Kodtec Speaker systems

Kodtec Speaker systems

Kwa wale Music enthusiasts wenzangu last Weekend katika kuzurura katika viunga vya M.City i came across duka la Kodtec. Hawa jamaa wanauza appliances zao mbali mbali pale zikiwemo Subwoofers.

Kishindo cha mziki wenye vipimo madhubuti ambacho sikukitegemea kilipenya katika ngoma zangu za masikio na Ilibidi nizame chap kuuliza jamaa wanioneshe hicho kitu kinachotoa huo mziki. Cha ajabu ilikuwa ni subwoofer box moja hivi with sleek design.

Ukaguzi uliendelea na kuona ni subwofeer box yenye bass speakers 3! 2 Deep bass 12" Speakers kushoto na kulia wakati mbele kuna 10" Mid bass (woofer)! Hii subwoofer iko accompanied na Speaker ndogo za kupiga mid and high frequencies ambazo zinafanikisha hii Kodtec iwe super clear sound system.

Tukija kwenye wattage hii system ni 300Watts RMS value! Utaona kwamba Peak Music Power Output ni obvious itakuwa around 1200w! The bass effects that come out of this subwoofer ni exceptional you hear both boomy and dynamic bass effortlessly sijui wametumia amplifier aina gani humu ila mziki una sound kama mziki wa gari kabisa 😁😁😁!

Kimsingi nilikuwa naona subwoofer za 2.1 Channel ni utopolo ila sio kwa Subwoofer za Kodtec wazee, naomba niombe radhi kwa wamiliki wote wa Speaker Systems za Kodtec!

View attachment 1698253
UPDATE: Hii speaker ina bass radiators 2 kushoto na kulia ambazo ndio speaker mbili za ubavuni. Mbele ndio kuna Active Bass Speaker.

Kazi ya Radiators ni ku enrich bass frequency iwe deep bass. Ina maana za ubavuni haziko powered ila zina resonate na mapigo ya active speaker hapo mbele ili kuzalisha ile deep bass.
 

Attachments

  • IMG_20250128_132316.jpg
    IMG_20250128_132316.jpg
    770.6 KB · Views: 9
Kwa wale Music enthusiasts wenzangu last Weekend katika kuzurura katika viunga vya M.City i came across duka la Kodtec. Hawa jamaa wanauza appliances zao mbali mbali pale zikiwemo Subwoofers.

Kishindo cha mziki wenye vipimo madhubuti ambacho sikukitegemea kilipenya katika ngoma zangu za masikio na Ilibidi nizame chap kuuliza jamaa wanioneshe hicho kitu kinachotoa huo mziki. Cha ajabu ilikuwa ni subwoofer box moja hivi with sleek design.

Ukaguzi uliendelea na kuona ni subwofeer box yenye bass speakers 3! 2 Deep bass 12" Speakers kushoto na kulia wakati mbele kuna 10" Mid bass (woofer)! Hii subwoofer iko accompanied na Speaker ndogo za kupiga mid and high frequencies ambazo zinafanikisha hii Kodtec iwe super clear sound system.

Tukija kwenye wattage hii system ni 300Watts RMS value! Utaona kwamba Peak Music Power Output ni obvious itakuwa around 1200w! The bass effects that come out of this subwoofer ni exceptional you hear both boomy and dynamic bass effortlessly sijui wametumia amplifier aina gani humu ila mziki una sound kama mziki wa gari kabisa 😁😁😁!

Kimsingi nilikuwa naona subwoofer za 2.1 Channel ni utopolo ila sio kwa Subwoofer za Kodtec wazee, naomba niombe radhi kwa wamiliki wote wa Speaker Systems za Kodtec!

View attachment 1698253
UPDATE: Hii speaker ina bass radiators 2 kushoto na kulia ambazo ndio speaker mbili za ubavuni. Mbele ndio kuna Active Bass Speaker.

Kazi ya Radiators ni ku enrich bass frequency iwe deep bass. Ina maana za ubavuni haziko powered ila zina resonate na mapigo ya active speaker hapo mbele ili kuzalisha ile deep bass.
Ninayo 5 years now..nilichukua kwa wakala kabisa kkoo chini ya jengo la Simba..mimi ni shahidi wa hili..hili dude achana nalo aisee..nagombana sn na majirani imagine wakati nipo ndani ya fance 😂
 

Attachments

  • IMG_20250128_132316.jpg
    IMG_20250128_132316.jpg
    770.6 KB · Views: 5
Haipo kabisa
Mkuu Extrovert huwezi amini kwenye movement zangu za hapa na pale hapa Town (ARUSHA CiTY) nikaikuta kwa fundi mmoja wa simu anaiskiza, nikambembeleza aniuzie akasema niende na laki 3 na nusu ila laki 3 nahisi ataniachia.

