BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Jina lake halisi anaitwa Antoine Christophe Agbepa Mumba alizaliwa 13 July 1956),anajulikana zaidi kama Koffi Olomide, ni mkongo ambae anaimba mziki aina ya soukous, pia ni dansa mzuri, mtayarishaji mziki na composer.
Ana ngoma za dhahabu zilizotingisha sana katika career yake ya mziki. Ni muanzilishaji wa kundi la Quartier Latin International orchestra ambalo lilikua na wasanii mahiri kama Fally Ipupa na Ferré Gola.
Mimi namuitaga mzee wa mizigo [emoji23][emoji23][emoji23]...sijui mizigo yake kwenye video zake hua anawatoa wapi mana wanakuaga mizigo haswa halafu hua anawabambia haswa (sijui kama wanatokaga salama) [emoji2][emoji23][emoji23] kama video ya Etoile d'etat kwa sasa anaimba na kale kadada kana saut nzuri kinoma kanaitwa nani tukumbushane hapo chini....nasikia kua ni mtu wake kwa sasa, demu alimkomalia akamwambia kua asimchezee chezee tu amtumie kama wanawake wengine naona jamaa akamywea so anagonga kistaarabu (tetesi) .
Koffi hajachuja na hana mpango wa kuchuja nakumbuka tokea nasoma primary jamaa yuko kwenye gemu hadi sasa...ngoma yake ya LOI tulishindanishwa na watoto wengine kipind hicho kama kumi tuicheze ngoma ya LOI kama wanavocheza hahah nkashika nafas ya pili nakumbuka nilipewa zawadi ya keki [emoji23][emoji23][emoji23].
Ila kuna member mmoja humu nahis amekaa zaire sana au anaujua mziki wa zaire na wanamuziki wake, alitoaga thread nafikiri ya wanamuziki wa kongo na mambo yao ya black magic wanayotumia, kofi naye alimsema "u-black magic wake".
Anyway mwenye chochote aweze kuongezea kwa huyu mfalme wa mizigo [emoji23][emoji23][emoji23]...unakumbuka nini enzi hizo unapomsikia koffi olomide. Kuna kipindi nikiwa mdogo nilisoma gazeti moja liliandikwa hivi katika kichwa cha habari "USIMUONESHE MKEO KOFFI OLOMIDE" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ana ngoma za dhahabu zilizotingisha sana katika career yake ya mziki. Ni muanzilishaji wa kundi la Quartier Latin International orchestra ambalo lilikua na wasanii mahiri kama Fally Ipupa na Ferré Gola.
Mimi namuitaga mzee wa mizigo [emoji23][emoji23][emoji23]...sijui mizigo yake kwenye video zake hua anawatoa wapi mana wanakuaga mizigo haswa halafu hua anawabambia haswa (sijui kama wanatokaga salama) [emoji2][emoji23][emoji23] kama video ya Etoile d'etat kwa sasa anaimba na kale kadada kana saut nzuri kinoma kanaitwa nani tukumbushane hapo chini....nasikia kua ni mtu wake kwa sasa, demu alimkomalia akamwambia kua asimchezee chezee tu amtumie kama wanawake wengine naona jamaa akamywea so anagonga kistaarabu (tetesi) .
Koffi hajachuja na hana mpango wa kuchuja nakumbuka tokea nasoma primary jamaa yuko kwenye gemu hadi sasa...ngoma yake ya LOI tulishindanishwa na watoto wengine kipind hicho kama kumi tuicheze ngoma ya LOI kama wanavocheza hahah nkashika nafas ya pili nakumbuka nilipewa zawadi ya keki [emoji23][emoji23][emoji23].
Ila kuna member mmoja humu nahis amekaa zaire sana au anaujua mziki wa zaire na wanamuziki wake, alitoaga thread nafikiri ya wanamuziki wa kongo na mambo yao ya black magic wanayotumia, kofi naye alimsema "u-black magic wake".
Anyway mwenye chochote aweze kuongezea kwa huyu mfalme wa mizigo [emoji23][emoji23][emoji23]...unakumbuka nini enzi hizo unapomsikia koffi olomide. Kuna kipindi nikiwa mdogo nilisoma gazeti moja liliandikwa hivi katika kichwa cha habari "USIMUONESHE MKEO KOFFI OLOMIDE" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]