SoC01 Kodi ya Uzalendo: Ushauri wangu kwa Serikali jinsi ya kuthibiti na kujenga imani kwa walipaji

SoC01 Kodi ya Uzalendo: Ushauri wangu kwa Serikali jinsi ya kuthibiti na kujenga imani kwa walipaji

Stories of Change - 2021 Competition

Tomaa Mireni

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
2,395
Reaction score
2,391
Kutokana na makusanyo mapya ya kodi ya uzalendo kupitia miamala ya simu,serikali iandae system ya wazi kutrack hizi tozo na kuonyesha kila mchangiaji.

Itapendeza sana kama watanzania tutaona wenyewe kupitia system itakayoandaliwa iwe ni website au app. Kama walivyofanya CDM mwaka fulani kuona kiasi kinachochangiwa.

FAIDA YA HIYO SYSTEM.
  • Kwanza itamuahamasisha mlipaji.
  • Pili ni rahisi kufuatilia kiasi kilichopo na kilichotoka.
  • Tatu itajenga imani katia ya mlipaji na mpokeaji (serikali)
  • Nne kuthibiti wizi(ngumu fisadi kufikiria jinsi ya kuziiba sababu tutazihoji)

Hicho chama kilifanikiwa sana kwenye kipande hicho,na kila mtu aliona kwa uwazi ukituma tsh 100 unaona kwenye huo muundo (sio lazma kuonyesha majina)

Kama inavyofanya mitandao ya simu serikali pia inaweza kufanya hivyo hata kwa wasio kuwa na simu janja. Yani kuwe na options mbili,ya App na USSD kwa wale wenye simu zisizokuwa na muunganisho wa data(viswaswadu,vitochi).

Je hili wazo linafaa au sio la ulazima?
 
Upvote 21
Kutokana na makusanyo mapya ya kodi ya uzalendo kupitia miamala ya simu,serikali iandae system ya wazi kutrack hizi tozo na kuonyesha kila mchangiaji.

Itapendeza sana kama watanzania tutaona wenyewe kupitia system itakayoandaliwa iwe ni website au app. Kama walivyofanya CDM mwaka fulani kuona kiasi kinachochangiwa.

FAIDA YA HIYO SYSTEM.
  • Kwanza itamuahamasisha mlipaji.
  • Pili ni rahisi kufuatilia kiasi kilichopo na kilichotoka.
  • Tatu itajenga imani katia ya mlipaji na mpokeaji (serikali)
  • Nne kuthibiti wizi(ngumu fisadi kufikiria jinsi ya kuziiba sababu tutazihoji)

Chadema walifanikiwa sana kwenye kipande hicho,na kila mtu aliona kwa uwazi ukituma tsh 100 unaona kwenye huo muundo (sio lazma kuonyesha majina)

Kama inavyofanya mitandao ya simu serikali pia inaweza kufanya hivyo hata kwa wasio kuwa na simu janja. Yani kuwe na options mbili,ya App na USSD kwa wale wenye simu zisizokuwa na muunganisho wa data(viswaswadu,vitochi).

Je hili wazo linafaa au sio la ulazima?
Ni ushauri mzuri. Serikali wazingatie ili kuwapa hamasa wananchi kuchangia zaidi.
 
Back
Top Bottom