Kodi ya VAT ifumuliwe. It's a complex sales tax iliyojaa ujanja mwingi na upigaji. Itozwe kwenye source pekee as a sales tax na kusiwe na tax returns

Kodi ya VAT ifumuliwe. It's a complex sales tax iliyojaa ujanja mwingi na upigaji. Itozwe kwenye source pekee as a sales tax na kusiwe na tax returns

Wataalamu wa kodi wafuatilie mfumo wa kodi wa nchi ya Canada ambao kinacho rudishwa kwa jamii kinaoneka dhahiri na kwa mlipa kodi ,(as an individual), yaani kwako mwenyewe mlipa kodi, mfano endapo mlipa kodi anakosa ajira ama changamoto ,mfumo umtambue ambao hata ukasimamishwa ajira unalipiwa kodi ya nyumba na posho ya chakula kwakifupi uwe ni mfumo ambao kila mmjo apate faida nao usipo utumia inakula kwako
 
Wataalamu wa kodi wafuatilie mfumo wa kodi wa nchi ya Canada ambao kinacho rudishwa kwa jamii kinaoneka dhahiri na kwa mlipa kodi ,(as an individual), yaani kwako mwenyewe mlipa kodi, mfano endapo mlipa kodi anakosa ajira ama changamoto ,mfumo umtambue ambao hata ukasimamishwa ajira unalipiwa kodi ya nyumba na posho ya chakula kwakifupi uwe ni mfumo ambao kila mmjo apate faida nao usipo utumia inakula kwako
 
Ukweli ni kwamba kila mtanzania kuanzia akiwa tumboni mwa mama yake analipa kodi ya serikali bila yeye kujua kodi hiyo iko kwenye mfumo wa indirect taxation.

Mfumo huu ni very friendly na hakuna mtu wa kuukwepa hata kama ni mtoto mchanga. Kodi hii iko kwenye kila bidhaa au huduma anayonunua. Mama mjamzito hugawana chakula na mtoto wake aliye tumboni ambacho kalipia kodi.

Tatizo letu ni huu mfumo wa VAT wa kukusanya hiyo indirect taxes za bidhaa na huduma ambazo kila mtanzania hununua. Yaani mfumo uko complex uliojaa ujanja mwingi unaotoa mianya mingi kwa pesa hizo nyingi kuishia kwenye matumbo ya wajanja.

Mfumo wenyewe uko hivi: Chukua mfano kiwanda kinachozalisha bidhaa fulani hususani sementi. Baada ya uzalishaji kiwanda kinapanga kuuza hiyo sementi TZS 10,000 kila mfuko kikiwa kimezingatia gharama na faida ya uzalishaji huo na ushindani wa soko uliopo. Serikali haingilii bei hiyo ya mwenye kiwanda (which is very good).

Badala yake inamwambia serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda aongeze TZS 2,000 kwenye kila mfuko ambayo itakuwa ni kodi ya serikali atakapoiuza (sales tax). Hadi hatua hiyo bado ni very good.

Tatizo na ujanja unaanzia baada ya hatua hiyo. Serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda kwamba hiyo TZS 2,000 kwa kila mfuko serikali itamrudishia mwenye kiwanda baada ya serikali (TRA) kupata (VAT) tax returns kutoka muuzaji wa mwisho wa rejareja (retail) aka mmachinga huko Sumbawanga.

Mwenye kiwanda huuza bidhaa zake kwa wholesalers. Hivyo mfuko mmoja wa sementi mwenye kiwanda atamuuzia wholesaler kwa TZS 12,000. Huyu wholesaler naye atapanga bei atakayoiuza hiyo sementi huko Sumbawanga akizingatia gharama ya usafirishaji, faida yake na ushindani wa soko. Bei yake inaweza ikawa TZS 15,000 kwa kila mfuko. TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kama kodi ya serikali (VAT) ambayo atarudishiwa baada huyo atakayemuuzia (retailer) kurejesha tax returns. Hivyo wholesaler atamuuzia retailer mfuko mmoja wa sementi kwa TZS 17,000.

Huyo retailer naye atapanga faida yake na kuona aiuze kwa TZS 20,000. Naye TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kwenye bei hiyo kama VAT na atoe risiti na tax returns. Hivyo bei ya mfuko mmoja wa sementi anaiuza kwa mlaji kwa TZS 22,000.

Katika mfumo huo wa VAT huyo retailer anatakiwa kuandaa na kuwakilisha VAT returns za bidhaa aina zote alizouza kila mwezi ili kuwezesha hao wholesalers na wenye viwanda (source) warejeshewe hizo TZs 2,000 zao. Yeye harudishiwi cho chote.

Mlaji wa mwisho anakuwa ameongezewa TZS 2,000 mara tatu kwenye hiyo thamani ya bidhaa lakini serikali sana sana inaambulia TZS 2,000 tu! Hapo utaona kuna myanya ya wenye viwanda na wholesalers kurejeshewa hizo TZS 2,000 kwa maelewano tu na maafisa wa TRA.

Hapo utaona mapambano ya maafisa wa TRA na retailers kuhusu risiti na tax returns ambao huishia mara nyingi kwa retailers kutoa rushwa kwa maafisa hawa.

Hivyo ndivyo ulivyo mfumo huu wa VAT kwa bidhaa zingine zinazotoka nje ya nchi na ndani ya nchi. Inashangaza zaidi kuwa hata bidhaa zinazozalishwa na taasisi zinazomilikiwa kwa asilimia 100% na serikali nazo zinawekewa kodi ya serikali, yaani serikali inajitoza kodi?

Shirika kama la TANESCO miradi yake imejengwa kwa pesa yetu (kodi zetu). Hata kama baadhi ya pesa iliyotumika tulikopa nje bado kodi zetu zitalipa hilo deni letu. Ni shirika letu, sasa linawezaje kututoza kodi? Sisi ndiyo wenye mamlaka ya kupanga umeme tulipe kwa bei gani ili kuwezesha kulipa mishahara na other charges (OC) za shirika letu zilizopitishwa na bunge letu la bajeti. Ziada ikipatikana inaweza kugharimia mambo mengine hususani madawa na vifaa tiba.

Hitimisho: VAT is nothing but a sales tax. Itozwe mara moja tu kwenye chanzo ya hiyo bidhaa. Kama bidhaa inazalishwa hapa nchini basi huyo mwenye kiwanda pekee ndiye atozwe/ akusanye hiyo kodi na kuiwakilisha serikalini baada ya kuuza bidhaa hiyo.

Hao wholesalers na retail sellers na machinga haiwahusu maana serikali itakuwa ilishachukua kilicho stahili yake. Kama bidhaa inatoka nje ya nchi, serikali ichukue kodi yake pale pale mipakani inapoingilia.

Kwenye zingine kama zile za kilimo na mifugo kodi hii ilipwe kwenye minada mikubwa kutoka kwa wafanya biashara wakubwa wanaonunua bidhaa hizo. Mambo ya kurudishana kodi yawe mwisho.

Kazi ya watumishi wa TRA iwe kwenye maeneo haya tu na kushirikiana na polisi kunasa bidhaa zinazoingia kwa magendo kupitia panya routes. Serikali ni moja. Mambo ya kodi za serikali za mitaa na kodi za serikali kuu (TRA) hayana maana kwa mwananchi.

Zote kwake ni za serikali, wao watajua wanagawana vipi. Mambo ya direct taxations tuachane nayo au yapunguzwe kabisa. Yana maudhi sana na kuwafanya wananchi waichukie serikali yao. Imagine kama kodi ya kichwa ikarejeshwa hata kama ni buku moja tu kwa kila kichwa kwa mwaka, unadhani itakuwaje?
VAT ina ujinga mwingi sana. Huku Marekani tuliikataa.
 
Ukweli ni kwamba kila mtanzania kuanzia akiwa tumboni mwa mama yake analipa kodi ya serikali bila yeye kujua kodi hiyo iko kwenye mfumo wa indirect taxation.

Mfumo huu ni very friendly na hakuna mtu wa kuukwepa hata kama ni mtoto mchanga. Kodi hii iko kwenye kila bidhaa au huduma anayonunua. Mama mjamzito hugawana chakula na mtoto wake aliye tumboni ambacho kalipia kodi.

Tatizo letu ni huu mfumo wa VAT wa kukusanya hiyo indirect taxes za bidhaa na huduma ambazo kila mtanzania hununua. Yaani mfumo uko complex uliojaa ujanja mwingi unaotoa mianya mingi kwa pesa hizo nyingi kuishia kwenye matumbo ya wajanja.

