Kodtec Speaker systems

Kodtec Speaker systems

Habarini wakuu
Kama kuna mtu anaitaji car subwoofer ya nguvu yenye deep bass pia bado iko in clean condition,
Kuna hii pioneer tsw308d4
Made in Mexico
1400w 400rms
Bei ni 160k bila box
Ukichkua na box ni 200fixed
Location dodoma,
call /WhatsApp 0783715243
20240609_112100.jpg

Location dodoma,
call /WhatsApp 0783715243
20240609_112008.jpg
20240609_111856.jpg
20240609_111810.jpg
 
Jom
Leo bhana si nikaotea floor standing ya mjerumani

aloo wazee jamaa wa sound stage asipuuzwe aloo nimezitest hapo sound ni very cleannnnn yaani acha, sio kwamba zina mziki mkubwaaaa hapana ila sauti imechujwa vibaya mnooooo

yaani kiukweli clarity yke hyo kodtec ni tupa huko

ina bass nzuri, tweeter and mid bass viko clear sana sio kubwa kivile ila ni nzuri

so hpo nimeunga hpo na bufa la kodtec

ni pumbu tu zinacheza daaaah

sound over all naipa rate ya 7/10.

View attachment 2674547
Jombaa naomba location ya hio store, nikaperuzi.
 
Sasa mkuu hapo atleast utafute mziki kama huu, kwa pocha tu tauar unaonekana si wa kitoto, kuna mwenye nao?View attachment 2208812
Hili toleo la ovyo sana nilikuwa napita maeneo ya stand kuu(Arusha), Nikaiona nikaomba kuiskiliza duuh!! Sikuamini maskio yangu Mziki mbovu kweli afu linauzwa laki 6 na upuuzi .

Yaani Niki compare sound quality Bora hata hizi seapiano za laki 2 SP-1002 au angalau kidogo na hizi SP-661.

Nilichoka.n
 
Hili toleo la nyuma kidogo ila iko vuzuri nayo inatwanga balaa. Ubaya hawa generation zikishatoka sokoni hazirudigi. Hii kuikamata ni ngumu
Ipo nimeona hapa town japo sikuweza kuiskiza sound yake manake ilikuwa sealed ila hiyo 2812 na 2913 nimesikitika sijafanikiwa kuziona kabisa

[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Kwa ufupi hiyo Bluetooth multifunctional receiver ni kwamba inawagawia subwoofer na sound bar
wote kwa pamoja na Kwa sauti ileile.
(Au hata ukiongeza subwoofer nyingine au hometheater nyingine ni sawa tu ili zile port uzijaze Kwa output sound)
Ulinunua kiasi Gani hiyo multifunction receiver?
 
Kwa wale Music enthusiasts wenzangu last Weekend katika kuzurura katika viunga vya M.City i came across duka la Kodtec. Hawa jamaa wanauza appliances zao mbali mbali pale zikiwemo Subwoofers.

Kishindo cha mziki wenye vipimo madhubuti ambacho sikukitegemea kilipenya katika ngoma zangu za masikio na Ilibidi nizame chap kuuliza jamaa wanioneshe hicho kitu kinachotoa huo mziki. Cha ajabu ilikuwa ni subwoofer box moja hivi with sleek design.

Ukaguzi uliendelea na kuona ni subwofeer box yenye bass speakers 3! 2 Deep bass 12" Speakers kushoto na kulia wakati mbele kuna 10" Mid bass (woofer)! Hii subwoofer iko accompanied na Speaker ndogo za kupiga mid and high frequencies ambazo zinafanikisha hii Kodtec iwe super clear sound system.

Tukija kwenye wattage hii system ni 300Watts RMS value! Utaona kwamba Peak Music Power Output ni obvious itakuwa around 1200w! The bass effects that come out of this subwoofer ni exceptional you hear both boomy and dynamic bass effortlessly sijui wametumia amplifier aina gani humu ila mziki una sound kama mziki wa gari kabisa 😁😁😁!

Kimsingi nilikuwa naona subwoofer za 2.1 Channel ni utopolo ila sio kwa Subwoofer za Kodtec wazee, naomba niombe radhi kwa wamiliki wote wa Speaker Systems za Kodtec!

View attachment 1698253
UPDATE: Hii speaker ina bass radiators 2 kushoto na kulia ambazo ndio speaker mbili za ubavuni. Mbele ndio kuna Active Bass Speaker.

Kazi ya Radiators ni ku enrich bass frequency iwe deep bass. Ina maana za ubavuni haziko powered ila zina resonate na mapigo ya active speaker hapo mbele ili kuzalisha ile deep bass.
Napenda muziko mzuri uliochujwa..umenivutia
 
Back
Top Bottom