofanya mitandao ya simu serikali pia inaweza kufanya hivyo hata kwa wasio kuwa na simu janja. Yani kuwe na options mbili,ya App na USSD kwa wale wenye simu zisizokuwa na muunganisho wa data(viswaswadu,vitochi).
Je hili wazo linafaa au sio la ulazima?
Upvote
21