sitagliptin
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,208
- 2,525
tanzania itakuwa taifa la kwanza commando kutumia manati
nchi za wenzetu huu ujinga hauwezi kuwepo
mara fire extinguisher
ya nini
zaid ni kumfanya awe mzito hata kukimbia au kukimbiza ashindwe ulingoni mwa vita
mara miwani ya kuchomelea hivyo kweli si hapana
labda kwa kuwa ni sherehe na wameweza kusherehesha
dunia ya sasa ni vita vya kisasa
technology ndo inarun vita
mfano ma drone sio tu helicopter
kanapaa kanalipuliwa sekunde n drone
komandoo utafikir mbeba mizigo
hapana
nchi za wenzetu huu ujinga hauwezi kuwepo
mara fire extinguisher
ya nini
zaid ni kumfanya awe mzito hata kukimbia au kukimbiza ashindwe ulingoni mwa vita
mara miwani ya kuchomelea hivyo kweli si hapana
labda kwa kuwa ni sherehe na wameweza kusherehesha
dunia ya sasa ni vita vya kisasa
technology ndo inarun vita
mfano ma drone sio tu helicopter
kanapaa kanalipuliwa sekunde n drone
komandoo utafikir mbeba mizigo
hapana