Hata mimi hapo zamani nilikuwa nawasema vibaya sana wakunga!
Ikanibidi nifanye utafiti; je lawama zile kwa wakunga zinawastahili!?
Katika chunguza chunguza niliweza kufika kwenye hospitali moja kama mme wa mzazi mmoja aliyekuwa leba kusubili kujifungua!
Nilifanikiwa kuwa karibu sana na mkunga kiasi kwamba nilishuhudia mambo magumu sana wakunga wanayokutana nayo!
Hebu fikiria mkunga mmoja anategemewa kuzalisha wanawake karibu 20 au zaidi!
Ndani kundi hilo la wajawazito!
Kila mjamzito aliyeleba anastyle mbalimbali ya kuugulia uchungu wake!
Jamii imekuwa ya lawama sana kiasi cha kukumbatia matukio yanayoonekana mtandaoni!
Mtakumbuka Askari zimamoto kule Kigoma alivyopongezwa na kupewa promotion kwa kuokoa mtoto kutoka kwenye shimo la choo!.
Askari ambaye kila siku anafanya mazoezi ya kushuka au kupanda na kamba, hivyo kuokoa ni wajibu wa kazi yake kama kazi zingine!
Hatukatai kuwapongeza, lakini nachotaka kusema hapa, ni vile jamii inamuona shujaa ni huyo askari anaeshuka na kamba kuopoa mtoto shimoni, lakini jamii ileile inamsimanga mkunga aliyeopoa kichanga kutoka tumboni!
ikumbukwe kosa moja tu la mkunga linasababisha kumkosa mama na mtoto au kupata mtoto kilema!
Sasa katika mazingira magumu ya kazi mkunga akipitiwa kidogo tu kumuweka sawa mama mjamzito inakuwa story!
Kwanini hatuwapi promotion WATU kama hawa? Kwanini hatuweki hata dodoso la siri kwa kila mjamzito anaejifungua ajaze max na jina la mkunga anaeona huduma yake ni nzuri hata tukawapongeza watu hawa?
Ebu fikiria mtu kutwa anagusa sehemu za siri tupu za kila aina!
Ebu vaeni uhusika wa ukunga japo siku moja, halafu mlipwe kwa LAWAMA muone mtajisikiaje!
Kama hatuwezi kuwapunguzia Msongamano Wakunga mahospitalini basi tuwape japo faraja na maneno ya shukrani!
ingekuwa Amri yangu! Wakunga wote ningewapa Special Allowance kila mwezi!
Ikanibidi nifanye utafiti; je lawama zile kwa wakunga zinawastahili!?
Katika chunguza chunguza niliweza kufika kwenye hospitali moja kama mme wa mzazi mmoja aliyekuwa leba kusubili kujifungua!
Nilifanikiwa kuwa karibu sana na mkunga kiasi kwamba nilishuhudia mambo magumu sana wakunga wanayokutana nayo!
Hebu fikiria mkunga mmoja anategemewa kuzalisha wanawake karibu 20 au zaidi!
Ndani kundi hilo la wajawazito!
Kila mjamzito aliyeleba anastyle mbalimbali ya kuugulia uchungu wake!
- Kuna wale wajawazito mimba zao za kwanza wasioelewa hata kupush
- Kuna wapo wajawazito wanaopush na kujamba pamoja
- Kuna wale wajawazito wanaopayuka na kutukana hovyohovyo wodini
- Kuna wale wanaowatukana waume zao kwa kuwataja majina wakiwa leba,...mfano utasikia; wee Mudy ulini.......mba ukanipa mimba, sahivi uko huko unakula raha na mahawala wengine, wee muddy Malaya mkubwa!...oooh Muddy wee mwanaume hufai kabisa, ona ninavyotaabika....etc
- Wapo wanaoingia uvunguni mwa kitanda wanapomuona mkunga kaingia!
- Wapo wanaobana mapaja kiasi cha kuhatarisha maisha ya mtoto na ni wabishi wanapoelekezwa
- Wapo wanasikilizia maumivu ya maji ya uchungu kiasi cha kusahau maelekezo ya mkunga!
- Wapo wajawazito wanadiliki kutukana hadi wakunga n.k
Jamii imekuwa ya lawama sana kiasi cha kukumbatia matukio yanayoonekana mtandaoni!
Mtakumbuka Askari zimamoto kule Kigoma alivyopongezwa na kupewa promotion kwa kuokoa mtoto kutoka kwenye shimo la choo!.
Askari ambaye kila siku anafanya mazoezi ya kushuka au kupanda na kamba, hivyo kuokoa ni wajibu wa kazi yake kama kazi zingine!
Hatukatai kuwapongeza, lakini nachotaka kusema hapa, ni vile jamii inamuona shujaa ni huyo askari anaeshuka na kamba kuopoa mtoto shimoni, lakini jamii ileile inamsimanga mkunga aliyeopoa kichanga kutoka tumboni!
ikumbukwe kosa moja tu la mkunga linasababisha kumkosa mama na mtoto au kupata mtoto kilema!
Sasa katika mazingira magumu ya kazi mkunga akipitiwa kidogo tu kumuweka sawa mama mjamzito inakuwa story!
Kwanini hatuwapi promotion WATU kama hawa? Kwanini hatuweki hata dodoso la siri kwa kila mjamzito anaejifungua ajaze max na jina la mkunga anaeona huduma yake ni nzuri hata tukawapongeza watu hawa?
Ebu fikiria mtu kutwa anagusa sehemu za siri tupu za kila aina!
Ebu vaeni uhusika wa ukunga japo siku moja, halafu mlipwe kwa LAWAMA muone mtajisikiaje!
Kama hatuwezi kuwapunguzia Msongamano Wakunga mahospitalini basi tuwape japo faraja na maneno ya shukrani!
ingekuwa Amri yangu! Wakunga wote ningewapa Special Allowance kila mwezi!