Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu.
Serikali imeanza kutumia hatua hizi zisizo na staha kiuendeshaji kwa vie hawakusikia ushauri wa kuwa rafiki na biashar na wafanyabiashra wa nchi hii.
Hatua za kukuasnya kodi kwa mtutu, huo si weledi wa kiofisi wala kiserikali.
Mbaya zaidi mtindo huo si endelevu.
Hakuna Kodi ya Kubambika Kodi zinatokana na Sheria zetu hizi hizi ambapo watu wana default bila kujua mwisho wa siku wanadaiwa mamilioni bila kujua na kukimbilia kwenye media kuwa wamebambikiwa mfano mzuri ni ile shule ya Arusha watu walikula hadi return ya PAYEE kwa wafanyakazi wa shule ni kitendo cha hatari
Wewe ni mpuuzi kama wale wajinga wanaounga mkono kila jambo, hata kama ni uchafu, alimradi unafanywa na serikali.
Mimi walinibambimia kodi ya sh 400m. Nikagombana nao, na nikamkataa huyo mkadiria mjinga. Nikapewa mwingine.
Yule mwingine akaja akaniandikia nilipe 32m. Lakini akasema, kwa vielelezo vilivyopo, hukutakiwa kulipa chochote kwa sababu hakuna capital gain uliyoipita katika uuzaji wa mradi huu, lakini akaniomba nikubali kulipa maana akiweka zero capital gain, yeye na mimi, wote tutaendelea kusumbuliwa, na inaweza kup8ta hata mwaka bila ya kupata tax coearance. Nililipa hiyo 32m, kisha nikafunga na kampuni.
Wewe ni mpuuzi kama wale wajinga wanaounga mkono kila jambo, hata kama ni uchafu, alimradi unafanywa na serikali.
Mimi walinibambimia kodi ya sh 400m. Nikagombana nao, na nikamkataa huyo mkadiria mjinga. Nikapewa mwingine.
Yule mwingine akaja akaniandikia nilipe 32m. Lakini akasema, kwa vielelezo vilivyopo, hukutakiwa kulipa chochote kwa sababu hakuna capital gain uliyoipita katika uuzaji wa mradi huu, lakini akaniomba nikubali kulipa maana akiweka zero capital gain, yeye na mimi, wote tutaendelea kusumbuliwa, na inaweza kup8ta hata mwaka bila ya kupata tax coearance. Nililipa hiyo 32m, kisha nikafunga na kampuni.
We bado ni Kum.aaaaa Tuu yaani tax liability ya 400m imepunguzwa hadi 32m eti unalipa na kufunga kampuni ulitaka ulipe 1m?? Nyinyi K.uma ndo mna default sheria za Kodi ningemtia ndani huyo Officer uliyempa rushwa
We bado ni Kum.aaaaa Tuu yaani tax liability ya 400m imepunguzwa hadi 32m eti unalipa na kufunga kampuni ulitaka ulipe 1m?? Nyinyi K.uma ndo mna default sheria za Kodi ningemtia ndani huyo Officer uliyempa rushwa
We bado ni Kum.aaaaa Tuu yaani tax liability ya 400m imepunguzwa hadi 32m eti unalipa na kufunga kampuni ulitaka ulipe 1m?? Nyinyi K.uma ndo mna default sheria za Kodi ningemtia ndani huyo Officer uliyempa rushwa
Acha kutukana na inaelekea hujui kinachoongelewa hapa.
Tungesema bila kuficha au kumung'unya maneno, ni kwamba TRA inawaibia wafanya biasharaili kuiridhisha serikali.
SASA UNAELEWA?
Kitu kama hukijui ni vema kukaa kimya.
Watu wengine wanaonekana wan kili lkini wakifungua mdomo tu, ndio unajua kwamba mtu hana kitu kichwani.
Some people live from paycheck to paycheck, with a very parochial view on business.
Hawajui biashara kuwa ili kuwa sustaiable kuna capital, operating capital,overheads, profit, statutory taxes, payroll taxes na company taxes duties levies na hata contributions to societies.