Mfumo wenyewe uko hivi: Chukua mfano kiwanda kinachozalisha bidhaa fulani hususani sementi. Baada ya uzalishaji kiwanda kinapanga kuuza hiyo sementi TZS 10,000 kila mfuko kikiwa kimezingatia gharama na faida ya uzalishaji huo na ushindani wa soko uliopo. Serikali haingilii bei hiyo ya mwenye kiwanda (which is very good).

Badala yake inamwambia serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda aongeze TZS 2,000 kwenye kila mfuko ambayo itakuwa ni kodi ya serikali atakapoiuza (sales tax). Hadi hatua hiyo bado ni very good.

Tatizo na ujanja unaanzia baada ya hatua hiyo. Serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda kwamba hiyo TZS 2,000 kwa kila mfuko serikali itamrudishia mwenye kiwanda baada ya serikali (TRA) kupata (VAT) tax returns kutoka muuzaji wa mwisho wa rejareja (retail) aka mmachinga huko Sumbawanga.

Mwenye kiwanda huuza bidhaa zake kwa wholesalers. Hivyo mfuko mmoja wa sementi mwenye kiwanda atamuuzia wholesaler kwa TZS 12,000. Huyu wholesaler naye atapanga bei atakayoiuza hiyo sementi huko Sumbawanga akizingatia gharama ya usafirishaji, faida yake na ushindani wa soko. Bei yake inaweza ikawa TZS 15,000 kwa kila mfuko. TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kama kodi ya serikali (VAT) ambayo atarudishiwa baada huyo atakayemuuzia (retailer) kurejesha tax returns. Hivyo wholesaler atamuuzia retailer mfuko mmoja wa sementi kwa TZS 17,000.

Huyo retailer naye atapanga faida yake na kuona aiuze kwa TZS 20,000. Naye TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kwenye bei hiyo kama VAT na atoe risiti na tax returns. Hivyo bei ya mfuko mmoja wa sementi anaiuza kwa mlaji kwa TZS 22,000.

Katika mfumo huo wa VAT huyo retailer anatakiwa kuandaa na kuwakilisha VAT returns za bidhaa aina zote alizouza kila mwezi ili kuwezesha hao wholesalers na wenye viwanda (source) warejeshewe hizo TZs 2,000 zao. Yeye harudishiwi cho chote.

Mlaji wa mwisho anakuwa ameongezewa TZS 2,000 mara tatu kwenye hiyo thamani ya bidhaa lakini serikali sana sana inaambulia TZS 2,000 tu! Hapo utaona kuna myanya ya wenye viwanda na wholesalers kurejeshewa hizo TZS 2,000 kwa maelewano tu na maafisa wa TRA.

Hapo utaona mapambano ya maafisa wa TRA na retailers kuhusu risiti na tax returns ambao huishia mara nyingi kwa retailers kutoa rushwa kwa maafisa hawa.

Hivyo ndivyo ulivyo mfumo huu wa VAT kwa bidhaa zingine zinazotoka nje ya nchi na ndani ya nchi. Inashangaza zaidi kuwa hata bidhaa zinazozalishwa na taasisi zinazomilikiwa kwa asilimia 100% na serikali nazo zinawekewa kodi ya serikali, yaani serikali inajitoza kodi?

Shirika kama la TANESCO miradi yake imejengwa kwa pesa yetu (kodi zetu). Hata kama baadhi ya pesa iliyotumika tulikopa nje bado kodi zetu zitalipa hilo deni letu. Ni shirika letu, sasa linawezaje kututoza kodi? Sisi ndiyo wenye mamlaka ya kupanga umeme tulipe kwa bei gani ili kuwezesha kulipa mishahara na other charges (OC) za shirika letu zilizopitishwa na bunge letu la bajeti. Ziada ikipatikana inaweza kugharimia mambo mengine hususani madawa na vifaa tiba.

Hitimisho: VAT is nothing but a sales tax. Itozwe mara moja tu kwenye chanzo ya hiyo bidhaa. Kama bidhaa inazalishwa hapa nchini basi huyo mwenye kiwanda pekee ndiye atozwe/ akusanye hiyo kodi na kuiwakilisha serikalini baada ya kuuza bidhaa hiyo.

Hao wholesalers na retail sellers na machinga haiwahusu maana serikali itakuwa ilishachukua kilicho stahili yake. Kama bidhaa inatoka nje ya nchi, serikali ichukue kodi yake pale pale mipakani inapoingilia.

Kwenye zingine kama zile za kilimo na mifugo kodi hii ilipwe kwenye minada mikubwa kutoka kwa wafanya biashara wakubwa wanaonunua bidhaa hizo. Mambo ya kurudishana kodi yawe mwisho.

Kazi ya watumishi wa TRA iwe kwenye maeneo haya tu na kushirikiana na polisi kunasa bidhaa zinazoingia kwa magendo kupitia panya routes. Serikali ni moja. Mambo ya kodi za serikali za mitaa na kodi za serikali kuu (TRA) hayana maana kwa mwananchi.

Zote kwake ni za serikali, wao watajua wanagawana vipi. Mambo ya direct taxations tuachane nayo au yapunguzwe kabisa. Yana maudhi sana na kuwafanya wananchi waichukie serikali yao. Imagine kama kodi ya kichwa ikarejeshwa hata kama ni buku moja tu kwa kila kichwa kwa mwaka, unadhani itakuwaje?
Umenena vyema.
 
Wafanyabiashara tulipe kodi kama wanavyolipa watumishi. Yaani endapo Serikali ingesema ikomae wafanyabiashara walipe kodi kama inavyotakiwa nadhani zaidi ya 50% wangefunga biashara. VAT ipo kila nchi. HAIKWEPEKI.
 
Kumbe saazingine chawa huuweka pembeni u Zombie isee!

Nimetazama Points zote tangia mtoa mada na wote waliofuatia kuchangia, hii point yako muhimu hawajaiona!

Kama kutakuwa na tax return kwa mzalishaji, whole seler na retailer, sasa wao ni eneo gani watakuwa wamelipa kodi?

Ni mlaji wa mwisho pekee nd'oatakuwa kalipa.

Mfumo huu wenye utata na figisu katika kulipa kodi ufumuliwe na kupangwa upya ili kila mtu awajibike.

Unadhani Kwa nini Serikali iweke VAT Kwa producer ambae mwisho wa siku atakuja kurudishiwa Kwa njia ya returns? What is the logic behind?

How does VAT works?​

Theoretically:

Each registered person in the chain between the first supplier and the final purchaser or user is charged tax on taxable supplies made to him (input tax) and charges tax on taxable supplies made by him (output tax). He pays to the TRA the excess of output tax over input tax, or recovers the excess of input tax over output tax from the Authority. The broad effect of the scheme is that businesses are not affected by VAT except in so far as they are required to administer it, and the burden of the tax falls to the final consumer.

Kwa utaratibu huu, kila mtu angelipa 6% ili mwisho ilete jumla 18%. Unapolipisha kila stage 18% mwisho ni 54% na zaidi kwa mlaji wa mwisho, ambaye ndo mlipaji mkuu.
 
Ukweli ni kwamba kila mtanzania kuanzia akiwa tumboni mwa mama yake analipa kodi ya serikali bila yeye kujua kodi hiyo iko kwenye mfumo wa indirect taxation.

Mfumo huu ni very friendly na hakuna mtu wa kuukwepa hata kama ni mtoto mchanga. Kodi hii iko kwenye kila bidhaa au huduma anayonunua. Mama mjamzito hugawana chakula na mtoto wake aliye tumboni ambacho kalipia kodi.

Tatizo letu ni huu mfumo wa VAT wa kukusanya hiyo indirect taxes za bidhaa na huduma ambazo kila mtanzania hununua. Yaani mfumo uko complex uliojaa ujanja mwingi unaotoa mianya mingi kwa pesa hizo nyingi kuishia kwenye matumbo ya wajanja.

Mfumo wenyewe uko hivi: Chukua mfano kiwanda kinachozalisha bidhaa fulani hususani sementi. Baada ya uzalishaji kiwanda kinapanga kuuza hiyo sementi TZS 10,000 kila mfuko kikiwa kimezingatia gharama na faida ya uzalishaji huo na ushindani wa soko uliopo. Serikali haingilii bei hiyo ya mwenye kiwanda (which is very good).

Badala yake inamwambia serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda aongeze TZS 2,000 kwenye kila mfuko ambayo itakuwa ni kodi ya serikali atakapoiuza (sales tax). Hadi hatua hiyo bado ni very good.

Tatizo na ujanja unaanzia baada ya hatua hiyo. Serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda kwamba hiyo TZS 2,000 kwa kila mfuko serikali itamrudishia mwenye kiwanda baada ya serikali (TRA) kupata (VAT) tax returns kutoka muuzaji wa mwisho wa rejareja (retail) aka mmachinga huko Sumbawanga.

