Kodi zetu zinatafunwaa vilivyo, Makonda atatoa zawadi ya Mil 10

Kodi zetu zinatafunwaa vilivyo, Makonda atatoa zawadi ya Mil 10

Siyo kwamba mtoa mada hana jibu,jibu analo ila anataka tumsaidie kufumbua mdomo lakini hakuna aliye tayar baki kuwa bubu hivyo hivyo......
Sijui kitu aisee..nisaidie kujua tuu
 
Kila mtu anakuw na role model wake katika fani yake aipendayo. Sasa ukiona hivi basi jua kwamba Aishi Manula ndio role model wa Muheshimiwa Makonda kiongozi mwenye dar yake
 
Aisee hii nchi hapana..Mwana mfalme anatafuna pesa ambazo baba ake anadai amezizuia mafisadi wasilee! Yani DAB anakula maisha aisee utadhani TAKUKURU hawapo vilee..huyu jamaa ndo mtu pekee anaweza fanya kitu chochote anachotaka tanzania hii.. Mshahara wake mil 5 lakini kila siku anamwaga mapesaa[emoji22][emoji22][emoji22][emoji24][emoji24][emoji24]
Screenshot_20190531-092019_Instagram.jpeg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom