Komando na Manati

Komando na Manati

Unasubiri mpaka wa advance ndo na wewe uadvance, itakuwa too late. Fuatilia vita ya Armenia na Azerbaijan utaona umuhimu wa kujiandaa mapema.
Ni kweli mkuu hapo sasa nimekuelewa nimejaribu kufatilia hapa mtandaoni hii vita ya Armenia na Azerbaijan duuuh aiseee nimejifunza kitu
 
Ni kweli mkuu hapo sasa nimekuelewa nimejaribu kufatilia hapa mtandaoni hii vita ya Armenia na Azerbaijan duuuh aiseee nimejifunza kitu
Yah, jamaa(Azeribaijan) alijiandaa kwa kujifunza weekeness za mwenzake, alijiandaa kuhakikisha ana drones za kutosha ( Byraktar), mwezake alikuwa na misilaha mizito lakini vita alishinda asubuhi na mapema.
 
Kuulia ndege porini kwa ajili ya chakula...


Cc: Antonnia
Ameenda kupigana au kuwinda ndege? Wenzetu huwa wanapewa food rations labda anapewa package ya kula week moja au siku kadhaaa, vinakuwa simple kuandaa just mixing na kupasha, ili wacontrate na vita, hawana muda wa kuanza kuwinda ndege na kupika ugali vitani.
IMG_20240113_192851.jpg
IMG_20240113_192810.jpg
 
Ameenda kupigana au kuwinda ndege? Wenzetu huwa wanapewa food rations labda anapewa package ya kula week moja au siku kadhaaa, vinakuwa simple kuandaa just mixing na kupasha, ili wacontrate na vita, hawana muda wa kuanza kuwinda ndege na kupika ugali vitani.
Hao wanaopewa hizo package siyo wenzenu, wenzenu ni hawa wanaoenda na manati za kuwindia...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...


Cc: Antonnia
 
Drone muhimu sana kwenye survaillance, n hata guidance, yale mambo ya kufyatua makombora bila kujua yanatua wapi yamepitwa na wakati, vita siku hizi ni uchumi, tumia silaha chache but maangamizi makubwa. Kuna hizi pia zinaitwa quadcopter, ni drones zinabeba mizinga au grenades zinakuja mpaka hapo juu yako zeni kinaachia bomu. Hizo drones zimebadilisha sana tides ya vita kwa sana. Kuna zingine zinaitwa fpv drones ni drones zinakuwa suicidal inakuja kujibamiza hapo mlipo but inakuwa imebeba milipuko. Kombination na hiyo inaweza hamisha vita kwenye favour yenu.
Huwezi onesha kila kitu hadharani, hayo ni maonesho tu na ndio maana ukifuatilia sana ni km huwa wanarudia rudia
 
Ameenda kupigana au kuwinda ndege? Wenzetu huwa wanapewa food rations labda anapewa package ya kula week moja au siku kadhaaa, vinakuwa simple kuandaa just mixing na kupasha, ili wacontrate na vita, hawana muda wa kuanza kuwinda ndege na kupika ugali vitani.
View attachment 2870779View attachment 2870780
Naona komandoo wa kwenye picha yetu hakukumbuka kubeba hivi vyakula. Inshallah panapo majaliwa kama atasoma comments hizi mwakani atabeba kilo kadhaa za chakula ili kunogesha mbwembwe zake kwenye maonyesho ya sikukuu husika.
 
Huwezi onesha kila kitu hadharani, hayo ni maonesho tu na ndio maana ukifuatilia sana ni km huwa wanarudia rudia
Aisee hawa makomandoo wetu ni hatari sana!

Hata Navy SEALs hawaoni ndani.

Yaani hawa wa kwetu wangepewa kazi ya kumtafuta Osama baada ya 9/11, ingechukua siku mbili tu kumpata.

Na ndo maana huwezi kuwaona Delta Force, Army Rangers, au Navy SEALs kwenye maonyesho yoyote yale kwa sababu watatia aibu tu ukilinganisha na hawa wa kwetu!

JWTZ ni jeshi hatari sana 🫡.

😉
 
Back
Top Bottom