Koffi Olomide: Special Thread

Koffi Olomide: Special Thread

Show kama hizi sio za kila mtu...hazihitaji nyomi la watu..na ndio maana kiingilio kidogo kimechangamka..ni show flan za kifaza..za kistaarabu..
 
Niko upanga hapa Nina ticket mbili ila moja kesho haitatumika koz jamaa yangu kapatwa na dharura ila kwa heshima yangu Bora hii ticket ipotee kuliko kuiuza maana id yangu jf ni mtaji wa trillion dollars
 
Kiingilio laki moja au milioni moja kwa meza moja yenye viti kumi na tiketi zote zimenunuliwa masaa 24 kabla ya show.


# Gracious Mopao.

# Muziki ya wakubwa.

# Somo kwa Diamond na wenzake: Acheni kupiga show za bure. Zile show Diamond unalipwa na kampuni Dola elfu arobaini upige show ya bure uwanjani kwa AJILI ya kupromote bidhaa au huduma za kampuni hiyo mwisho wa siku zitakuja kuua biashara ya show za muziki Tanzania.

Hiyo itawazoeza vibaya watanzania na mwisho wa siku ukipiga show ya kiingilio people won't show up.

# Kuuza album ilikufa.

# Show za mtu mmoja nazo zilikufa.

# Now mnataka kuua kabisa biashara ya show.

Jifunzeni kwa management ya Koffi. Asas wametoa kibunda cha kutosha kwa Koffi na show kiingilio laki na tiketi zote zimenunuliwa
sasa dola elfu arobaini ni kidogo!
 
Hivi na shabiki wa YANGA atakuwa kanunua tiketi leo kumuona KOFFI kesho wakati anajua jioni ya kesho atakuwa na huzuni ya kufungwa!! AU NI MASHABIKI WA SIMBA TU NDIO WATAJAA MLIMANI CITY KESHO!
 
Kiingilio laki moja au milioni moja kwa meza moja yenye viti kumi na tiketi zote zimenunuliwa masaa 24 kabla ya show.


# Gracious Mopao.

# Muziki ya wakubwa.

# Somo kwa Diamond na wenzake: Acheni kupiga show za bure. Zile show Diamond unalipwa na kampuni Dola elfu arobaini upige show ya bure uwanjani kwa AJILI ya kupromote bidhaa au huduma za kampuni hiyo mwisho wa siku zitakuja kuua biashara ya show za muziki Tanzania.

Hiyo itawazoeza vibaya watanzania na mwisho wa siku ukipiga show ya kiingilio people won't show up.

# Kuuza album ilikufa.

# Show za mtu mmoja nazo zilikufa.

# Now mnataka kuua kabisa biashara ya show.

Jifunzeni kwa management ya Koffi. Asas wametoa kibunda cha kutosha kwa Koffi na show kiingilio laki na tiketi zote zimenunuliwa
HATA KOFFIE NAYE KAFANYA KAMA DAMOND TU! ALISHALIPWA CHAKE ZAMANI.HAO WATAKAOPIGA MPUNGA WA KIINGILIO HICHO NI ASAS NA WENZAO
 
Bongo fleva wana mengi kujifunza kupitia hii shoo ya leo manake hapa KISANOLA linapigwa acha kabisa.
 
Back
Top Bottom