Mwenye kiwanda huuza bidhaa zake kwa wholesalers. Hivyo mfuko mmoja wa sementi mwenye kiwanda atamuuzia wholesaler kwa TZS 12,000. Huyu wholesaler naye atapanga bei atakayoiuza hiyo sementi huko Sumbawanga akizingatia gharama ya usafirishaji, faida yake na ushindani wa soko. Bei yake inaweza ikawa TZS 15,000 kwa kila mfuko. TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kama kodi ya serikali (VAT) ambayo atarudishiwa baada huyo atakayemuuzia (retailer) kurejesha tax returns. Hivyo wholesaler atamuuzia retailer mfuko mmoja wa sementi kwa TZS 17,000.

Huyo retailer naye atapanga faida yake na kuona aiuze kwa TZS 20,000. Naye TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kwenye bei hiyo kama VAT na atoe risiti na tax returns. Hivyo bei ya mfuko mmoja wa sementi anaiuza kwa mlaji kwa TZS 22,000.

Katika mfumo huo wa VAT huyo retailer anatakiwa kuandaa na kuwakilisha VAT returns za bidhaa aina zote alizouza kila mwezi ili kuwezesha hao wholesalers na wenye viwanda (source) warejeshewe hizo TZs 2,000 zao. Yeye harudishiwi cho chote.

Mlaji wa mwisho anakuwa ameongezewa TZS 2,000 mara tatu kwenye hiyo thamani ya bidhaa lakini serikali sana sana inaambulia TZS 2,000 tu! Hapo utaona kuna myanya ya wenye viwanda na wholesalers kurejeshewa hizo TZS 2,000 kwa maelewano tu na maafisa wa TRA.

Hapo utaona mapambano ya maafisa wa TRA na retailers kuhusu risiti na tax returns ambao huishia mara nyingi kwa retailers kutoa rushwa kwa maafisa hawa.

Hivyo ndivyo ulivyo mfumo huu wa VAT kwa bidhaa zingine zinazotoka nje ya nchi na ndani ya nchi. Inashangaza zaidi kuwa hata bidhaa zinazozalishwa na taasisi zinazomilikiwa kwa asilimia 100% na serikali nazo zinawekewa kodi ya serikali, yaani serikali inajitoza kodi?

Shirika kama la TANESCO miradi yake imejengwa kwa pesa yetu (kodi zetu). Hata kama baadhi ya pesa iliyotumika tulikopa nje bado kodi zetu zitalipa hilo deni letu. Ni shirika letu, sasa linawezaje kututoza kodi? Sisi ndiyo wenye mamlaka ya kupanga umeme tulipe kwa bei gani ili kuwezesha kulipa mishahara na other charges (OC) za shirika letu zilizopitishwa na bunge letu la bajeti. Ziada ikipatikana inaweza kugharimia mambo mengine hususani madawa na vifaa tiba.

Hitimisho: VAT is nothing but a sales tax. Itozwe mara moja tu kwenye chanzo ya hiyo bidhaa. Kama bidhaa inazalishwa hapa nchini basi huyo mwenye kiwanda pekee ndiye atozwe/ akusanye hiyo kodi na kuiwakilisha serikalini baada ya kuuza bidhaa hiyo.

Hao wholesalers na retail sellers na machinga haiwahusu maana serikali itakuwa ilishachukua kilicho stahili yake. Kama bidhaa inatoka nje ya nchi, serikali ichukue kodi yake pale pale mipakani inapoingilia.

Kwenye zingine kama zile za kilimo na mifugo kodi hii ilipwe kwenye minada mikubwa kutoka kwa wafanya biashara wakubwa wanaonunua bidhaa hizo. Mambo ya kurudishana kodi yawe mwisho.

Kazi ya watumishi wa TRA iwe kwenye maeneo haya tu na kushirikiana na polisi kunasa bidhaa zinazoingia kwa magendo kupitia panya routes. Serikali ni moja. Mambo ya kodi za serikali za mitaa na kodi za serikali kuu (TRA) hayana maana kwa mwananchi.

Zote kwake ni za serikali, wao watajua wanagawana vipi. Mambo ya direct taxations tuachane nayo au yapunguzwe kabisa. Yana maudhi sana na kuwafanya wananchi waichukie serikali yao. Imagine kama kodi ya kichwa ikarejeshwa hata kama ni buku moja tu kwa kila kichwa kwa mwaka, unadhani itakuwaje?
Zambia walijaribu kuanzisha sales tax 2018 bila kufanya proper research ya implemebtagikn yake. mateokeo yake- haikutekelezeka. Investors lost confidence with the market sababu ingeathiri sectors karibu zote, currency yao ikashuka thamani kwa zaidi ya 40%, waziri wa fedha akatimuliwa na hatumaye raisi akapoteza uchaguzi na upunzani kuingia bungeni. O
 
Wafanyabiashara tulipe kodi kama wanavyolipa watumishi. Yaani endapo Serikali ingesema ikomae wafanyabiashara walipe kodi kama inavyotakiwa nadhani zaidi ya 50% wangefunga biashara. VAT ipo kila nchi. HAIKWEPEKI.
Hakuna anaesema VAT iondolewe, ila ni kiasi gani practically na jinsi ya kuiweka ili mtu wa mwisho mimi, wewe na yule analipa ndo ishu hapa.

Hii si kodi ya mfanyabiashara kama unaelewa vizuri, ni wewe baada ya kukatwa kodi kwenye mshahara unakuja kulipa kodi huku kwa kila kitu unachonunua.
 
Hiyo kodi hata ikilipwa na mzalishaji mwisho wa siku bei ya bidhaa husika kwa mlaji itakuwa imecover na hiyo kodi yake. Hii mifumo ya kikodi iliyopo sasa (ya kufanya VAT Return kwa kila mfanyabiashara) inawanufaisha maafisa wa TRA kwenye upigaji. Na ndiyo maana kelele hapo kariakoo na maeneo mengine haziishi. Sheria zimemtengenezea mazingira mfanyabiashara kama ni mhalifu, hivyo ni kazi kwake sasa kujinasua kutoka kwenye huo mtego ndiyo inapelekea hiyo mianya ya rushwa.

dah imenigusa sana, na huo ndio ukweli wenyewe
 
Ukweli ni kwamba kila mtanzania kuanzia akiwa tumboni mwa mama yake analipa kodi ya serikali bila yeye kujua kodi hiyo iko kwenye mfumo wa indirect taxation.

Mfumo huu ni very friendly na hakuna mtu wa kuukwepa hata kama ni mtoto mchanga. Kodi hii iko kwenye kila bidhaa au huduma anayonunua. Mama mjamzito hugawana chakula na mtoto wake aliye tumboni ambacho kalipia kodi.

Tatizo letu ni huu mfumo wa VAT wa kukusanya hiyo indirect taxes za bidhaa na huduma ambazo kila mtanzania hununua. Yaani mfumo uko complex uliojaa ujanja mwingi unaotoa mianya mingi kwa pesa hizo nyingi kuishia kwenye matumbo ya wajanja.

Mfumo wenyewe uko hivi: Chukua mfano kiwanda kinachozalisha bidhaa fulani hususani sementi. Baada ya uzalishaji kiwanda kinapanga kuuza hiyo sementi TZS 10,000 kila mfuko kikiwa kimezingatia gharama na faida ya uzalishaji huo na ushindani wa soko uliopo. Serikali haingilii bei hiyo ya mwenye kiwanda (which is very good).

Badala yake inamwambia serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda aongeze TZS 2,000 kwenye kila mfuko ambayo itakuwa ni kodi ya serikali atakapoiuza (sales tax). Hadi hatua hiyo bado ni very good.

Tatizo na ujanja unaanzia baada ya hatua hiyo. Serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda kwamba hiyo TZS 2,000 kwa kila mfuko serikali itamrudishia mwenye kiwanda baada ya serikali (TRA) kupata (VAT) tax returns kutoka muuzaji wa mwisho wa rejareja (retail) aka mmachinga huko Sumbawanga.

Mwenye kiwanda huuza bidhaa zake kwa wholesalers. Hivyo mfuko mmoja wa sementi mwenye kiwanda atamuuzia wholesaler kwa TZS 12,000. Huyu wholesaler naye atapanga bei atakayoiuza hiyo sementi huko Sumbawanga akizingatia gharama ya usafirishaji, faida yake na ushindani wa soko. Bei yake inaweza ikawa TZS 15,000 kwa kila mfuko. TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kama kodi ya serikali (VAT) ambayo atarudishiwa baada huyo atakayemuuzia (retailer) kurejesha tax returns. Hivyo wholesaler atamuuzia retailer mfuko mmoja wa sementi kwa TZS 17,000.