Mambumbumbu kama mtoa hoja wewe unafikiri kila mfanyabiashara ni mtoro wa kodi.
Kwa elimu na uelewa mdogo unaliganisha kipato cha mbunge na biashara, pathetic!
Sidhani kama nitataka kukurudisha darasa langu la biashara.
Achana na Fala huyo , jamii forum kuna was*nge wengi sikuhizi wanatoa hoja na threads za kifala , huyu ms*nge johnthebaptist ni mmoja wapo , sijui kwanini hawayapigi ban maku*a haya .
Watu wanajadili ishu critical zinazogisa Maisha ya watu wao wanaleta usenge hapa .
*****
Nimewasikiliza katika nyakati tofauti wabunge toka sehemu mbali mbali nchini Tanzania na nimewakubali.
Wabunge Nape, Kanyasu, Msukuma na hata yule mbunge wa viti maalum kwa kweli wamenikosha.
Serikali siyo kwamba hawajui kinachofanyika huko mitaani, ila wanafumba macho ili wawakamue na kuwafilisi wafanya biashara kwa malengo ya kodi zisizoendelevu.
Kodi ni taaluma na sio maguvu.
Task forces zinaingia ofisini kwa mfanya biashra , humo kuna afisa Usalama wa tAifa, polisi , na mtu wa TRA.
Kazi yao ni moja tu -kumfilisi mfayabiashara.
Hilo liko wazi na sasa limeenda mbali zaidi, mfanya biashara kutishiwa UHUJUMU UCHUMI asipotoa pesa kwa serikali!
WHATS THIS?
Serikali ina condone state robbery?
Nawashukuru wabunge wetuwa CCM kwa ujasiri wa kuyasema hadharni, maana serikai haiwezi kukana kuna kuyajua yanayotendeka.
Nilitoa tahadhari mapema.
Tunalazimika kueleza jinsi TRA wanavyofunga biashara za wafanyabiashara. TRA wamepangiwa malengo ya ukusanyaji fedha, kinyume cha hivyo mtu anafukuzwa kazi na ajira inakoma. TRA kama ilivyo ada kwao, hawafuati weledi wa kibiashara au kuona jinsi ya kupata mapato endelevu, wao ni kutimiza amri...
Nimewasikiliza katika nyakati tofauti wabunge toka sehemu mbali mbali nchini Tanzania na nimewakubali.
Wabunge Nape, Kanyasu, Msukuma na hata yule mbunge wa viti maalum kwa kweli wamenikosha.
Serikali siyo kwamba hawajui kinachofanyika huko mitaani, ila wanafumba macho ili wawakamue na kuwafilisi wafanya biashara kwa malengo ya kodi zisizoendelevu.
Kodi ni taaluma na sio maguvu.
Task forces zinaingia ofisini kwa mfanya biashra , humo kuna afisa Usalama wa tAifa, polisi , na mtu wa TRA.
Kazi yao ni moja tu -kumfilisi mfayabiashara.
Hilo liko wazi na sasa limeenda mbali zaidi, mfanya biashara kutishiwa UHUJUMU UCHUMI asipotoa pesa kwa serikali!
WHATS THIS?
Serikali ina condone state robbery?
Nawashukuru wabunge wetuwa CCM kwa ujasiri wa kuyasema hadharni, maana serikai haiwezi kukana kuna kuyajua yanayotendeka.
Nilitoa tahadhari mapema.
Tunalazimika kueleza jinsi TRA wanavyofunga biashara za wafanyabiashara. TRA wamepangiwa malengo ya ukusanyaji fedha, kinyume cha hivyo mtu anafukuzwa kazi na ajira inakoma. TRA kama ilivyo ada kwao, hawafuati weledi wa kibiashara au kuona jinsi ya kupata mapato endelevu, wao ni kutimiza amri...
Usitudanganye, wabunge wa CCM hawajawahi kuwatetea wananchi. siku zote wabunge wa CCM ni maslahi ya chama cha CCM TU, Wako tayari hata nchi ife lakini CCM inawiri maana ndipo penye kula yao.
