Koffi Olomide, Mzee Wa "Mizigo"

Koffi Olomide, Mzee Wa "Mizigo"

Ule mchepuko wake wenye sauti tamu unaitwa Cindy Le Ceour ukipenda mwite Cindy Moyo.
Mzee mzima alihonga vogue kwa baba ake Cindy.
Ila ana mke wake anayeitwa Alainne.Koffi amebahatika kuwa na watoto saba tu basi, akiwemo Didi Stone, Rocky (akawa anajiita papa Rocky), Del Pirlo, St. James na wengine, maana majina yake ni ya ajabu ajabu.
Koffi ni investor mzuri kwani ana hotel yenye hadhi sijui ya nyota tatu au tano, yaitwa Villa Del Pirlo maeneo ya Paris (tamka Pagh~s)
Hahahah ...dah cindy mtoto ana saut nyororo kumbe vogue ilitumika [emoji23][emoji23]
 
Uchambuzi mzuri wa kumuhusu ' Large Degaire ' Koffi Olomide na hongera sana kwa hilo Mkuu ila tambua ya kuwa hata kama ana uwezo gani ila katika fani yoyote ile kama huna ' nidhamu ' ni kazi bure. Koffi Olomide anasumbuliwa mno na ' ulimbukeni ' hasa baada ya kuwa ni Mtoto aliyekulia katika familia ya kimasikini na kuishi kimasikini vile vile mpaka alivyopata Pesa ndipo akaanza ' kubadilika ' na ndiyo maana hata afanyeje huwa ' hafurukuti ' kwa lolote au chochote kutoka kwa Vijana waliokulia katika ' utajiri ' akina Jean Bedele Tshituka Mpiana na Ngiama Makanda Werrason ambao wao ' mziki ' hawafanyii ' dhiki ' au ' shida ' hasa ukizingatia wote Baba zao walikuwa ni ' Mabalozi ' wa nchi kubwa za Ulaya enzi za Rais Mobutu Seseseko Kuku Wa Zabanga ' Le Grand Leadear '. Na anachokifanya sasa Koffi Olomide ni kuiba tu Wanamuziki wa akina Wenge Musica BCBG na Wenge Musica Maison Mere lakini kinachomuumiza na kumshangaza ni kwamba kila ' akinyakuwa ' Wanamuziki ' mahiri ' huko akina JB Mpiana na Werrason wanaingia ' chimbo ' na kuibua vijana wapya kabisa ambao huja kuwa ' moto wa kuotea mbali ' na ' tishio ' pia.

Mfano Koffi Olomide alimnyakuwa ' Drummer ' maarufu sana wa Wenge Musica BCBG ya JB Mpiana aitwae Titina Alcapone ' Le Grand Prete ' ila muda mfupi tu JB Mpiana akaibua ' fundi ' wa kuzikaanga ' chips ' ama ' drums ' aitwae Seguen Mignon a.k.a Maniata ambaye kwa kweli amemfunika vibaya mno Titina na sasa ' kapotea '.

Hakuishia tu hapo bali Koffi Olomide akaendelea na ' upuuzi ' wake ambapo safari hii akaenda katika bendi ya Werrason ya Wenge Musica Maison Mere na ' kumnyakua ' kwa ' jeuri ' Rapa au Fundi wa ' kughani ' wenyewe Wakongo huwaita ' atalakus ' na Wafaransa huwaita ' animateurs ' aitwae Rwinga Keps au kwa jina ' maarufu ' la muziki alijulikana sana kama ' Brigade Sabateur ' ambapo baada tu ya kumchukua Werrason hakuchelewa na mara moja akaenda kukiibua ' kifaa ' kimoja ' matata ' katika ' kurapu ' aliyekuwa akiitwa Celeo Mozami Muviu au kwa jina maarufu anaitwa ' Stramme ' ambaye alikuja kumfunika vibaya sana Brigade na hadi sasa kapotea.