Huyo retailer naye atapanga faida yake na kuona aiuze kwa TZS 20,000. Naye TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kwenye bei hiyo kama VAT na atoe risiti na tax returns. Hivyo bei ya mfuko mmoja wa sementi anaiuza kwa mlaji kwa TZS 22,000.

Katika mfumo huo wa VAT huyo retailer anatakiwa kuandaa na kuwakilisha VAT returns za bidhaa aina zote alizouza kila mwezi ili kuwezesha hao wholesalers na wenye viwanda (source) warejeshewe hizo TZs 2,000 zao. Yeye harudishiwi cho chote.

Mlaji wa mwisho anakuwa ameongezewa TZS 2,000 mara tatu kwenye hiyo thamani ya bidhaa lakini serikali sana sana inaambulia TZS 2,000 tu! Hapo utaona kuna myanya ya wenye viwanda na wholesalers kurejeshewa hizo TZS 2,000 kwa maelewano tu na maafisa wa TRA.

Hapo utaona mapambano ya maafisa wa TRA na retailers kuhusu risiti na tax returns ambao huishia mara nyingi kwa retailers kutoa rushwa kwa maafisa hawa.

Hivyo ndivyo ulivyo mfumo huu wa VAT kwa bidhaa zingine zinazotoka nje ya nchi na ndani ya nchi. Inashangaza zaidi kuwa hata bidhaa zinazozalishwa na taasisi zinazomilikiwa kwa asilimia 100% na serikali nazo zinawekewa kodi ya serikali, yaani serikali inajitoza kodi?

Shirika kama la TANESCO miradi yake imejengwa kwa pesa yetu (kodi zetu). Hata kama baadhi ya pesa iliyotumika tulikopa nje bado kodi zetu zitalipa hilo deni letu. Ni shirika letu, sasa linawezaje kututoza kodi? Sisi ndiyo wenye mamlaka ya kupanga umeme tulipe kwa bei gani ili kuwezesha kulipa mishahara na other charges (OC) za shirika letu zilizopitishwa na bunge letu la bajeti. Ziada ikipatikana inaweza kugharimia mambo mengine hususani madawa na vifaa tiba.

Hitimisho: VAT is nothing but a sales tax. Itozwe mara moja tu kwenye chanzo ya hiyo bidhaa. Kama bidhaa inazalishwa hapa nchini basi huyo mwenye kiwanda pekee ndiye atozwe/ akusanye hiyo kodi na kuiwakilisha serikalini baada ya kuuza bidhaa hiyo.

Hao wholesalers na retail sellers na machinga haiwahusu maana serikali itakuwa ilishachukua kilicho stahili yake. Kama bidhaa inatoka nje ya nchi, serikali ichukue kodi yake pale pale mipakani inapoingilia.

Kwenye zingine kama zile za kilimo na mifugo kodi hii ilipwe kwenye minada mikubwa kutoka kwa wafanya biashara wakubwa wanaonunua bidhaa hizo. Mambo ya kurudishana kodi yawe mwisho.

Kazi ya watumishi wa TRA iwe kwenye maeneo haya tu na kushirikiana na polisi kunasa bidhaa zinazoingia kwa magendo kupitia panya routes. Serikali ni moja. Mambo ya kodi za serikali za mitaa na kodi za serikali kuu (TRA) hayana maana kwa mwananchi.

Zote kwake ni za serikali, wao watajua wanagawana vipi. Mambo ya direct taxations tuachane nayo au yapunguzwe kabisa. Yana maudhi sana na kuwafanya wananchi waichukie serikali yao. Imagine kama kodi ya kichwa ikarejeshwa hata kama ni buku moja tu kwa kila kichwa kwa mwaka, unadhani itakuwaje?
Mfano;
Hatua ya kwanza; Mzalishaji anauza mfuko wa saruji 10,000 ataongeza VAT (18%)
10,000 + 18% = 11,800
Atamuuzia muuzaji wa jumla kwa shilingi 11,800. Baada ya mauzo atawasilisha TRA 1,800 kama VAT aliyokusanya.

Hatua ya pili; Muuzaji wa jumla, baada ya kujumlisha gharama zake zote, amepanga kuuza kwa shilingi 15,000. Katika bei hiyo atajumlisha 18% ya VAT.
15,000 + 18% = 17,700.
Muuzaji wa jumla atauza mfuko huo kwa shilingi 17,700 kwa muuzaji wa reja reja, na kuwaslilisha TRA kiasi cha shilingi 900 kama VAT.

Hatua ya tatu; Muuzaji wa reja reja baada ya kununua, amepanga kuuza mfuko kwa 20,000. Katika bei yake hiyo ataongeza 18% ya VAT.
20,000 + 18% = 23,600.
Atauza kwa mtumiaji wa mwisho kwa shilingi 23,600 na kiwasilisha TRA 900 kama VAT.

VAT Inayolipwa = VAT muuzaji anayotoza katika mauzo - VAT anayolipa katika manunuzi.

Katika hatua ya kwanza; VAT katika mauzo kwa mzalshaji- VAT katika manunuzi.
Ametoza 1,800 katika mauzo, hakuna alicholipa katika manunuzi. Atawasilisha 1,800.

Katika hatua ya pili; VAT katika mauzo kwa muuzaji reja reja - VAT katika manunuzi toka kwa mzalishaji.
2700 - 1800 = 900
Baada ya ku-recover VAT aliyolipa katika manunuzi, muuzaji wa jumla anawasilisha kiasi kilichozidi toka katika VAT aliyotoza, anawasilisha 900 kama VAT.

Katika hatua ya tatu; VAT aliyotoza muuzaji wa rejareja - VAT aliyolipa katika manunuzi toka kwa muuzaji wa jumla.
3,600 - 2,700 = 900
Muuzaji wa reja reja anawasilisha 900 iliyozidi toka katika kiasi alichochaji katika mauzo kama VAT baada ya ku-recover gharama za VAT aliyolipa katika manunuzi.

VAT ilivyolipwa katika mnyororo wa thamani.
Mzalishaji amelipa 1,800 + Muuzaji wa jumla amelipa 900 + Muuzaji wa reja reja amelipa 900 = 3,600

Katika mnyororo mlaji wa mwisho amelipa 3,600 kama Vat ( 20,000*18%). Ni kodi ya mlaji katika dhana ya kuwa, mlaji hayuko katika nafasi ya ku-recover kiasi alicholipa kama agents wengine katika mnyororo wa thamani.

Agents wengine ni wakusanyaji tu wa kodi hii, huwasilisha kilichozidi baada ya kufidia kile walicholipa kama VAT wakati wa manunuzi. Agent hurudishiwa (Refunded) ikiwa tu itathibitika alichotoza katika mauzo kama Vat ni kidogo kuliko alicholipa katika mauzo, tofauti iliyopo atafidiwa.

Nadharia ya VAT kwa ufupi.
 
Mfano;
Hatua ya kwanza; Mzalishaji anauza mfuko wa saruji 10,000 ataongeza VAT (18%)
10,000 + 18% = 11,800
Atamuuzia muuzaji wa jumla kwa shilingi 11,800. Baada ya mauzo atawasilisha TRA 1,800 kama VAT aliyokusanya.

Hatua ya pili; Muuzaji wa jumla, baada ya kujumlisha gharama zake zote, amepanga kuuza kwa shilingi 15,000. Katika bei hiyo atajumlisha 18% ya VAT.
15,000 + 18% = 17,700.
Muuzaji wa jumla atauza mfuko huo kwa shilingi 17,700 kwa muuzaji wa reja reja, na kuwaslilisha TRA kiasi cha shilingi 900 kama VAT.

Hatua ya tatu; Muuzaji wa reja reja baada ya kununua, amepanga kuuza mfuko kwa 20,000. Katika bei yake hiyo ataongeza 18% ya VAT.
20,000 + 18% = 23,600.
Atauza kwa mtumiaji wa mwisho kwa shilingi 23,600 na kiwasilisha TRA 900 kama VAT.

VAT Inayolipwa = VAT muuzaji anayotoza katika mauzo - VAT anayolipa katika manunuzi.

Katika hatua ya kwanza; VAT katika mauzo kwa mzalshaji- VAT katika manunuzi.
Ametoza 1,800 katika mauzo, hakuna alicholipa katika manunuzi. Atawasilisha 1,800.

Katika hatua ya pili; VAT katika mauzo kwa muuzaji reja reja - VAT katika manunuzi toka kwa mzalishaji.
2700 - 1800 = 900
Baada ya ku-recover VAT aliyolipa katika manunuzi, muuzaji wa jumla anawasilisha kiasi kilichozidi toka katika VAT aliyotoza, anawasilisha 900 kama VAT.

