Komando mstaafu na aliyeshriki Jaribio la Mapinduzi dhidi ya Nyerere mwaka 1982, Christopher Kadego alitekwa na kuuwawa kwa amri ya Rais Magufuli

Komando mstaafu na aliyeshriki Jaribio la Mapinduzi dhidi ya Nyerere mwaka 1982, Christopher Kadego alitekwa na kuuwawa kwa amri ya Rais Magufuli

Hiki kitabu sijajisumbua hata kukisoma, maana katika maisha ukiishi bila kuongozwa na hisia itakusaidia kutenganisha uongo na ukweli.
 
Naendelea kusoma kitabu cha mwandishi Erik Kabendera, In the name of the President.

Kabendera anafichua juu ya tukio la mauaji ya Komando mstaafu wa JWTZ na ambaye alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la Mwaka 1982 dhidi ya Serikali ya Nyerere.

Kabendera anasema hayo wakati alipokuwa Gereza la Segerea wakati alipopewa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha pamoja ukwepaji kodi. “ Nilikuwa selo wakati nilipopewa kikaratasi kutoka kwa mtu asiyejulikana akiniambia kuwa Chistopher Kadego alikamatwa siku 3 nyuma kabla ya kukamatwa kwangu kisha kupigwa risasi na watu wasiojulikana.”

Kabendera anaendelea kufafanua; Kadego nilimfahamu kama miaka 15 iliyopita na alikuwa mtu mwema, sema kitendo chake kushiriki katika makundi mbalimbali ya waasi kama lile kundi la Kabila katika Vita dhidi ya Mobutu mwaka 1997 na baadae kupinga baadhi ya maamuzi ya Magufuli nafikiri matatizo yalianzia hapo.

Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.

Ikumbukwe Kadego alikuwa na miaka 67 hivyo hakuwa Kadego yule kijanaa machachari. Hayati Magufuli aliagiza Kadego “ashughulikiwe” maana alikuwa anahatarisha usalama wake.

Akatekwa na kupigwa risasi na watu waliokuja kujulikana baadae kuwa ni watu wa ikulu.

My note;
Hayati alikuwa muoga sana, unamuuaje mzee wa miaka 67? Hayati hakuwa na ubinadamu kabisa.
Kwanini yeye kabendera aliyekuwa akimchafua magufuli kila siku hakuuawa aje auawe mtu ambaye hajawahi hata siku moja kumkosoa magufuli hadharani?
 
Hawa jamaa waliamua kuwa low profile baada ya kutoka jela.Ilikuwa siyo raising kuwajua.Mimi nilikuwa.msomaji mzuri wa gazeti la RAI nikawa nimesoma masimulizi ya kapten Maganga kuhusu jaribio la hayo mapinduzi.Miaka kadhaa baadaye nikaja kukutana na Maganga wakati naoa kwani mke wangu akimuita Maganga mjomba kiukoo.Hapo ndo nikaja kufahamiana na Maganga.Maganga akanitambulisha kwa Kadego,Badru Kajaja na kunihakikishia kuwa Zakaria Hanspope wa Simba alikuwa ni mwenzao.
Kwa jinsi ninavyoelewa, mpango huu wa kumchafua Hayat Rais J.P. Magufuli, ni kuzima "Fikra" kwa kusaidiwa na AI, kilichokosekana baada ya jitihada za kina Erythrocyte ChoiceVariable aka @Sunk cost Fallacy plus 1&2 na genge la mamluki hapa JF kuwa debunked, wakatafuta mtu ambaye anaweza kutumika kama mtu mwenye authority(undani undani)na credibility. Kabendera fits the criteria. umasikini na njaa zake pia ulitiliwa maanani.

Ametumika! hata waandishi wenzake wanatambua hilo.



Hayat Rais J.P.M na mwamsho wake wa kuitaka Tanzania na Afrika kujitegemea na kuacha kuwashobokea Wazungu, ilitikisa Dunia.

...iliwakwaza sana Wazungu na vibaraka wao
 
Eti mtu GEREZANI halafu mtu huyo huyo apate habari mbaya tu zaidi ya 100 kumhusu mtu mmoja tu....... tena taarifa hizo akizipata akiwa gerezani tena kutoka vyanzo tofauti....!
UFADHILI na NGUVU nyingi inayotumika kumchafua MAGUFULI unatia mashaka sana juu ya wenzetu hawa wenye ufadhili wa moja kwa moja wa nchi za ULAYA......
(Nimefurahi kwa sehemu kwa TRUMP kuifutilia mbali USAID kwani inafadhili baadhi ya machafuko kwenye nchi kama upuuzi huu)

NB: baada ya USAID kufaliki, tutegemee wanasiasa wengi "waliojikimbiza" kurejea na kuacha upuuzi wao wa kuichafua nchi yetu pendwa kwa manufaa yao na ya WEUPE
Magufuli anachafuliwa kwani alikuwa msafi?
 
Kwa jinsi ninavyoelewa, mpango huu wa kumchafua Hayat Rais J.P. Magufuli, ni kuzima "Fikra" kwa kusaidiwa na AI, kilichokosekana baada ya jitihada za kina Erythrocyte ChoiceVariable aka @Sunk cost Fallacy plus 1&2 na genge la mamluki hapa JF kuwa debunked, wakatafuta mtu ambaye anaweza kutumika kama mtu mwenye authority(undani undani)na credibility. Kabendera fits the criteria. umasikini na njaa zake pia ulitiliwa maanani.

Ametumika! hata waandishi wenzake wanatambua hilo.



Hayat Rais J.P.M na mwamsho wake wa kuitaka Tanzania na Afrika kujitegemea na kuacha kuwashobokea Wazungu, ilitikisa Dunia.

...iliwakwaza sana Wazungu na vibaraka wao
Kabendera aliandika ukweli kuhusu dhalimu magu.
 
Kwa jinsi ninavyoelewa, mpango huu wa kumchafua Hayat Rais J.P. Magufuli, ni kuzima "Fikra" kwa kusaidiwa na AI, kilichokosekana baada ya jitihada za kina Erythrocyte ChoiceVariable aka @Sunk cost Fallacy plus 1&2 na genge la mamluki hapa JF kuwa debunked, wakatafuta mtu ambaye anaweza kutumika kama mtu mwenye authority(undani undani)na credibility. Kabendera fits the criteria. umasikini na njaa zake pia ulitiliwa maanani.

Ametumika! hata waandishi wenzake wanatambua hilo.



Hayat Rais J.P.M na mwamsho wake wa kuitaka Tanzania na Afrika kujitegemea na kuacha kuwashobokea Wazungu, ilitikisa Dunia.

...iliwakwaza sana Wazungu na vibaraka wao
Uongo hautakusaidia lolote
 
Back
Top Bottom