Nimewasikiliza katika nyakati tofauti wabunge toka sehemu mbali mbali nchini Tanzania na nimewakubali.
Wabunge Nape, Kanyasu, Msukuma na hata yule mbunge wa viti maalum kwa kweli wamenikosha.
Serikali siyo kwamba hawajui kinachofanyika huko mitaani, ila wanafumba macho ili wawakamue na kuwafilisi wafanya biashara kwa malengo ya kodi zisizoendelevu.
Kodi ni taaluma na sio maguvu.
Task forces zinaingia ofisini kwa mfanya biashra , humo kuna afisa Usalama wa tAifa, polisi , na mtu wa TRA.
Kazi yao ni moja tu -kumfilisi mfayabiashara.
Hilo liko wazi na sasa limeenda mbali zaidi, mfanya biashara kutishiwa UHUJUMU UCHUMI asipotoa pesa kwa serikali!
WHATS THIS?
Serikali ina condone state robbery?
Nawashukuru wabunge wetuwa CCM kwa ujasiri wa kuyasema hadharni, maana serikai haiwezi kukana kuna kuyajua yanayotendeka.
Nilitoa tahadhari mapema.
Tunalazimika kueleza jinsi TRA wanavyofunga biashara za wafanyabiashara. TRA wamepangiwa malengo ya ukusanyaji fedha, kinyume cha hivyo mtu anafukuzwa kazi na ajira inakoma. TRA kama ilivyo ada kwao, hawafuati weledi wa kibiashara au kuona jinsi ya kupata mapato endelevu, wao ni kutimiza amri...
Nimewasikiliza katika nyakati tofauti wabunge toka sehemu mbali mbali nchini Tanzania na nimewakubali.
Wabunge Nape, Kanyasu, Msukuma na hata yule mbunge wa viti maalum kwa kweli wamenikosha.
Serikali siyo kwamba hawajui kinachofanyika huko mitaani, ila wanafumba macho ili wawakamue na kuwafilisi wafanya biashara kwa malengo ya kodi zisizoendelevu.
Kodi ni taaluma na sio maguvu.
Task forces zinaingia ofisini kwa mfanya biashra , humo kuna afisa Usalama wa tAifa, polisi , na mtu wa TRA.
Kazi yao ni moja tu -kumfilisi mfayabiashara.
Hilo liko wazi na sasa limeenda mbali zaidi, mfanya biashara kutishiwa UHUJUMU UCHUMI asipotoa pesa kwa serikali!
WHATS THIS?
Serikali ina condone state robbery?
Nawashukuru wabunge wetuwa CCM kwa ujasiri wa kuyasema hadharni, maana serikai haiwezi kukana kuna kuyajua yanayotendeka.
Nilitoa tahadhari mapema.
Tunalazimika kueleza jinsi TRA wanavyofunga biashara za wafanyabiashara. TRA wamepangiwa malengo ya ukusanyaji fedha, kinyume cha hivyo mtu anafukuzwa kazi na ajira inakoma. TRA kama ilivyo ada kwao, hawafuati weledi wa kibiashara au kuona jinsi ya kupata mapato endelevu, wao ni kutimiza amri...
Wakati wa Serikali ya kikoloni kulikuwa na kodi nyingi sana hata baisikeli ilikuwa inalipiwa kodi, vivyo hivyo na Radio, ng'ombe na zinginezo, bahati nzuri TRA hawakuwepo lakini waliohusika kukusanya kodi walitumia mbinu wanazotumia TRA Awamu hii. Kodi zote zilikuwa mateso kwa wananchi lakini kodi iliyotesa na kuchukiwa na wananchi ilikuwa inaitwa Kodi ya Kichwa (poll tax) ambayo kila kichwa cha mwanaume mtu nzimà alitakiwa lazima alipe na kwa wakati. Kodi ikilipwa mlipaji alipewa Kipande ambacho lazima atembee nacho au akiache nyumbani mahali mke anaweza kuwaonyesha wasaka Kodi wakija la sivyo mke alichukuliwa na kutupwa lupango mpaka mumewe aje na Kipande kumkomboa na kama kodi haijalipwa mke ataachiwa bwana atabaki lupango mpaka alipe. Polisi walitumika sana kwenye kukusanya Kodi na Polisi wa wakati huo wengi wao wakutoka Mkoa wa Mara walikuwa wakali sana lakini walikuwa hawabambikizii watu kesi wala kupokea rushwa kama wa leo.