Hata hivyo kwa faida yako Mkuu Koffi Olomide ni mzuri tu wa kuimba miziki hii ya ' Video ' ila wenye ' shughuli ' yao hasa katika ' live ' perfomances Congo nzima hakuna anayewafunika Wenge Musica BCBG ya JB Mpiana na Wenge Musica Maison Mere ya Werrason na ndiyo maaana hata Kampuni kubwa kabisa ya ' Kilevi ' kinachopendwa Congo nzima kiitwacho ' PRIMUS ' imeingia ' mkataba ' nao mnono lakini kwa Koffi Olomide ' wamesitisha ' baada ya kuona kuwa hana ' mashabiki ' wengi anapokuwa anapiga katika concerts zake sehemu mbalimbali duniani.
Dah very interesting mkuu..asante kwa uchambuzi mahiri.
Ila nlitaka sana kujua kuhusu u black magic wao wanaoutumia kuna mtu alisemaga humu kwenye thread au ni wewe mkuu?!

Kwa mfano nilisoma ya fally ipupa nilishangaa sana
 
Hivi huyo mzee ni mzima kweli maana inaonekana anapenda totoz balaa.
Hahaha nikisema mizigo ni mizigo kweli sio mchezo kiongozi...
"usimuoneshe mkeo koffi olomide" unafikiri kwanini waliandika vile [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wakuu naomba mniwekee link ya huyo ndugu aliewadadavua wasanii hawa na mambo yao ya kishirikina,pliz,pliz,pliz naomba mniwekee.nna hamu sn ya kusoma huo Uzi.natanguliza shukrani.
Mimi mwenyewe nautafuta mkuu sijaupata bado ila ni noma acha tu waone tu pale jukwaani
 
Mkuu umeniwahi tu kusema haya uliyoyasema,tatizo la GENTAMYCNE anawapenda sana bcbg wengemusica na wenge maison merre kiasi kwamba wamemtia upofu hata haoni ubora wa koffie Olomide but all in all koffie ni baba ya muziki kwa kizazi cha NNE Kongo.
Hapo kwenye kizazi cha nne mkuu.,,,,naomba untajie cha kwanza mpaka cha sasa na wanamuziki wake pia
GENTAMYCINE ahsante kwa kushusha data mujarab kwa kiwango kilichotukuka....
 
Cha kwanza ni cha akina Luambo Luanzo Makiadi,Tabu Ley,Papa Wemba kikafuata cha kina Kandabongoman, Boziboziana,Zaiko Langalanga,Loketo,Pepe Kalle, Dally Kimoko,Diblo Madilu system hiki kwa maoni yangu ndiyo kilikuwa kizazi cha dhahabu,halafu cha kina Werrason,JB,Extra Musica,Adolf Dominguez,Blasie Bula na cha sasa cha kina Fally Ipupa na Felle Gola.
 
Ferre gola hajawahi kuwa ktk kundi la quarel latin la koffi olomide - le padre alianzia mziki wenge musica 4x4 kabla ya kuvunjika ikiwa na akina werrason ngiama na JB mpiana baada ya mvunjiko aliendelea na JB Kidogo sana then akahamia kwa werrason baadae akajitegemea hizo album unazoona na koffi ni kuwa wameshirikiana tu featuring
 
Cha kwanza ni cha akina Luambo Luanzo Makiadi,Tabu Ley,Papa Wemba kikafuata cha kina Kandabongoman, Boziboziana,Zaiko Langalanga,Loketo,Pepe Kalle, Dally Kimoko,Diblo Madilu system hiki kwa maoni yangu ndiyo kilikuwa kizazi cha dhahabu,halafu cha kina Werrason,JB,Extra Musica,Adolf Dominguez,Blasie Bula na cha sasa cha kina Fally Ipupa na Felle Gola.
Hakuna mwanamuziki wa kikongomani ninayependa kusikiliza nyimbo zake ambazo hazijakaa kwenye mfumo wa kuchezeka sana kama Papa Wemba,I really like him
 
Jina lake halisi anaitwa Antoine Christophe Agbepa Mumba alizaliwa 13 July 1956),anajulikana zaidi kama Koffi Olomide, ni mkongo ambae anaimba mziki aina ya soukous, pia ni dansa mzuri, mtayarishaji mziki na composer.