Katika hatua ya tatu; VAT aliyotoza muuzaji wa rejareja - VAT aliyolipa katika manunuzi toka kwa muuzaji wa jumla.
3,600 - 2,700 = 900
Muuzaji wa reja reja anawasilisha 900 iliyozidi toka katika kiasi alichochaji katika mauzo kama VAT baada ya ku-recover gharama za VAT aliyolipa katika manunuzi.

VAT ilivyolipwa katika mnyororo wa thamani.
Mzalishaji amelipa 1,800 + Muuzaji wa jumla amelipa 900 + Muuzaji wa reja reja amelipa 900 = 3,600

Katika mnyororo mlaji wa mwisho amelipa 3,600 kama Vat ( 20,000*18%). Ni kodi ya mlaji katika dhana ya kuwa, mlaji hayuko katika nafasi ya ku-recover kiasi alicholipa kama agents wengine katika mnyororo wa thamani.

Agents wengine ni wakusanyaji tu wa kodi hii, huwasilisha kilichozidi baada ya kufidia kile walicholipa kama VAT wakati wa manunuzi. Agent hurudishiwa (Refunded) ikiwa tu itathibitika alichotoza katika mauzo kama Vat ni kidogo kuliko alicholipa katika mauzo, tofauti iliyopo atafidiwa.

Nadharia ya VAT kwa ufupi.

VAT inatokaje 1,800/= kwa mzalishaji kurudi 900/= kwa muuzaji mkubwa na mdogo? Wakati thamani ya bidhaa inaongezeka thamani kwenye mchakato mzima?

Na VAT hutokana na gharama ya kitu husika?

Kama muuzaji wa mwisho amepiga 20,000/=×18%=3,600/= Inakuwaje anarudisha 900/= wakati mnunuzi amelipa yote?

Kwa sababu:
1: Mtengenezaji amechukua VAT toka kwa muuzaji wa jumla.

2: Muuzaji wa jumla ameipata VAT toka kwa muuzaji wa rejareja.

3: Rejareja anapata kwa mnunuzi wa mwisho.

4: Mnunuzi wa mwisho anabeba mzigo

Au nieleweshwe hapa.
VAT iko kwenye reducible basis?

Mfano;
Hatua ya kwanza; Mzalishaji anauza mfuko wa saruji 10,000 ataongeza VAT (18%)
10,000 + 18% = 11,800
Atamuuzia muuzaji wa jumla kwa shilingi 11,800. Baada ya mauzo atawasilisha TRA 1,800 kama VAT aliyokusanya.

Hatua ya pili; Muuzaji wa jumla, baada ya kujumlisha gharama zake zote, amepanga kuuza kwa shilingi 15,000. Katika bei hiyo atajumlisha 18% ya VAT.
15,000 + 18% = 17,700.
Muuzaji wa jumla atauza mfuko huo kwa shilingi 17,700 kwa muuzaji wa reja reja, na kuwaslilisha TRA kiasi cha shilingi 900 kama VAT.

Hatua ya tatu; Muuzaji wa reja reja baada ya kununua, amepanga kuuza mfuko kwa 20,000. Katika bei yake hiyo ataongeza 18% ya VAT.
20,000 + 18% = 23,600.
Atauza kwa mtumiaji wa mwisho kwa shilingi 23,600 na kiwasilisha TRA 900 kama VAT.

VAT Inayolipwa = VAT muuzaji anayotoza katika mauzo - VAT anayolipa katika manunuzi.

Katika hatua ya kwanza; VAT katika mauzo kwa mzalshaji- VAT katika manunuzi.
Ametoza 1,800 katika mauzo, hakuna alicholipa katika manunuzi. Atawasilisha 1,800.

Katika hatua ya pili; VAT katika mauzo kwa muuzaji reja reja - VAT katika manunuzi toka kwa mzalishaji.
2700 - 1800 = 900
Baada ya ku-recover VAT aliyolipa katika manunuzi, muuzaji wa jumla anawasilisha kiasi kilichozidi toka katika VAT aliyotoza, anawasilisha 900 kama VAT.

Katika hatua ya tatu; VAT aliyotoza muuzaji wa rejareja - VAT aliyolipa katika manunuzi toka kwa muuzaji wa jumla.
3,600 - 2,700 = 900
Muuzaji wa reja reja anawasilisha 900 iliyozidi toka katika kiasi alichochaji katika mauzo kama VAT baada ya ku-recover gharama za VAT aliyolipa katika manunuzi.

VAT ilivyolipwa katika mnyororo wa thamani.
Mzalishaji amelipa 1,800 + Muuzaji wa jumla amelipa 900 + Muuzaji wa reja reja amelipa 900 = 3,600

Katika mnyororo mlaji wa mwisho amelipa 3,600 kama Vat ( 20,000*18%). Ni kodi ya mlaji katika dhana ya kuwa, mlaji hayuko katika nafasi ya ku-recover kiasi alicholipa kama agents wengine katika mnyororo wa thamani.

Agents wengine ni wakusanyaji tu wa kodi hii, huwasilisha kilichozidi baada ya kufidia kile walicholipa kama VAT wakati wa manunuzi. Agent hurudishiwa (Refunded) ikiwa tu itathibitika alichotoza katika mauzo kama Vat ni kidogo kuliko alicholipa katika mauzo, tofauti iliyopo atafidiwa.

Nadharia ya VAT kwa ufupi.
 
Dokta vat ililenga kulipwa na mlaji wa mwisho, sio mzalishaji.
Ndo mana kuna ritani zinafanyika kila mwezi kuanzia kwa prodyuza wa bidhaa, wholesaler, retailers wote wanarudishiwa pesa yao waliyoongeza kwenye thamani ya bidhaa. Ili final consumer ndio target yaani yampasa alipe.
Sasa akichajiwa producer wa bidhaa, naona atabebeshwa mzigo mkubwa na pengine hiyo bidhaa ikawa na bei kubwa zaidi.
Hujanielewa vizuri. Ni kweli lengo la VAT ni kumtoza kila mteja (consumer) wa bidhaa kodi ya asilimia 18% ya thamani ya bidhaa anayonunua. Mfanya biashara au mwenye kiwanda ni wakala tu wa kukusanya hiyo 18% na kuiwakilisha serikalini. Very simple. Sasa kwa nini kuwe na mnyororo mrefu kiasi hicho cha kuipata hiyo 18% ya thamani ya bidhaa kutoka kwa mlaji? Sasa kwa nini kuwe na mnyororo mrefu kiasi hicho cha kuikusanya hiyo kodi ambao mwisho wake mlaji wa mwisho anajikuta analipa zaidi ya 60% ya thamani halisi ya bidhaahiyo kama VAT?. Kwa nini kodi hiyo isikusanywe sehemu moja tu ya huo mnyororo aidha inapozalishwa hiyo bidhaa au inapouzwa kwa mlaji wa mwisho?

Nimejaribu tu kuurahisisha kwa mfano jinsi huo mnyororo ulivyo. It is more complicated than that, using cumulative mathematical functions. Wataalamu kwenye mjadala huu wamejitahidi kuufafanua kimahesabu lakini nao wamejikuta wamekosea maeneo kadhaa kwenye hesabu hizo. Sasa sembuse mfanya biashara wa kawaida ambaye inabidi akatengenezewe kwa gharama kubwa hizo tax returns na kampuni binafsi za uhasibu.
 
Ukweli ni kwamba kila mtanzania kuanzia akiwa tumboni mwa mama yake analipa kodi ya serikali bila yeye kujua kodi hiyo iko kwenye mfumo wa indirect taxation.

Mfumo huu ni very friendly na hakuna mtu wa kuukwepa hata kama ni mtoto mchanga. Kodi hii iko kwenye kila bidhaa au huduma anayonunua. Mama mjamzito hugawana chakula na mtoto wake aliye tumboni ambacho kalipia kodi.

Tatizo letu ni huu mfumo wa VAT wa kukusanya hiyo indirect taxes za bidhaa na huduma ambazo kila mtanzania hununua. Yaani mfumo uko complex uliojaa ujanja mwingi unaotoa mianya mingi kwa pesa hizo nyingi kuishia kwenye matumbo ya wajanja.

Mfumo wenyewe uko hivi: Chukua mfano kiwanda kinachozalisha bidhaa fulani hususani sementi. Baada ya uzalishaji kiwanda kinapanga kuuza hiyo sementi TZS 10,000 kila mfuko kikiwa kimezingatia gharama na faida ya uzalishaji huo na ushindani wa soko uliopo. Serikali haingilii bei hiyo ya mwenye kiwanda (which is very good).

Badala yake inamwambia serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda aongeze TZS 2,000 kwenye kila mfuko ambayo itakuwa ni kodi ya serikali atakapoiuza (sales tax). Hadi hatua hiyo bado ni very good.

Tatizo na ujanja unaanzia baada ya hatua hiyo. Serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda kwamba hiyo TZS 2,000 kwa kila mfuko serikali itamrudishia mwenye kiwanda baada ya serikali (TRA) kupata (VAT) tax returns kutoka muuzaji wa mwisho wa rejareja (retail) aka mmachinga huko Sumbawanga.

Mwenye kiwanda huuza bidhaa zake kwa wholesalers. Hivyo mfuko mmoja wa sementi mwenye kiwanda atamuuzia wholesaler kwa TZS 12,000. Huyu wholesaler naye atapanga bei atakayoiuza hiyo sementi huko Sumbawanga akizingatia gharama ya usafirishaji, faida yake na ushindani wa soko. Bei yake inaweza ikawa TZS 15,000 kwa kila mfuko. TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kama kodi ya serikali (VAT) ambayo atarudishiwa baada huyo atakayemuuzia (retailer) kurejesha tax returns. Hivyo wholesaler atamuuzia retailer mfuko mmoja wa sementi kwa TZS 17,000.

Huyo retailer naye atapanga faida yake na kuona aiuze kwa TZS 20,000. Naye TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kwenye bei hiyo kama VAT na atoe risiti na tax returns. Hivyo bei ya mfuko mmoja wa sementi anaiuza kwa mlaji kwa TZS 22,000.

Katika mfumo huo wa VAT huyo retailer anatakiwa kuandaa na kuwakilisha VAT returns za bidhaa aina zote alizouza kila mwezi ili kuwezesha hao wholesalers na wenye viwanda (source) warejeshewe hizo TZs 2,000 zao. Yeye harudishiwi cho chote.

Mlaji wa mwisho anakuwa ameongezewa TZS 2,000 mara tatu kwenye hiyo thamani ya bidhaa lakini serikali sana sana inaambulia TZS 2,000 tu! Hapo utaona kuna myanya ya wenye viwanda na wholesalers kurejeshewa hizo TZS 2,000 kwa maelewano tu na maafisa wa TRA.

Hapo utaona mapambano ya maafisa wa TRA na retailers kuhusu risiti na tax returns ambao huishia mara nyingi kwa retailers kutoa rushwa kwa maafisa hawa.

Hivyo ndivyo ulivyo mfumo huu wa VAT kwa bidhaa zingine zinazotoka nje ya nchi na ndani ya nchi. Inashangaza zaidi kuwa hata bidhaa zinazozalishwa na taasisi zinazomilikiwa kwa asilimia 100% na serikali nazo zinawekewa kodi ya serikali, yaani serikali inajitoza kodi?

Shirika kama la TANESCO miradi yake imejengwa kwa pesa yetu (kodi zetu). Hata kama baadhi ya pesa iliyotumika tulikopa nje bado kodi zetu zitalipa hilo deni letu. Ni shirika letu, sasa linawezaje kututoza kodi? Sisi ndiyo wenye mamlaka ya kupanga umeme tulipe kwa bei gani ili kuwezesha kulipa mishahara na other charges (OC) za shirika letu zilizopitishwa na bunge letu la bajeti. Ziada ikipatikana inaweza kugharimia mambo mengine hususani madawa na vifaa tiba.

Hitimisho: VAT is nothing but a sales tax. Itozwe mara moja tu kwenye chanzo ya hiyo bidhaa. Kama bidhaa inazalishwa hapa nchini basi huyo mwenye kiwanda pekee ndiye atozwe/ akusanye hiyo kodi na kuiwakilisha serikalini baada ya kuuza bidhaa hiyo.

Hao wholesalers na retail sellers na machinga haiwahusu maana serikali itakuwa ilishachukua kilicho stahili yake. Kama bidhaa inatoka nje ya nchi, serikali ichukue kodi yake pale pale mipakani inapoingilia.

Kwenye zingine kama zile za kilimo na mifugo kodi hii ilipwe kwenye minada mikubwa kutoka kwa wafanya biashara wakubwa wanaonunua bidhaa hizo. Mambo ya kurudishana kodi yawe mwisho.

Kazi ya watumishi wa TRA iwe kwenye maeneo haya tu na kushirikiana na polisi kunasa bidhaa zinazoingia kwa magendo kupitia panya routes. Serikali ni moja. Mambo ya kodi za serikali za mitaa na kodi za serikali kuu (TRA) hayana maana kwa mwananchi.

Zote kwake ni za serikali, wao watajua wanagawana vipi. Mambo ya direct taxations tuachane nayo au yapunguzwe kabisa. Yana maudhi sana na kuwafanya wananchi waichukie serikali yao. Imagine kama kodi ya kichwa ikarejeshwa hata kama ni buku moja tu kwa kila kichwa kwa mwaka, unadhani itakuwaje?
Analysis hii ni nzuri but wenye mamlaka hawawezi ikubali coz ni chanzo cha ulaji kwao..jinsi ulivyoichambua ni kisomi, wao huchambua kisiasa..ogopa sana siasa
 
Ukweli ni kwamba kila mtanzania kuanzia akiwa tumboni mwa mama yake analipa kodi ya serikali bila yeye kujua kodi hiyo iko kwenye mfumo wa indirect taxation.

Mfumo huu ni very friendly na hakuna mtu wa kuukwepa hata kama ni mtoto mchanga. Kodi hii iko kwenye kila bidhaa au huduma anayonunua. Mama mjamzito hugawana chakula na mtoto wake aliye tumboni ambacho kalipia kodi.

Tatizo letu ni huu mfumo wa VAT wa kukusanya hiyo indirect taxes za bidhaa na huduma ambazo kila mtanzania hununua. Yaani mfumo uko complex uliojaa ujanja mwingi unaotoa mianya mingi kwa pesa hizo nyingi kuishia kwenye matumbo ya wajanja.

Mfumo wenyewe uko hivi: Chukua mfano kiwanda kinachozalisha bidhaa fulani hususani sementi. Baada ya uzalishaji kiwanda kinapanga kuuza hiyo sementi TZS 10,000 kila mfuko kikiwa kimezingatia gharama na faida ya uzalishaji huo na ushindani wa soko uliopo. Serikali haingilii bei hiyo ya mwenye kiwanda (which is very good).

Badala yake inamwambia serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda aongeze TZS 2,000 kwenye kila mfuko ambayo itakuwa ni kodi ya serikali atakapoiuza (sales tax). Hadi hatua hiyo bado ni very good.

Tatizo na ujanja unaanzia baada ya hatua hiyo. Serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda kwamba hiyo TZS 2,000 kwa kila mfuko serikali itamrudishia mwenye kiwanda baada ya serikali (TRA) kupata (VAT) tax returns kutoka muuzaji wa mwisho wa rejareja (retail) aka mmachinga huko Sumbawanga.

Mwenye kiwanda huuza bidhaa zake kwa wholesalers. Hivyo mfuko mmoja wa sementi mwenye kiwanda atamuuzia wholesaler kwa TZS 12,000. Huyu wholesaler naye atapanga bei atakayoiuza hiyo sementi huko Sumbawanga akizingatia gharama ya usafirishaji, faida yake na ushindani wa soko. Bei yake inaweza ikawa TZS 15,000 kwa kila mfuko. TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kama kodi ya serikali (VAT) ambayo atarudishiwa baada huyo atakayemuuzia (retailer) kurejesha tax returns. Hivyo wholesaler atamuuzia retailer mfuko mmoja wa sementi kwa TZS 17,000.

Huyo retailer naye atapanga faida yake na kuona aiuze kwa TZS 20,000. Naye TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kwenye bei hiyo kama VAT na atoe risiti na tax returns. Hivyo bei ya mfuko mmoja wa sementi anaiuza kwa mlaji kwa TZS 22,000.

Katika mfumo huo wa VAT huyo retailer anatakiwa kuandaa na kuwakilisha VAT returns za bidhaa aina zote alizouza kila mwezi ili kuwezesha hao wholesalers na wenye viwanda (source) warejeshewe hizo TZs 2,000 zao. Yeye harudishiwi cho chote.

Mlaji wa mwisho anakuwa ameongezewa TZS 2,000 mara tatu kwenye hiyo thamani ya bidhaa lakini serikali sana sana inaambulia TZS 2,000 tu! Hapo utaona kuna myanya ya wenye viwanda na wholesalers kurejeshewa hizo TZS 2,000 kwa maelewano tu na maafisa wa TRA.

Hapo utaona mapambano ya maafisa wa TRA na retailers kuhusu risiti na tax returns ambao huishia mara nyingi kwa retailers kutoa rushwa kwa maafisa hawa.

Hivyo ndivyo ulivyo mfumo huu wa VAT kwa bidhaa zingine zinazotoka nje ya nchi na ndani ya nchi. Inashangaza zaidi kuwa hata bidhaa zinazozalishwa na taasisi zinazomilikiwa kwa asilimia 100% na serikali nazo zinawekewa kodi ya serikali, yaani serikali inajitoza kodi?

