crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,955
Hapana, biashara zikifa na mapato ya serikali yanapungua na uwezo kuhudumia wananchi nao utaathirika. Kwahiyo, hawajitetei wenyewe bali wanamtetea kila mtu hadi hao tax collectors.Hao wote ni wafanyabiashara so wanajitetea wenyewe!