Ana ngoma za dhahabu zilizotingisha sana katika career yake ya mziki. Ni muanzilishaji wa kundi la Quartier Latin International orchestra ambalo lilikua na wasanii mahiri kama Fally Ipupa na Ferré Gola.

Mimi namuitaga mzee wa mizigo [emoji23][emoji23][emoji23]...sijui mizigo yake kwenye video zake hua anawatoa wapi mana wanakuaga mizigo haswa halafu hua anawabambia haswa (sijui kama wanatokaga salama) [emoji2][emoji23][emoji23] kama video ya Etoile d'etat kwa sasa anaimba na kale kadada kana saut nzuri kinoma kanaitwa nani tukumbushane hapo chini....nasikia kua ni mtu wake kwa sasa, demu alimkomalia akamwambia kua asimchezee chezee tu amtumie kama wanawake wengine naona jamaa akamywea so anagonga kistaarabu (tetesi) .

Koffi hajachuja na hana mpango wa kuchuja nakumbuka tokea nasoma primary jamaa yuko kwenye gemu hadi sasa...ngoma yake ya LOI tulishindanishwa na watoto wengine kipind hicho kama kumi tuicheze ngoma ya LOI kama wanavocheza hahah nkashika nafas ya pili nakumbuka nilipewa zawadi ya keki [emoji23][emoji23][emoji23].

Ila kuna member mmoja humu nahis amekaa zaire sana au anaujua mziki wa zaire na wanamuziki wake, alitoaga thread nafikiri ya wanamuziki wa kongo na mambo yao ya black magic wanayotumia, kofi naye alimsema "u-black magic wake".


Anyway mwenye chochote aweze kuongezea kwa huyu mfalme wa mizigo [emoji23][emoji23][emoji23]...unakumbuka nini enzi hizo unapomsikia koffi olomide. Kuna kipindi nikiwa mdogo nilisoma gazeti moja liliandikwa hivi katika kichwa cha habari "USIMUONESHE MKEO KOFFI OLOMIDE" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 427355
View attachment 427356
huyu jamaa ana ngoma yake inaitwa droit di veto,kwa kbongo ina sound kama k*m* inauma... k*m* inaumaaa...
beloo belloo belloo...
 
Dah very interesting mkuu..asante kwa uchambuzi mahiri.
Ila nlitaka sana kujua kuhusu u black magic wao wanaoutumia kuna mtu alisemaga humu kwenye thread au ni wewe mkuu?!

Kwa mfano nilisoma ya fally ipupa nilishangaa sana

Yap Mkuu hawa Wanamuziki wa Congo karibia wote bila ' Ndumba ' muziki haunogi na ' wanaroga ' sana hawana ' utani ' katika hili.

Koffi Olomide... Hapandi jukwaani katika concert lolote bila kwenda ' chooni ' kujimwagia ' mkojo ' wake.

JB Mpiana... Hapandi jukwaani bila ' kumeza ' Chura ambaye lazima atafutwe eneo analoenda kupiga show yake.

Werrason... Hapandi jukwaani bila ama kufanya Mapenzi na ' Sokwe ' Jike au ' kubeba ' makende yake ( pumbu ) ambalo hupenda sana kuyaweka katika begi lake ' maalum ' linalowekwa pale pale jukwaani anapopiga.

Fally Ipupa baada ya kufanikiwa kumtoa ' Kafara ' Mama yake mzazi na kushtukiwa na kulaumiwa sana na Wakongo siku hizi kabadilisha mbinu zake za Ushirikina / Ulozi na sasa hupendelea sana kujifunga ' Kitambaa ' chake ' Chekundu ' usoni au akiwa anakinusa nusa kila mara na huwa akimaliza tu kupiga show yake ' hukichoma ' moto.

