Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamtetea Nani kwa Nani! Kwani mwenye serikali Ni Nani? Si wao wenyewe ?Nimewasikiliza katika nyakati tofauti wabunge toka sehemu mbali mbali nchini Tanzania na nimewakubali.
Wabunge Nape, Kanyasu, Msukuma na hata yule mbunge wa viti maalum kwa kweli wamenikosha.
Serikali siyo kwamba hawajui kinachofanyika huko mitaani, ila wanafumba macho ili wawakamue na kuwafilisi wafanya biashara kwa malengo ya kodi zisizoendelevu.
Kodi ni taaluma na sio maguvu.
Task forces zinaingia ofisini kwa mfanya biashra , humo kuna afisa Usalama wa tAifa, polisi , na mtu wa TRA.
Kazi yao ni moja tu -kumfilisi mfayabiashara.
Hilo liko wazi na sasa limeenda mbali zaidi, mfanya biashara kutishiwa UHUJUMU UCHUMI asipotoa pesa kwa serikali!
WHATS THIS?
Serikali ina condone state robbery?
Nawashukuru wabunge wetuwa CCM kwa ujasiri wa kuyasema hadharni, maana serikai haiwezi kukana kuna kuyajua yanayotendeka.
Nilitoa tahadhari mapema.
TRA wanavyofunga biashara za wazalendo
Tunalazimika kueleza jinsi TRA wanavyofunga biashara za wafanyabiashara. TRA wamepangiwa malengo ya ukusanyaji fedha, kinyume cha hivyo mtu anafukuzwa kazi na ajira inakoma. TRA kama ilivyo ada kwao, hawafuati weledi wa kibiashara au kuona jinsi ya kupata mapato endelevu, wao ni kutimiza amri...www.jamiiforums.com
Kwani wanachojijitea wenyewe, kipo kweli au hakipo? Maana wangekuwa wa nje ya CCM mngesema pingapinga, sasa wa ndani mnadai wanajitetea wenyewe...!!!! hata kama wanajitetea wenyewe, unadhani wanapokwenda bungeni, wao hawaruhusiwi kujiwakilisha? Wao siyo wananchi wa majimbo wanayoyawakilisha? |AU MATATIZO WANAYOPATA WANANCHI WAO. WENYEWE HAWAYAPATI?Hao wote ni wafanyabiashara so wanajitetea wenyewe!
Zina betri za kuhifadhi charge.Kwa hiyo zinaenda kwa nguvu ya solar?
Kwani yanayowagusa wao, wengine hayawagusi? AU, Yanayowagusa wengine, wao hayawagusi? Biashara anayofanya msukuma, si ndo anayofanya SUPERFEO huko Songea? Ili aonekane anamtetea SUPERFEO na si YEYE kwenye biashara ya mabasi, afanyeje? Akili ni nywele...Wameguswa hakuna cha utetezi...
Betri zikiisha je?Zina betri za kuhifadhi charge.
Ifike mahala ukubali baadhi ya hoja, sio kupinga pinga bila ushaidi wowote.Hao wote ni wafanyabiashara so wanajitetea wenyewe!
Betri zikiisha unanunua nyengine.Betri zikiisha je?
Hizo betri ni perrenial?Zina betri za kuhifadhi charge.
Wote wataitwa chamani Chamwino kupigwa mkwara halafu watarudi bungeni kukanusha waliyoyatamka wenyewe (U-turn).Nimewasikiliza katika nyakati tofauti wabunge toka sehemu mbali mbali nchini Tanzania na nimewakubali.
Wabunge Nape, Kanyasu, Msukuma na hata yule mbunge wa viti maalum kwa kweli wamenikosha.
Serikali siyo kwamba hawajui kinachofanyika huko mitaani, ila wanafumba macho ili wawakamue na kuwafilisi wafanya biashara kwa malengo ya kodi zisizoendelevu.
Kodi ni taaluma na sio maguvu.
Task forces zinaingia ofisini kwa mfanya biashra , humo kuna afisa Usalama wa tAifa, polisi , na mtu wa TRA.
Kazi yao ni moja tu -kumfilisi mfayabiashara.
Hilo liko wazi na sasa limeenda mbali zaidi, mfanya biashara kutishiwa UHUJUMU UCHUMI asipotoa pesa kwa serikali!
WHATS THIS?
Serikali ina condone state robbery?
Nawashukuru wabunge wetuwa CCM kwa ujasiri wa kuyasema hadharni, maana serikai haiwezi kukana kuna kuyajua yanayotendeka.
Nilitoa tahadhari mapema.
TRA wanavyofunga biashara za wazalendo
Tunalazimika kueleza jinsi TRA wanavyofunga biashara za wafanyabiashara. TRA wamepangiwa malengo ya ukusanyaji fedha, kinyume cha hivyo mtu anafukuzwa kazi na ajira inakoma. TRA kama ilivyo ada kwao, hawafuati weledi wa kibiashara au kuona jinsi ya kupata mapato endelevu, wao ni kutimiza amri...www.jamiiforums.com
Wapi nilipopinga?!Ifike mahala ukubali baadhi ya hoja, sio kupinga pinga bila ushaidi wowote.
Kuwa wafanyabiashara hakuwazuii kuwatetea waliowachagua kwa kuishauri Serikali.
Mkuu kuna mijitu isiyo na akili kisawasawa inafikiri kuikosoa serikali hata ilipokosea ni dhambi.Ifike mahala ukubali baadhi ya hoja, sio kupinga pinga bila ushaidi wowote.
Kuwa wafanyabiashara hakuwazuii kuwatetea waliowachagua kwa kuishauri Serikali.
👆👆Hao wote ni wafanyabiashara so wanajitetea wenyewe!
Sidhanii kama chama kinaweza kufanya hivyo, kwa sababu linalokosolewa si suala la kisiasa, ni la kiuendeshaji wa serikali.Wote wataitwa chamani Chamwino kupigwa mkwara halafu watarudi bungeni kukanusha waliyoyatamka wenyewe (U-turn).
CCM ya awamu ya 5 watu wake hawana hata chembe ya mshipa wa aibu nakwambia!!
Mashine ya EFD haihitaji umeme ili kutoa risiti, labda useme lingine
Ukweli mchungu jamani!Kwa kifupi Mwijage, Nape na Musukuma ni waajiriwa wanaolipwa mshahara na serikali.
Boss wao ni Job Ndugai
Mwisho wa mwezi wanachungulia mshahara benk kama watumishi wengine tu wafagizi, madereva na wahudumu!
Mkuu kuna watu wana akili za umimi, ndio maana waafrika hatuendelei.Kwani yanayowagusa wao, wengine hayawagusi? AU, Yanayowagusa wengine, wao hayawagusi? Biashara anayofanya msukuma, si ndo anayofanya SUPERFEO huko Songea? Ili aonekane anamtetea SUPERFEO na si YEYE kwenye biashara ya mabasi, afanyeje? Akili ni nywele...
Kwa hiyo zinaenda kwa nguvu ya solar?
CCM ya awamu ya 5 haina hata chembe ya mshipa wa aibu wala huruma - inaweza kufanya lolote!Sidhanii kama chama kinaweza kufanya hivyo, kwa sababu linalokosolewa si suala la kisiasa, ni la kiuendeshaji wa serikali.
Na hapo serikali imekosea, big time.