Shirika kama la TANESCO miradi yake imejengwa kwa pesa yetu (kodi zetu). Hata kama baadhi ya pesa iliyotumika tulikopa nje bado kodi zetu zitalipa hilo deni letu. Ni shirika letu, sasa linawezaje kututoza kodi? Sisi ndiyo wenye mamlaka ya kupanga umeme tulipe kwa bei gani ili kuwezesha kulipa mishahara na other charges (OC) za shirika letu zilizopitishwa na bunge letu la bajeti. Ziada ikipatikana inaweza kugharimia mambo mengine hususani madawa na vifaa tiba.

Hitimisho: VAT is nothing but a sales tax. Itozwe mara moja tu kwenye chanzo ya hiyo bidhaa. Kama bidhaa inazalishwa hapa nchini basi huyo mwenye kiwanda pekee ndiye atozwe/ akusanye hiyo kodi na kuiwakilisha serikalini baada ya kuuza bidhaa hiyo.

Hao wholesalers na retail sellers na machinga haiwahusu maana serikali itakuwa ilishachukua kilicho stahili yake. Kama bidhaa inatoka nje ya nchi, serikali ichukue kodi yake pale pale mipakani inapoingilia.

Kwenye zingine kama zile za kilimo na mifugo kodi hii ilipwe kwenye minada mikubwa kutoka kwa wafanya biashara wakubwa wanaonunua bidhaa hizo. Mambo ya kurudishana kodi yawe mwisho.

Kazi ya watumishi wa TRA iwe kwenye maeneo haya tu na kushirikiana na polisi kunasa bidhaa zinazoingia kwa magendo kupitia panya routes. Serikali ni moja. Mambo ya kodi za serikali za mitaa na kodi za serikali kuu (TRA) hayana maana kwa mwananchi.

Zote kwake ni za serikali, wao watajua wanagawana vipi. Mambo ya direct taxations tuachane nayo au yapunguzwe kabisa. Yana maudhi sana na kuwafanya wananchi waichukie serikali yao. Imagine kama kodi ya kichwa ikarejeshwa hata kama ni buku moja tu kwa kila kichwa kwa mwaka, unadhani itakuwaje?
SPOT ON
 
Ukweli ni kwamba kila mtanzania kuanzia akiwa tumboni mwa mama yake analipa kodi ya serikali bila yeye kujua kodi hiyo iko kwenye mfumo wa indirect taxation.

Mfumo huu ni very friendly na hakuna mtu wa kuukwepa hata kama ni mtoto mchanga. Kodi hii iko kwenye kila bidhaa au huduma anayonunua. Mama mjamzito hugawana chakula na mtoto wake aliye tumboni ambacho kalipia kodi.

Tatizo letu ni huu mfumo wa VAT wa kukusanya hiyo indirect taxes za bidhaa na huduma ambazo kila mtanzania hununua. Yaani mfumo uko complex uliojaa ujanja mwingi unaotoa mianya mingi kwa pesa hizo nyingi kuishia kwenye matumbo ya wajanja.

Mfumo wenyewe uko hivi: Chukua mfano kiwanda kinachozalisha bidhaa fulani hususani sementi. Baada ya uzalishaji kiwanda kinapanga kuuza hiyo sementi TZS 10,000 kila mfuko kikiwa kimezingatia gharama na faida ya uzalishaji huo na ushindani wa soko uliopo. Serikali haingilii bei hiyo ya mwenye kiwanda (which is very good).

Badala yake inamwambia serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda aongeze TZS 2,000 kwenye kila mfuko ambayo itakuwa ni kodi ya serikali atakapoiuza (sales tax). Hadi hatua hiyo bado ni very good.

Tatizo na ujanja unaanzia baada ya hatua hiyo. Serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda kwamba hiyo TZS 2,000 kwa kila mfuko serikali itamrudishia mwenye kiwanda baada ya serikali (TRA) kupata (VAT) tax returns kutoka muuzaji wa mwisho wa rejareja (retail) aka mmachinga huko Sumbawanga.

Mwenye kiwanda huuza bidhaa zake kwa wholesalers. Hivyo mfuko mmoja wa sementi mwenye kiwanda atamuuzia wholesaler kwa TZS 12,000. Huyu wholesaler naye atapanga bei atakayoiuza hiyo sementi huko Sumbawanga akizingatia gharama ya usafirishaji, faida yake na ushindani wa soko. Bei yake inaweza ikawa TZS 15,000 kwa kila mfuko. TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kama kodi ya serikali (VAT) ambayo atarudishiwa baada huyo atakayemuuzia (retailer) kurejesha tax returns. Hivyo wholesaler atamuuzia retailer mfuko mmoja wa sementi kwa TZS 17,000.

Huyo retailer naye atapanga faida yake na kuona aiuze kwa TZS 20,000. Naye TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kwenye bei hiyo kama VAT na atoe risiti na tax returns. Hivyo bei ya mfuko mmoja wa sementi anaiuza kwa mlaji kwa TZS 22,000.

Katika mfumo huo wa VAT huyo retailer anatakiwa kuandaa na kuwakilisha VAT returns za bidhaa aina zote alizouza kila mwezi ili kuwezesha hao wholesalers na wenye viwanda (source) warejeshewe hizo TZs 2,000 zao. Yeye harudishiwi cho chote.

Mlaji wa mwisho anakuwa ameongezewa TZS 2,000 mara tatu kwenye hiyo thamani ya bidhaa lakini serikali sana sana inaambulia TZS 2,000 tu! Hapo utaona kuna myanya ya wenye viwanda na wholesalers kurejeshewa hizo TZS 2,000 kwa maelewano tu na maafisa wa TRA.

Hapo utaona mapambano ya maafisa wa TRA na retailers kuhusu risiti na tax returns ambao huishia mara nyingi kwa retailers kutoa rushwa kwa maafisa hawa.

Hivyo ndivyo ulivyo mfumo huu wa VAT kwa bidhaa zingine zinazotoka nje ya nchi na ndani ya nchi. Inashangaza zaidi kuwa hata bidhaa zinazozalishwa na taasisi zinazomilikiwa kwa asilimia 100% na serikali nazo zinawekewa kodi ya serikali, yaani serikali inajitoza kodi?

Shirika kama la TANESCO miradi yake imejengwa kwa pesa yetu (kodi zetu). Hata kama baadhi ya pesa iliyotumika tulikopa nje bado kodi zetu zitalipa hilo deni letu. Ni shirika letu, sasa linawezaje kututoza kodi? Sisi ndiyo wenye mamlaka ya kupanga umeme tulipe kwa bei gani ili kuwezesha kulipa mishahara na other charges (OC) za shirika letu zilizopitishwa na bunge letu la bajeti. Ziada ikipatikana inaweza kugharimia mambo mengine hususani madawa na vifaa tiba.

Hitimisho: VAT is nothing but a sales tax. Itozwe mara moja tu kwenye chanzo ya hiyo bidhaa. Kama bidhaa inazalishwa hapa nchini basi huyo mwenye kiwanda pekee ndiye atozwe/ akusanye hiyo kodi na kuiwakilisha serikalini baada ya kuuza bidhaa hiyo.

Hao wholesalers na retail sellers na machinga haiwahusu maana serikali itakuwa ilishachukua kilicho stahili yake. Kama bidhaa inatoka nje ya nchi, serikali ichukue kodi yake pale pale mipakani inapoingilia.

Kwenye zingine kama zile za kilimo na mifugo kodi hii ilipwe kwenye minada mikubwa kutoka kwa wafanya biashara wakubwa wanaonunua bidhaa hizo. Mambo ya kurudishana kodi yawe mwisho.

Kazi ya watumishi wa TRA iwe kwenye maeneo haya tu na kushirikiana na polisi kunasa bidhaa zinazoingia kwa magendo kupitia panya routes. Serikali ni moja. Mambo ya kodi za serikali za mitaa na kodi za serikali kuu (TRA) hayana maana kwa mwananchi.

Zote kwake ni za serikali, wao watajua wanagawana vipi. Mambo ya direct taxations tuachane nayo au yapunguzwe kabisa. Yana maudhi sana na kuwafanya wananchi waichukie serikali yao. Imagine kama kodi ya kichwa ikarejeshwa hata kama ni buku moja tu kwa kila kichwa kwa mwaka, unadhani itakuwaje?

Kwa hiyo ndugu mngependa wakusanye kabisa hata kama hiyo mali haitauzwa kabisa?

