Kodtec Speaker systems

Kodtec Speaker systems

Mkuu hilo zaga lako kwa uelewa wako ukilinganisha na mziki wa kusuka kama ule wa filibert spiker moja la pioneer na twitter zake upi utakuwa na gonga sana?
speaker la pioneer lile la 12 inch linaanzia watts 400( continues power)

kodtec 2913 total output power system ni 200 watts


we unafikir hpo ipi itakuwa inatema???
 
speaker la pioneer lile la 12 inch linaanzia watts 400( continues power)

kodtec 2913 total output power system ni 200 watts


we unafikir hpo ipi itakuwa inatema???
Bila shaka Pioneer mkuu litakuwa linakita zaidi ckuwa na jua spec za kodtec .
Itabidi nifanye namna nikusanye mazaga taratibu kodtec naona hawauzi tena hilo zaga
 
Oya zigo la filbert nimelichezea ni kisanga. [emoji3][emoji3][emoji3]
Hicho kisanga ndiyo nnacho kitaka mimi cjajua vitu vinavyo hitajika zaidi ya hilo li spika na gharama zake kamili niaze kuvikusanya kimoja baada ya kingine
 
Hicho kisanga ndiyo nnacho kitaka mimi cjajua vitu vinavyo hitajika zaidi ya hilo li spika na gharama zake kamili niaze kuvikusanya kimoja baada ya kingine
Leo nilikuwa studio maana pale sio geto. Combination ya Boschman amp +eq na Pioneer Sub woofers plus mids za xplod. Mziki unaotoka ni wa ukweli hakuna kipengele. Sub ni moja zingine hazijaungwa ila Pioneer imeamua ugomvi. 😀
DSC_0846.JPG
DSC_0848.JPG
 
mnyama 3003d4 hpo kati


ni kuzutesa pumbu hpo ndani[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2628905
Huu ubunifu mzuri kweli, Fursa hii tuitumie wazee wa sound. Hapo Amp 300K, Bass 200K, Midi 150k, Head Unit 50K, Power supply 50K, EQ 150K, SoundBox na ufundi 100K. Ukishafanikiwa hapo unaiuza 1.5M bila kokoro.
 
Hahahah waende wakaunguze hela. Hii setup ukiangalia gharama zake ni kama 1 million hivi. Ila mziki ni wa ukweli sana kuupata dukani uandae sio chini ya million 5.
Mziki wa ukweli tunaupima kwa kitu gani mkuu?

Watu wengi huwa wanaamini mziki bora ni mziki kuwa na Bass ya kufa mtu.

Mziki ni ZAIDI YA HAPO.

Kuna vitu kama hivi hapa (nataja vichache)[emoji116]

  • Soundstage
  • Imaging
  • Speakers kuwa na uwezo wa ku-dissappear.

Swali langu ni kwamba, Hizi system zetu tunazoongelea hapa zinatupa hayo mambo?

1. Tukisikiliza mziki, huwa tuna feel a realistic soundstage mbele yetu?

2. Je tunaweza kupoint-out vyombo vya mziki vikiimba? Mfano, unaweza kupoint out kinanda kipo wapi, gitaa lipo wapi etc? (IMAGING)

3. Unaposikiliza mziki, huwa Unamsikia Mwimbaji kutokea Katikati ya stage? Na waimbaji wengine unawasikia around her/him? Huwa tunapata huu UHALISIA ambao ndio upo in real life?
Au huwa tunasikia wanaimba kutokea kwenye Speakers?

4. Ukisikiliza mziki, hutakiwi kuzisikia speakers. Speakers SHOULD DISSAPPEAR COMPLETELY. Unatakiwa kusikia mziki kutokea mahali unapotakiwa kusikika (refering point no 2 on Imaging) lakini hutakiwi kuzisikia speakers zikitoa sauti.

Je, Hizi miziki zetu za budget(za jamii ya kina kodtec) huwa zinatupa hizi experience?
 
Mziki wa ukweli tunaupima kwa kitu gani mkuu?

Watu wengi huwa wanaamini mziki bora ni mziki kuwa na Bass ya kufa mtu.

Mziki ni ZAIDI YA HAPO.

Kuna vitu kama hivi hapa (nataja vichache)[emoji116]

  • Soundstage
  • Imaging
  • Speakers kuwa na uwezo wa ku-dissappear.

Swali langu ni kwamba, Hizi system zetu tunazoongelea hapa zinatupa hayo mambo?

1. Tukisikiliza mziki, huwa tuna feel a realistic soundstage mbele yetu?

2. Je tunaweza kupoint-out vyombo vya mziki vikiimba? Mfano, unaweza kupoint out kinanda kipo wapi, gitaa lipo wapi etc? (IMAGING)

3. Unaposikiliza mziki, huwa Unamsikia Mwimbaji kutokea Katikati ya stage? Na waimbaji wengine unawasikia around her/him? Huwa tunapata huu UHALISIA ambao ndio upo in real life?
Au huwa tunasikia wanaimba kutokea kwenye Speakers?

4. Ukisikiliza mziki, hutakiwi kuzisikia speakers. Speakers SHOULD DISSAPPEAR COMPLETELY. Unatakiwa kusikia mziki kutokea mahali unapotakiwa kusikika (refering point no 2 on Imaging) lakini hutakiwi kuzisikia speakers zikitoa sauti.

Je, Hizi miziki zetu za budget(za jamii ya kina kodtec) huwa zinatupa hizi experience?
We sound stage hio utaipata kwenye live band. Mziki ulioko recorded studio lazma usikie kwenye speaker.

Mziki wa live recording ndio utaimba hivyo unavyotaka wewe.
 
Back
Top Bottom