Kofi la mkunga kwa mama mjamzito limebeba ujumbe mzito; Wakunga wana mema mengi ya kusimulia

Kofi la mkunga kwa mama mjamzito limebeba ujumbe mzito; Wakunga wana mema mengi ya kusimulia

Ila kuna mkuu wa wilaya anaruhusiwa kumchalaza bwana Miraji fimbo za kutosha[emoji16] au afsa elimu kumzaba vibao mwalimu Kagere???
Hapa tunazungumzia ya mkunga mkuu, hawa wengine waache watafute sifa za kijinga kulinda ugali Kwa boss wao siku watakutana na chizi akisha mchapa na yeye anatemeshwa Meno kama sita hivi, wanajikuta wanagawana majumba ya serikali, huyu boss wao mwenyewe hajafikia hatua hii ya kupiga watu viboko, wanafikiri raia tunafurahia ujinga huo.
 
Ila kuna mkuu wa wilaya anaruhusiwa kumchalaza bwana Miraji fimbo za kutosha😁 au afsa elimu kumzaba vibao mwalimu Kagere???
Hata shamba boy/house girl akija kuwa bosi anafanya hivyo hivyo ka alivyofanyiwa, effect za ukoloni hazijaisha
 
Acha kutetea Udhalimu na Upuuuzi wa huyo asiye na Utu wala haiba ya Ukunga. Kazi pekee anayoweza kupewa na DED ni kuwa Mgambo wa Halmashauri akakusanye ushuru huko Ziwa Rukwa lkn kamwe msianze kuleta Utetezi kwa huyu kilaza mwenzenu.

Hizi kada za Afya na Elimu kukosa kufanyiwa Interview na Vetting za mara kwa mara zimejikuta zimekusanya mijitu Hopeless kabisa

Interview haitoshi, kazi hizo ili ufanye kwa weledi inabidi uipende kutoka moyoni.

Kutokana na umasikini wetu wengi huenda huko ili wapate ajira matokeo yake ndo hayo.

Same applies to walimu.
 
Na hayo matamshi wanayo wengi, pale Makole maabara kuna namba ya simu mlangoni wengi hawajui Ile namba ni ya Nani, ukifika maabara unaweza usimkute mtu pale ndani nasemea wakati wa usiku kumbe labda yupo anawajibika huko ndani au ametoka unakaa kumsubiri haji Kwa vile kuna namba mlango unaamua kupiga [emoji15] kosa umempigia boss naye anamtafuta. Hapo sasa umelianzisha cha kwanza atakuuliza Kwa nini usimuulize mlinzi hapo getini, unataka kuniharibia kazi, sasa kuna huyu mama ananongwa kila akikuona lazima akumbushie namwambia hivi ipo siku nitamrekodi halafu namuonyesho huyo boss wake na hanioni tena Makole, Bora angekuwa ndani lakini katokea maeneo ya getini, hospital zipo nyingi.
Pole mkuu
 
Mkuu mm natamani ikiwezekana shetani aniingize kwenye anga za fala mmoja anayekimbilia kurusha kofi/ngumi. Haki ya Mungu na hizi stress za maisha, nitamfanya vibaya, yani mpk walinzi wake wanifikie lazima nitakuwa nimwemwachia ukumbusho.

Hili suala linaniumiza sana mtima wangu. Haki naomba hili likatokee Nijinyoshee kenge mmoja anayedharirisha watu wenye familia na watot nyumbn!
Wakati unafanya hayo ukiwa na Mimba yako au utaiweka pembeni kwanza?
 
Mkuu, hivi huu ujasiri nilionao ni wa kiumbe kinachoconcieve mimba kweli??🤪,
Hivi ujasiri wa mjamzito unauona mdogo! Anyway Sasa huyo mkunga mtakutana naye wapi mbali na leba ili akupige kofi?
Au ulimaanisha kwenye daladala?
 
Vile vitanda haviko kwa kazi hiyo
Okay,,kwa hiyo akaona sakafu ndio ipo kwa kazi hiyo siyo.Watoto wengi tuu wanazaliwa kwenye vitanda vya kawaida siyo maeneo yote yenye vitanda special vya kutosha vya kujifungulia
 
Back
Top Bottom