Ila bro mziki niliousikia hapo ni balaa na nusu halafu ni road ila bass linamwagika kinoma .

Kuna ngoma niliitestia kwenye Bluetooth ya The Game .Ft. Dej Loaf _ Ryda... ndio niliamini hiyo sub ni nyoko.

[emoji24][emoji24][emoji24] Ila remote yake anadai ilipotea.
 
Mkuu Extrovert huwezi amini kwenye movement zangu za hapa na pale hapa Town (ARUSHA CiTY) nikaikuta kwa fundi mmoja wa simu anaiskiza, nikambembeleza aniuzie akasema niende na laki 3 na nusu ila laki 3 nahisi ataniachia.

Ila bro mziki niliousikia hapo ni balaa na nusu halafu ni road ila bass linamwagika kinoma .

Kuna ngoma niliitestia kwenye Bluetooth ya The Game .Ft. Dej Loaf _ Ryda... ndio niliamini hiyo sub ni nyoko.

[emoji24][emoji24][emoji24] Ila remote yake anadai ilipotea.
Ni balaa zito Sana hio mashine. Too bad hazikuzalishwa nyingi to live a tale of times.
 
Ninayo 5 years now..nilichukua kwa wakala kabisa kkoo chini ya jengo la Simba..mimi ni shahidi wa hili..hili dude achana nalo aisee..nagombana sn na majirani imagine wakati nipo ndani ya fance 😂
Hio Sound ni balaa Sana. Haijawahi tokea
 
Kwa wale Music enthusiasts wenzangu last Weekend katika kuzurura katika viunga vya M.City i came across duka la Kodtec. Hawa jamaa wanauza appliances zao mbali mbali pale zikiwemo Subwoofers.

Kishindo cha mziki wenye vipimo madhubuti ambacho sikukitegemea kilipenya katika ngoma zangu za masikio na Ilibidi nizame chap kuuliza jamaa wanioneshe hicho kitu kinachotoa huo mziki. Cha ajabu ilikuwa ni subwoofer box moja hivi with sleek design.

Ukaguzi uliendelea na kuona ni subwofeer box yenye bass speakers 3! 2 Deep bass 12" Speakers kushoto na kulia wakati mbele kuna 10" Mid bass (woofer)! Hii subwoofer iko accompanied na Speaker ndogo za kupiga mid and high frequencies ambazo zinafanikisha hii Kodtec iwe super clear sound system.

Tukija kwenye wattage hii system ni 300Watts RMS value! Utaona kwamba Peak Music Power Output ni obvious itakuwa around 1200w! The bass effects that come out of this subwoofer ni exceptional you hear both boomy and dynamic bass effortlessly sijui wametumia amplifier aina gani humu ila mziki una sound kama mziki wa gari kabisa 😁😁😁!

Kimsingi nilikuwa naona subwoofer za 2.1 Channel ni utopolo ila sio kwa Subwoofer za Kodtec wazee, naomba niombe radhi kwa wamiliki wote wa Speaker Systems za Kodtec!

View attachment 1698253
UPDATE: Hii speaker ina bass radiators 2 kushoto na kulia ambazo ndio speaker mbili za ubavuni. Mbele ndio kuna Active Bass Speaker.

Kazi ya Radiators ni ku enrich bass frequency iwe deep bass. Ina maana za ubavuni haziko powered ila zina resonate na mapigo ya active speaker hapo mbele ili kuzalisha ile deep bass.
Nimependa ufafanuzi wako wa kitaalam. Hata kama inaweza isiwe kweli lakini maelezo yako hamenyoka
 
Kwenye uchaguzi na ununuzi wa Home music, inahitaji sana taarifa kuhusu mahitaji, bajeti, uwezo na upatikanaji wa chombo.

Nimefanya utafiti wangu
Sony MHC M40D Bei 1,487,500/-
LG Xboom 1,100w Bei 935,000/- au 750,000/-

View attachment 3117711View attachment 3117712View attachment 3117714
The Sony MHC M40D and the LG XBOOM 1100W are both powerful home audio systems, but they cater to slightly different needs depending on features and performance preferences. Here's a comparison to help you decide:

### 1. Power Output
- Sony MHC M40D: The power output is around 600W RMS. While this may not be as high as the LG XBOOM, it still delivers powerful sound for a medium to large room.
- LG XBOOM 1100W: As the name suggests, the LG XBOOM offers a more powerful 1100W output, making it a better option if you are looking for a louder and more intense audio experience.

