Unasubiri mpaka wa advance ndo na wewe uadvance, itakuwa too late. Fuatilia vita ya Armenia na Azerbaijan utaona umuhimu wa kujiandaa mapema.Sahihi kabisa...... Nakubali...
Mi nachotaka kujua huyo anayesema ishu ya drone kwani hao tunaopambana nao wapo advanced kiasi gani..?
Ceremonial zaidikomando kabeba mpaka pingu.
Ni kweli mkuu hapo sasa nimekuelewa nimejaribu kufatilia hapa mtandaoni hii vita ya Armenia na Azerbaijan duuuh aiseee nimejifunza kituUnasubiri mpaka wa advance ndo na wewe uadvance, itakuwa too late. Fuatilia vita ya Armenia na Azerbaijan utaona umuhimu wa kujiandaa mapema.
Yah, jamaa(Azeribaijan) alijiandaa kwa kujifunza weekeness za mwenzake, alijiandaa kuhakikisha ana drones za kutosha ( Byraktar), mwezake alikuwa na misilaha mizito lakini vita alishinda asubuhi na mapema.Ni kweli mkuu hapo sasa nimekuelewa nimejaribu kufatilia hapa mtandaoni hii vita ya Armenia na Azerbaijan duuuh aiseee nimejifunza kitu
SawaVita ni vita...huwa tunatumia silaha yoyote ile tukiwa vitani hata jiwe kama unadhani litafaa unatumia tuuu
Sema marekani wanamsapoti ArmeniaYah, jamaa(Azeribaijan) alijiandaa kwa kujifunza weekeness za mwenzake, alijiandaa kuhakikisha ana drones za kutosha ( Byraktar), mwezake alikuwa na misilaha mizito lakini vita alishinda asubuhi na mapema.
Azeri anasapotiwa na Turkey.Sema marekani wanamsapoti Armenia
Ameenda kupigana au kuwinda ndege? Wenzetu huwa wanapewa food rations labda anapewa package ya kula week moja au siku kadhaaa, vinakuwa simple kuandaa just mixing na kupasha, ili wacontrate na vita, hawana muda wa kuanza kuwinda ndege na kupika ugali vitani.
Hao wanaopewa hizo package siyo wenzenu, wenzenu ni hawa wanaoenda na manati za kuwindia...Ameenda kupigana au kuwinda ndege? Wenzetu huwa wanapewa food rations labda anapewa package ya kula week moja au siku kadhaaa, vinakuwa simple kuandaa just mixing na kupasha, ili wacontrate na vita, hawana muda wa kuanza kuwinda ndege na kupika ugali vitani.
Huwezi onesha kila kitu hadharani, hayo ni maonesho tu na ndio maana ukifuatilia sana ni km huwa wanarudia rudiaDrone muhimu sana kwenye survaillance, n hata guidance, yale mambo ya kufyatua makombora bila kujua yanatua wapi yamepitwa na wakati, vita siku hizi ni uchumi, tumia silaha chache but maangamizi makubwa. Kuna hizi pia zinaitwa quadcopter, ni drones zinabeba mizinga au grenades zinakuja mpaka hapo juu yako zeni kinaachia bomu. Hizo drones zimebadilisha sana tides ya vita kwa sana. Kuna zingine zinaitwa fpv drones ni drones zinakuwa suicidal inakuja kujibamiza hapo mlipo but inakuwa imebeba milipuko. Kombination na hiyo inaweza hamisha vita kwenye favour yenu.
Hahahahaha , huwezi oneshwa vitu vyote , mengine ukitaka kajiunge tu ukiwa huko ndio utajua vzrUnasubiri mpaka wa advance ndo na wewe uadvance, itakuwa too late. Fuatilia vita ya Armenia na Azerbaijan utaona umuhimu wa kujiandaa mapema.
Naona komandoo wa kwenye picha yetu hakukumbuka kubeba hivi vyakula. Inshallah panapo majaliwa kama atasoma comments hizi mwakani atabeba kilo kadhaa za chakula ili kunogesha mbwembwe zake kwenye maonyesho ya sikukuu husika.Ameenda kupigana au kuwinda ndege? Wenzetu huwa wanapewa food rations labda anapewa package ya kula week moja au siku kadhaaa, vinakuwa simple kuandaa just mixing na kupasha, ili wacontrate na vita, hawana muda wa kuanza kuwinda ndege na kupika ugali vitani.
View attachment 2870779View attachment 2870780
Aisee hawa makomandoo wetu ni hatari sana!Huwezi onesha kila kitu hadharani, hayo ni maonesho tu na ndio maana ukifuatilia sana ni km huwa wanarudia rudia
Wanatunguliaga ndege wakiwa maporini na kuwapiga Wamasai waishio hukoKwenye uwanja wa vita kuna mambo mengi sana, nilikuwa sijui kwamba Makomandoo huwa wanatumia manati wakiwa kwenye ulingo wa Vita.
ANGALIA HAPA JINSI KOMANDO ALIVYOBEBA MANATI
View attachment 2870543