Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
- Thread starter
- #61
Ila wewe umekuja ku-commentHicho kijarida kimepotea mapema sana chatini kama nyimbo za bongofleva za siku hizi. Unakilazimisha kitrendi tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wewe umekuja ku-commentHicho kijarida kimepotea mapema sana chatini kama nyimbo za bongofleva za siku hizi. Unakilazimisha kitrendi tena?
Uwongo hiyooo! Uwongo buana!!!!!Naendelea kusoma kitabu cha mwandishi Erik Kabendera, In the name of the President.
Kabendera anafichua juu ya tukio la mauaji ya Komando mstaafu wa JWTZ na ambaye alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la Mwaka 1982 dhidi ya Serikali ya Nyerere.
Kabendera anasema hayo wakati alipokuwa Gereza la Segerea wakati alipopewa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha pamoja ukwepaji kodi. “ Nilikuwa selo wakati nilipopewa kikaratasi kutoka kwa mtu asiyejulikana akiniambia kuwa Chistopher Kadego alikamatwa siku 3 nyuma kabla ya kukamatwa kwangu kisha kupigwa risasi na watu wasiojulikana.”
Kabendera anaendelea kufafanua; Kadego nilimfahamu kama miaka 15 iliyopita na alikuwa mtu mwema, sema kitendo chake kushiriki katika makundi mbalimbali ya waasi kama lile kundi la Kabila katika Vita dhidi ya Mobutu mwaka 1997 na baadae kupinga baadhi ya maamuzi ya Magufuli nafikiri matatizo yalianzia hapo.
Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.
Ikumbukwe Kadego alikuwa na miaka 67 hivyo hakuwa Kadego yule kijanaa machachari. Hayati Magufuli aliagiza Kadego “ashughulikiwe” maana alikuwa anahatarisha usalama wake.
Akatekwa na kupigwa risasi na watu waliokuja kujulikana baadae kuwa ni watu wa ikulu.
My note;
Hayati alikuwa muoga sana, unamuuaje mzee wa miaka 67? Hayati hakuwa na ubinadamu kabisa.
Ahsanteni kwa kuja kwenye uzi, iwe kijarida au laa! Haiondoi ubedui wa JiweHiki kijarida cha stori za kutunga watu wameki ignore mapema sana.
Hoja ipo wakati huo ni uwongoWafuasi wa Jiwe walete hoja hapa sio kubwabwaja, tunawasubiri
Ukweli uko wapi sasa? Pengine hata Kadego ndio unamsikia leo tangu uje dunianiUwongo hiyooo! Uwongo buana!!!!!
Lete ukweli sasa. Tuambie basi Kadego alikufa kwa malariaHoja ipo wakati huo ni uwongo
Wewe hapa umefanyaje?Mbona kitabu hakizungumziwi tena..?
Hii habari ya Kadego nimeifupisha, ila kwenye kitabu ipo kwa urefu. Inawezekana nimeifupisha sana ikaleta mkabganyiko ila haiondoi ukweli kuwa Kadego aliuwawa kwa oda ya Jiwe kwa mujibu wa MwandishiNaendelea kusoma kitabu cha mwandishi Erik Kabendera, In the name of the President.
Kabendera anafichua juu ya tukio la mauaji ya Komando mstaafu wa JWTZ na ambaye alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la Mwaka 1982 dhidi ya Serikali ya Nyerere.
Kabendera anasema hayo wakati alipokuwa Gereza la Segerea wakati alipopewa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha pamoja ukwepaji kodi. “ Nilikuwa selo wakati nilipopewa kikaratasi kutoka kwa mtu asiyejulikana akiniambia kuwa Chistopher Kadego alikamatwa siku 3 nyuma kabla ya kukamatwa kwangu kisha kupigwa risasi na watu wasiojulikana.”
Kabendera anaendelea kufafanua; Kadego nilimfahamu kama miaka 15 iliyopita na alikuwa mtu mwema, sema kitendo chake kushiriki katika makundi mbalimbali ya waasi kama lile kundi la Kabila katika Vita dhidi ya Mobutu mwaka 1997 na baadae kupinga baadhi ya maamuzi ya Magufuli nafikiri matatizo yalianzia hapo.
Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.
Ikumbukwe Kadego alikuwa na miaka 67 hivyo hakuwa Kadego yule kijanaa machachari. Hayati Magufuli aliagiza Kadego “ashughulikiwe” maana alikuwa anahatarisha usalama wake.
Akatekwa na kupigwa risasi na watu waliokuja kujulikana baadae kuwa ni watu wa ikulu.
My note;
Hayati alikuwa muoga sana, unamuuaje mzee wa miaka 67? Hayati hakuwa na ubinadamu kabisa.
Hasa mtu ambaye alikuwa mbabe na asiyekubali kukosolewaMtu akifa yatazungumzwa Mengi
Ujinga mtupu,My note;
Hayati alikuwa muoga sana, unamuuaje mzee wa miaka 67? Hayati hakuwa na ubinadamu kabisa.
Ukabila umekuharibu ubongoInaelekea Magu alimfanyia mbaya sana huyo Kabendera na kumwachia trauma!
Mitandao hii ni shida ndugu yangu. Unataka niiondoe hiyo picha? Unafikiri hilo litasaidia cho chote?Dah, inasikitisha mkuu, huyu mtu pengine ni kansa, pengine ni TB, pengine ni UKIMWI, pengine ni marehemu pengine ni lolote lile ila ndo anatrend hivyo. Watoto, mke, wazazi, ndugu jamaa na marafiki wanamuona anavyotumika mitandaoni na watu wasiojua uhalisia uliompata.
Alifikiri atatawala milele hicho ndicho kilichokuwa kinamsumbua.Naendelea kusoma kitabu cha mwandishi Erik Kabendera, In the name of the President.
Kabendera anafichua juu ya tukio la mauaji ya Komando mstaafu wa JWTZ na ambaye alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la Mwaka 1982 dhidi ya Serikali ya Nyerere.
Kabendera anasema hayo wakati alipokuwa Gereza la Segerea wakati alipopewa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha pamoja ukwepaji kodi. “ Nilikuwa selo wakati nilipopewa kikaratasi kutoka kwa mtu asiyejulikana akiniambia kuwa Chistopher Kadego alikamatwa siku 3 nyuma kabla ya kukamatwa kwangu kisha kupigwa risasi na watu wasiojulikana.”
Kabendera anaendelea kufafanua; Kadego nilimfahamu kama miaka 15 iliyopita na alikuwa mtu mwema, sema kitendo chake kushiriki katika makundi mbalimbali ya waasi kama lile kundi la Kabila katika Vita dhidi ya Mobutu mwaka 1997 na baadae kupinga baadhi ya maamuzi ya Magufuli nafikiri matatizo yalianzia hapo.
Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.
Ikumbukwe Kadego alikuwa na miaka 67 hivyo hakuwa Kadego yule kijanaa machachari. Hayati Magufuli aliagiza Kadego “ashughulikiwe” maana alikuwa anahatarisha usalama wake.
Akatekwa na kupigwa risasi na watu waliokuja kujulikana baadae kuwa ni watu wa ikulu.
My note;
Hayati alikuwa muoga sana, unamuuaje mzee wa miaka 67? Hayati hakuwa na ubinadamu kabisa.
Unaamini katika majungu? Kabendera since amekuwa affected na mfumo wa magufuli kamwe hawezi kumsema vizuri.Alikuwa ni mshamba na muoga,sasa yako wapi kaua wenzake na yeye kawa mfu.
Kitabu cha Majungu, hata hao publishers wasingekubali kwasababu wangefunguliwa mashtaka, lakini mpaka sasa hivi hakuna hata mtu mmoja aliyekanusha kilichoandikwa na Kabendera.Unaamini katika majungu? Kabendera since amekuwa affected na mfumo wa magufuli kamwe hawezi kumsema vizuri.
Ukweli hakumua... wewe umejuaje kama ndo nimemjua leo kadego?Ukweli uko wapi sasa? Pengine hata Kadego ndio unamsikia leo tangu uje duniani