### 2. Bass and Sound Quality
- Sony MHC M40D: Known for its clear audio and decent bass. It has a Mega Bass feature that enhances low-end sound, making it a good choice for bass lovers, but it might not be as bass-heavy as the LG XBOOM.
- LG XBOOM 1100W: This system is more focused on delivering booming bass with its Bass Blast technology. It's perfect for those who prioritize a heavy, thumping bass experience.

### 3. Connectivity and Features
- Sony MHC M40D:
- Offers Bluetooth, NFC, HDMI ARC, and USB connectivity.
- Also supports Karaoke features with two mic inputs and vocal effects.
- Comes with a DVD/CD player and supports FM radio.
- LG XBOOM 1100W:
- Similar to the Sony, it has Bluetooth, USB, and AUX inputs.
- Includes a built-in Karaoke mode and DJ effects to add a party vibe.
- Unlike the Sony, it focuses more on DJ features like Party Accelerator and sound effects, giving more control to users for creating a club-like atmosphere.

### 4. Design and Portability
- Sony MHC M40D: Compact but powerful for its size, making it suitable for home use without taking up too much space. It has a more refined look compared to the LG.
- LG XBOOM 1100W: The LG XBOOM is larger and bulkier, designed more for outdoor events or large parties. Its size reflects its focus on power and bass output.

### 5. Price
- Sony MHC M40D: Typically, the Sony system is priced lower than the LG XBOOM, making it a good choice for those on a tighter budget who still want great sound quality.
- LG XBOOM 1100W: Generally more expensive due to its higher power output and party-focused features.

### 6. Best For
- Sony MHC M40D: Best for home users who want a balanced system for movies, music, and karaoke without the need for extreme bass.
- LG XBOOM 1100W: Best for users looking to host large parties or events where bass and loudness are the top priorities.

### Conclusion:
  • If you prioritize sound quality and karaoke features in a more balanced package, go with the Sony MHC M40D.
  • If you want more power and bass with DJ effects for parties and outdoor events, the LG XBOOM 1100W is the better option.
Redio ya Chumbami watt 1100? Ya nini?

It means every 1hour you play music consuption ya umeme ni 1unit.

Sisi wenye addiction ya Reggae na Bongo Hiphop tunapiga 24houra music labda Tannesco wakate umeme.

So it means niwe tayari 24units everyday
 
Redio ya Chumbami watt 1100? Ya nini?

It means every 1hour you play music consuption ya umeme ni 1unit.

Sisi wenye addiction ya Reggae na Bongo Hiphop tunapiga 24houra music labda Tannesco wakate umeme.

So it means niwe tayari 24units everyday
Nani amekuambia ni ya chumbani?? Hata kama ni watts 1100 ni home music system.

Na bado inaweza kuwa ndogo,
Mfano hiyo Sony MHC M40D ina Mkubwa wake Sony MHC M80D
images (30).jpeg

Bado zote ni home music system, kuona 1100watts ni nyingi ni kipimo chako jombaa
 
Ni balaa zito Sana hio mashine. Too bad hazikuzalishwa nyingi to live a tale of times.
Jamaa cjui kwann bidhaa zao wanatoa limited sn aisee.. kabla ya hii kuna dude moja ni 2 times ya hili la sasa aisee 🙌 nililikuta moja tu lilishalipiwa wakaniambia zutakuja zingine kumbe ndio ilikua last edition dah nilimaind vibaya mnoo 😀
Ni balaa zito Sana hio mashine. Too bad hazikuzalishwa nyingi to live a tale of times.
 
Jamaa cjui kwann bidhaa zao wanatoa limited sn aisee.. kabla ya hii kuna dude moja ni 2 times ya hili la sasa aisee 🙌 nililikuta moja tu lilishalipiwa wakaniambia zutakuja zingine kumbe ndio ilikua last edition dah nilimaind vibaya mnoo 😀
Jamaa ilikuwa wanapata customer base kubwa Sana sema wameshindwa wenyewe kuwa vizuri kwenye promo. Product zao nzuri Sana compared na wachina wengine.
 
Natafuta bass spika 10 inch angalau iwe na 2-4 ohms nkpata mtumba itakuwa poa zaidi
 
Back
Top Bottom