Baada ya Uhuru, Nyerere kwa kashifa na kejeli nyingi dhidi ya Wakoloni na kodi zao, nyingi alifutilia mbali na zingine kurekebishwa, kwa vifijo na vigelegele toka kwa wananchi ambao walijiona kuwa kweli wako huru na hawatalala porini tena kuwakimbia watoza Kodi. Baada ya hapo kodi ziliendelea kulipwa au kukwepwa kama hazilipiki na wakusanyaji waliendelea kubadilishwa kwa nia nzuri tu ya kuboresha ukusanyaji mpaka ikaletwa TRA kwa nia nzuri ya kuweka kodi zote za Serikali Kuu chini ya mkusanyaji mmoja. Mambo yalienda vizuri au labda yalivumilika tu wakati wa Awamu ya Tatu iliyoanzisha TRA na Awamu ya Nne, biashara ilishamiri na viwanda hasa vya wawekezaji wa ndani vilikuwepo vikizalisha na kuajiri, hali ya sasa toka Awamu ya Tano iingie madarakani inaeleweka. Tanzania mpya, CCM mpya, mbinu na kaulimbiu ni za ubwabwa uleee!
Nimewasikiliza katika nyakati tofauti wabunge toka sehemu mbali mbali nchini Tanzania na nimewakubali.
Wabunge Nape, Kanyasu, Msukuma na hata yule mbunge wa viti maalum kwa kweli wamenikosha.
Serikali siyo kwamba hawajui kinachofanyika huko mitaani, ila wanafumba macho ili wawakamue na kuwafilisi wafanya biashara kwa malengo ya kodi zisizoendelevu.
Kodi ni taaluma na sio maguvu.
Task forces zinaingia ofisini kwa mfanya biashra , humo kuna afisa Usalama wa tAifa, polisi , na mtu wa TRA.
Kazi yao ni moja tu -kumfilisi mfayabiashara.
Hilo liko wazi na sasa limeenda mbali zaidi, mfanya biashara kutishiwa UHUJUMU UCHUMI asipotoa pesa kwa serikali!
WHATS THIS?
Serikali ina condone state robbery?
Nawashukuru wabunge wetuwa CCM kwa ujasiri wa kuyasema hadharni, maana serikai haiwezi kukana kuna kuyajua yanayotendeka.
Nilitoa tahadhari mapema.
Tunalazimika kueleza jinsi TRA wanavyofunga biashara za wafanyabiashara. TRA wamepangiwa malengo ya ukusanyaji fedha, kinyume cha hivyo mtu anafukuzwa kazi na ajira inakoma. TRA kama ilivyo ada kwao, hawafuati weledi wa kibiashara au kuona jinsi ya kupata mapato endelevu, wao ni kutimiza amri...
Kama naanza kuelewa vile [emoji848][emoji848][emoji848] inawezekana hii MITANO TENA ni kwa ajili ya kufanyia kazi hoja za upinzani zilizo pigiwa kelele miaka mitano ya kwanza
Na ndio maana wamewatoa wapinzani ili wabaki wenyewe CCM watuph ili waweze kuziongelea tena hoja za wapinzani na ndio maana nzima ya MITANO TENA
Ukweli ni kwamba bunge kama likiamua kuwa huru na kufanya kazi yake, ni chombo chenye nguvu sana. Lakini bunge letu limekabidhi madaraka yake kwa serikali, halafu wanalalamika. Kwani sheria za kodi anatunga nani?
Bunge kazi yake ni kuandika siyo kutunga sheria- wabunge huwa wanapewa mswada ulioandaliwa na watumishi wa serikali- mswanda ndio mwishoe huwa sheria. Kwa muktadha huo siyo sahihi kuwalaumu wabunge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.