Kodtec Speaker systems

Kodtec Speaker systems

niandae budget kiasi gani mkuu
1. Tweeter zile za picnener au piezzo 1 pair 10k
2. Pioneer Mids 600w ninazo mpya 80k
3. Used pioneer sub (ninayo 307d2 ) 190k
4. Boshman amplifier 4 channels 1350w used clean condition 250k
5. Radio (head unit) 50k mpya
6. Boschann Mixer 100k
7. Box la sub 80k
8. Rca cables 10k
9. Power cables na waya za speakers roughly 15k.

===>Jumla ni 785k

10. Kama unataka kuweka nyumban utaongeza power supply ya ampere 30 ya 12v bei yake ni 85k
 
1. Pioneer midi speakers (ninazo mpya) 600w 80k.
2. Pioneer deep bass sub 307d2 used clean condition 180k.
3. Boschann 4ch. amplifier 1350w used clean condition 250k.
4. Boschann Mixer 100k.
5. Tweeter (piezzo au picnener) 15k
6. Radio head unit 50k mpya
7. waya za speakers 10k
8. Sub enclosure box 80k
9. Power cables 10k
10. Rca cables na 10k
===>Bajet ni 785k
Kama unataka kuufunga ndani utaongeza power supply ya 30amp au zaid ambayo bei yake ni 85k
 
1. Tweeter zile za picnener au piezzo 1 pair 10k
2. Pioneer Mids 600w ninazo mpya 80k
3. Used pioneer sub (ninayo 307d2 ) 190k
4. Boshman amplifier 4 channels 1350w used clean condition 250k
5. Radio (head unit) 50k mpya
6. Boschann Mixer 100k
7. Box la sub 80k
8. Rca cables 10k
9. Power cables na waya za speakers roughly 15k.

===>Jumla ni 785k

10. Kama unataka kuweka nyumban utaongeza power supply ya ampere 30 ya 12v bei yake ni 85k
Mkuu naja PM
 
Hio pioneer 307d2 imepata slot cabinet
Hapa lows sio za kubahatisha 🔥🔥🔥
20240602_105614.jpg
20240602_075431.jpg
20240602_075309.jpg
 
Ngoja vijana wa sound bar waje, watakuambia huu ni uchafu ndani ya nyumba
Kuna Siku nililetewa Vizio sound bar
Wqkqnitestia, so far Inapiga mziki wa kawaida sana ambao unasikika ila ile deep bass haimo kabisa yaan nilishangaa alafu bei yake 600k daah kiukwel kile kishindo cha mziki mnene na mzito wa pioneer hapo kwenye sound bar hakuna kabisa.
Pioneer ni another level .
Sasaivi kule kenya wanalia kuzitafuta hizi pioneer d12d2 na pioneer tsw307d2.
zinawindwa hatal.
Kiukwel kila mtu ana sikio Lake aseeh
 
Kuna Siku nililetewa Vizio sound bar
Wqkqnitestia, so far Inapiga mziki wa kawaida sana ambao unasikika ila ile deep bass haimo kabisa yaan nilishangaa alafu bei yake 600k daah kiukwel kile kishindo cha mziki mnene na mzito wa pioneer hapo kwenye sound bar hakuna kabisa.
Pioneer ni another level .
Sasaivi kule kenya wanalia kuzitafuta hizi pioneer d12d2 na pioneer tsw307d2.
zinawindwa hatal.
Kiukwel kila mtu ana sikio Lake aseeh
Mimi kuna mmoja alikuja akaniambia mbona una miliki mziki wa kizamani sana mzee, tafuta sound bar uweke hapa, nikamwambia subiri nikufungilie, sound yangu ina tower spika mbili acoustic auduo, centre na rear sorround brand ya onkyo na height sorround brand ya sony, na natumia avr ya kenwood, plus powered subwoofer y brand ya infinty 250watts rms with 28hz, na graphic eq ya 10band sansui.

Jamaa aliishia kuniambia tu nikupe sh?
 
Wakuu natafuta bass ya mziki wa gari kama hii yenye kitako kikubwa 0756 412 380 iwe 10 inch
1717592508255.jpg
 
Mmmh we jamaa una hatari maana hio avr ya Kenwood ni moto mwingine aseh
Kwa upande wa clean and punch bass inagonga balaa
Mimi kuna mmoja alikuja akaniambia mbona una miliki mziki wa kizamani sana mzee, tafuta sound bar uweke hapa, nikamwambia subiri nikufungilie, sound yangu ina tower spika mbili acoustic auduo, centre na rear sorround brand ya onkyo na height sorround brand ya sony, na natumia avr ya kenwood, plus powered subwoofer y brand ya infinty 250watts rms with 28hz, na graphic eq ya 10band sansui.

Jamaa aliishia kuniambia tu nikupe sh?
 
Back
Top Bottom