Ferre Gola... Hapandi jukwaani bila ' kunywa ' damu ya nyoka wakali na huu mtindo au aina ya ' Uchawi ' anaoutumia unafahamika sana kwa jina la ' Kindoki '.

Natamani sana uniulize hawa akina Twanga Pepeta, FM Academia na huyu Kijana Christian Bella kama na wao wanatumia ndumba au la kwani kwa ninachokijua kuwahusu kama nikikiweka hapa ' hadharani ' katika ' matamasha ' yao Watu hatutakuwa tunaenda tena kutokana na kwamba ni hatari, hatari, hatari Mkuu.

Hivi umeshajiuliza ni kwanini Bendi ambayo ilikuwa inakuja vizuri na imeshakamata kama ya Mashujaa sasa imepotea? Kwa tuliohudhuria ile show yao ya mwaka 2012 December pale Leaders Club na kilichotokea pale sishangai leo hii hiyo Bendi ' kupotea '. Naomba niishie hapa tafadhali!
 
Yap Mkuu hawa Wanamuziki wa Congo karibia wote bila ' Ndumba ' muziki haunogi na ' wanaroga ' sana hawana ' utani ' katika hili.

Koffi Olomide... Hapandi jukwaani katika concert lolote bila kwenda ' chooni ' kujimwagia ' mkojo ' wake.

JB Mpiana... Hapandi jukwaani bila ' kumeza ' Chura ambaye lazima atafutwe eneo analoenda kupiga show yake.

Werrason... Hapandi jukwaani bila ama kufanya Mapenzi na ' Sokwe ' Jike au ' kubeba ' makende yake ( pumbu ) ambalo hupenda sana kuyaweka katika begi lake ' maalum ' linalowekwa pale pale jukwaani anapopiga.

Fally Ipupa baada ya kufanikiwa kumtoa ' Kafara ' Mama yake mzazi na kushtukiwa na kulaumiwa sana na Wakongo siku hizi kabadilisha mbinu zake za Ushirikina / Ulozi na sasa hupendelea sana kujifunga ' Kitambaa ' chake ' Chekundu ' usoni au akiwa anakinusa nusa kila mara na huwa akimaliza tu kupiga show yake ' hukichoma ' moto.

Ferre Gola... Hapandi jukwaani bila ' kunywa ' damu ya nyoka wakali na huu mtindo au aina ya ' Uchawi ' anaoutumia unafahamika sana kwa jina la ' Kindoki '.

Natamani sana uniulize hawa akina Twanga Pepeta, FM Academia na huyu Kijana Christian Bella kama na wao wanatumia ndumba au la kwani kwa ninachokijua kuwahusu kama nikikiweka hapa ' hadharani ' katika ' matamasha ' yao Watu hatutakuwa tunaenda tena kutokana na kwamba ni hatari, hatari, hatari Mkuu.

Hivi umeshajiuliza ni kwanini Bendi ambayo ilikuwa inakuja vizuri na imeshakamata kama ya Mashujaa sasa imepotea? Kwa tuliohudhuria ile show yao ya mwaka 2012 December pale Leaders Club na kilichotokea pale sishangai leo hii hiyo Bendi ' kupotea '. Naomba niishie hapa tafadhali!
Daaah mkuu basi kama ni hivo naomba uje PM uniambie private please.
 
Cha kwanza ni cha akina Luambo Luanzo Makiadi,Tabu Ley,Papa Wemba kikafuata cha kina Kandabongoman, Boziboziana,Zaiko Langalanga,Loketo,Pepe Kalle, Dally Kimoko,Diblo Madilu system hiki kwa maoni yangu ndiyo kilikuwa kizazi cha dhahabu,halafu cha kina Werrason,JB,Extra Musica,Adolf Dominguez,Blasie Bula na cha sasa cha kina Fally Ipupa na Felle Gola.
Mkuu asante kwa kuwahi kujibu,nilichelewa sana kufungua jf lakini kabla sijamjibu mdau nikaiona hii ya kwako. Shukrani,umejitahidi.
 
Back
Top Bottom