Kama issue ni pesa kwa nini:

1. Wasioendekeze sote tulipe kodi tu tokea rais, mawaziri hadi wabunge huko?

2. Ruzuku za vyama vya siasa zisifutwe?

3. Tax exemptions zote zisifutwe?

4. Makanisa na misikiti isilipe kodi?

Wao ni kumkamua tu huyo ng'ombe hadi damu?
 
Mfano;
Hatua ya kwanza; Mzalishaji anauza mfuko wa saruji 10,000 ataongeza VAT (18%)
10,000 + 18% = 11,800
Atamuuzia muuzaji wa jumla kwa shilingi 11,800. Baada ya mauzo atawasilisha TRA 1,800 kama VAT aliyokusanya.

Hatua ya pili; Muuzaji wa jumla, baada ya kujumlisha gharama zake zote, amepanga kuuza kwa shilingi 15,000. Katika bei hiyo atajumlisha 18% ya VAT.
15,000 + 18% = 17,700.
Muuzaji wa jumla atauza mfuko huo kwa shilingi 17,700 kwa muuzaji wa reja reja, na kuwaslilisha TRA kiasi cha shilingi 900 kama VAT.

Hatua ya tatu; Muuzaji wa reja reja baada ya kununua, amepanga kuuza mfuko kwa 20,000. Katika bei yake hiyo ataongeza 18% ya VAT.
20,000 + 18% = 23,600.
Atauza kwa mtumiaji wa mwisho kwa shilingi 23,600 na kiwasilisha TRA 900 kama VAT.

VAT Inayolipwa = VAT muuzaji anayotoza katika mauzo - VAT anayolipa katika manunuzi.

Katika hatua ya kwanza; VAT katika mauzo kwa mzalshaji- VAT katika manunuzi.
Ametoza 1,800 katika mauzo, hakuna alicholipa katika manunuzi. Atawasilisha 1,800.

Katika hatua ya pili; VAT katika mauzo kwa muuzaji reja reja - VAT katika manunuzi toka kwa mzalishaji.
2700 - 1800 = 900
Baada ya ku-recover VAT aliyolipa katika manunuzi, muuzaji wa jumla anawasilisha kiasi kilichozidi toka katika VAT aliyotoza, anawasilisha 900 kama VAT.

Katika hatua ya tatu; VAT aliyotoza muuzaji wa rejareja - VAT aliyolipa katika manunuzi toka kwa muuzaji wa jumla.
3,600 - 2,700 = 900
Muuzaji wa reja reja anawasilisha 900 iliyozidi toka katika kiasi alichochaji katika mauzo kama VAT baada ya ku-recover gharama za VAT aliyolipa katika manunuzi.

VAT ilivyolipwa katika mnyororo wa thamani.
Mzalishaji amelipa 1,800 + Muuzaji wa jumla amelipa 900 + Muuzaji wa reja reja amelipa 900 = 3,600

Katika mnyororo mlaji wa mwisho amelipa 3,600 kama Vat ( 20,000*18%). Ni kodi ya mlaji katika dhana ya kuwa, mlaji hayuko katika nafasi ya ku-recover kiasi alicholipa kama agents wengine katika mnyororo wa thamani.

Agents wengine ni wakusanyaji tu wa kodi hii, huwasilisha kilichozidi baada ya kufidia kile walicholipa kama VAT wakati wa manunuzi. Agent hurudishiwa (Refunded) ikiwa tu itathibitika alichotoza katika mauzo kama Vat ni kidogo kuliko alicholipa katika mauzo, tofauti iliyopo atafidiwa.

Nadharia ya VAT kwa ufupi.
Vizuri sana kwa kurahisisha ukokotoaji wa hizo hesabu za VAT na kuonesha wazi wazi jinsi zinavyopigwa na wajanja zikaingia matumboni mwao. Utakuwa ni mmoja wa wanaokajua haka kamchezo. Hongera sana kwa kutujuza.

Hatua ya kwanza ya mzalishaji uko sawa. Muzalishaji kakusanya 18% sawa na sh 1,800 kutoka kwa aliyemuuzia na kuiwakilisha yote TRA.

Kwenye hatua ya pili ndipo ubabaishaji na upigaji unaanza. Hiyo 18% ya Sh 15,000 ambayo ni sawa na Sh 2,700 ni VAT ambayo pesa ya serikali. Siyo pesa ya huyo muuzaji wa jumla. Anapaswa yote kuirejesha TRA. Iweje sasa arejeshe Sh 900 tu. Hiyo Sh 1,800 iliyobaki sawa na 67% anaipeleka wapi? Ni dhahili kuwa wanaigawana yeye na maafisa wa TRA.

Hivyo hivyo kwa hatua ya mfanya biashara wa rejareja. Hiyo 18% ya sh 20,000 aliyoikusanya sawa na sh 3,600 si pesa yake, ni pesa ya serikali na anapaswa kuilipa yote TRA. Sasa naye kumbe analipa TRA sh 900 tu inayobaki sh 2,700 sawa na 75% inaingia tumboni kwake na tumboni kwa maafisa wa TRA kwa maelezo ya danganya mjinga, eti mara kimezidi mara kimegeuka ....

Umeonesha vizuri jinsi hiyo 18% VAT kwenye kila hatua ambayo yote imemfikia mteja wa mwisho. Yaani Sh 1,800+ 2,700+ 3,600 = sh 8,100 sawa na asilimia 81% ya thamani ya hiyo bidhaa kiwandani. Yaani mlaji wa mwisho VAT yake ni 81% laki nyingi yake inaliwa hapo katikati ya mnyororo.
 
1: Viwanda vina kodi zake nyingine kwenye uendeshaji wa jumla. Hii ni kulingana na mamlaka mbalimbali mpaka kupaya leseni ya uwepo wa kiwanda husika na operations zake.
Pia, kuna tasisi mbalimbali za kikodi, usalama, mazingira nk.

2: Tumezungumzia VAT kutozwa kiwandani, wakati value haijakamilika.
Huyu anaeyoza hii hurejeshewa return ya VAT aliyotoza hivyo hawajibiki hapo. Ila atjari ya VAT yake huendelea mpaka kwa muuzaji wa mwisho na huku wholesaler na retailer nae anaweka VAT.

3: Suala hapa si kuwa bidhaa haiuziki ila tunazungumzia GHARAMA halisi anayobeba mnunuzi wa mwisho kutokana na multiple VAT.
Nadhani kuna shida kidogo ya uelewa kuhusu VAT. Kwa uelewa wangu wafanyabiashara wote kuanzia mzalishaji (kiwanda) hadi muuzaji wa mwisho (rejareja) ni "mawakala" wa VAT. Kwa meneno mengine wafanyabiashara "wanatumwa" na serikali wakusanye VAT kwa niyaba yake kutoka kwa mlaji wa bidhaa au huduma husika.

Ndo kusema tozo ya VAT inahusika katika kila hatua ya ununuzi na uuzoji wa bidhaa.

Lakini kwavile anayekusudiwa kutozwa VAT ni mlaji (mnunuzi wa mwisho), serikali inalazimika kurejesha makato ya VAT kwa wafanyabiashara.

Kwa mfano, mzalishaji hukadiria dhamani (bei) ya bidhaa yake anapomuuzia muuzaji wa jumla (tufanye TZS 1000). Lakini kwakuwa mzalishaji ni wakala wa VAT (TZS 200) atauza bidhaa hiyo kwa TZS 1200. Muuzaji wa jumla naye ili apate faida ya TZS 300, atalazimika kuuza kwa TZS 1700 (1200 + 200VAT +300). Mlaji wa bidhaa husika atanunua bidhaa hiyo kwa muuzaji wa mwisho/rejareja anayehitaji kutengeneza faida ya TZS 200 kwa bei ya TZS 2100.

Kwa hesabu hizi utaona thamani ya bidhaa imeongezeka kutoka TZS 1000 kiwandani hadi TZS 2100 kwa mlaji.

Kwahiyo, hakuna mfanyabiashara anayenufaika au kupata hasara bali athari ya tozo ya VAT ni kuongezeka kwa bei (thamani) ya bidhaa kwa walaji.

Kwa mtazamo wangu, ili kupunguza ongezeko la thamani (bei) ya bidhaa kwa mlaji, muuzaji wa mwisho pekee ndo angehusika na ukusanyaji wa tozo ya VAT. Kwa mfano wa biashara hapo juu, bidhaa ingeweza kumfikia mlaji kwa thamani ya TZS 1700 badala ya TZS 2100.

Hata hivyo swali litabaki, serikali inajihakikishiaje kuwa atakayehusika na ukusanyaji wa kodi hii ni muuzaji wa mwisho na kwamba anayenunua kwake haendi kuuza bali ni mlaji wa mwisho?

Hapandipo serikali inaona haja ya kumuhusisha kila mfanyabiashara akusanye VAT anapouza bidhaa na si kubagua kati yao.
 
Back
Top Bottom