Komandoo ni Cheo au ni mtu wa namna gani?

Komandoo ni Cheo au ni mtu wa namna gani?

akilimalikisuse

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2014
Posts
263
Reaction score
138
Wakuu,habari za mihangaiko ya kutafuta ridhiki?Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu mtu anae itwa komando.Je,ni cheo? ni uwezo wa Siha au utimamu wa mwili ulio pita kiasi cha uvumilivu?Wana patikanaje katika ngazi ya jeshi?.Nchi kama Tanzania ina kadiriwa kuwa na makomandoo wangapi?

Nitashukuru sana nikipatiwa ufafanuzi huo
 
Mleta Thread Usipate Tabu
Nenda Google Ukafanye Searching
Huu Mjadala Umeshajadiliwa Humu Jf Na Majibu Mazuri Utayapata
 
Komandoo ni mtu aliyepitia kozi maalumu ya mafunzo ya kijeshi.
Kozi hiyo hufanyika baada ya askari kupitia mafunzo ya kozi ya awali(Recruits training schoo au RTS).

RTS kwa sasa ni RTS Oljoro na RTS Msata(Kihangaiko), ile RTS ya Makutupola Dodoma ilishasitishwa.

Baada ya RTS ndio baadhi ya askari huchaguliwa kwenda kujifunza mafunzo maalumu ya ukomandoo(kwa ufupi hawa ndo high level trained soldiers), kozi yao ni 92KJ Ngerengere hapo Morogoro.

Sitaki swali zaidi ya hapo.
 
Wakuu,habari za mihangaiko ya kutafuta ridhiki?Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu mtu anae itwa komando.Je,ni cheo? ni uwezo wa Siha au utimamu wa mwili ulio pita kiasi cha uvumilivu?Wana patikanaje katika ngazi ya jeshi?.Nchi kama Tanzania ina kadiriwa kuwa na makomandoo wangapi?

Nitashukuru sana nikipatiwa ufafanuzi huo

Fungua google andika going commando utasoma zaidi hapa usisahau kuja kunipa mrejesho ukipata majibu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Wakuu,habari za mihangaiko ya kutafuta ridhiki?Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu mtu anae itwa komando.Je,ni cheo? ni uwezo wa Siha au utimamu wa mwili ulio pita kiasi cha uvumilivu?Wana patikanaje katika ngazi ya jeshi?.Nchi kama Tanzania ina kadiriwa kuwa na makomandoo wangapi?

Nitashukuru sana nikipatiwa ufafanuzi huo
Unataka kujua idadi ya makomandoo ili iweje? Au unataka kuipindua the next qns utauliza ni wanaishi wapi
 
Komandoo ni mtu aliyepitia kozi maalumu ya mafunzo ya kijeshi.
Kozi hiyo hufanyika baada ya askari kupitia mafunzo ya kozi ya awali(Recruits training schoo au RTS).

RTS kwa sasa ni RTS Oljoro na RTS Msata(Kihangaiko), ile RTS ya Makutupola Dodoma ilishasitishwa.

Baada ya RTS ndio baadhi ya askari huchaguliwa kwenda kujifunza mafunzo maalumu ya ukomandoo(kwa ufupi hawa ndo high level trained soldiers), kozi yao ni 92KJ Ngerengere hapo Morogoro.

Sitaki swali zaidi ya hapo.
nashukuru sana
 
Komandoo ni mtu aliyepitia kozi maalumu ya mafunzo ya kijeshi.
Kozi hiyo hufanyika baada ya askari kupitia mafunzo ya kozi ya awali(Recruits training schoo au RTS).

RTS kwa sasa ni RTS Oljoro na RTS Msata(Kihangaiko), ile RTS ya Makutupola Dodoma ilishasitishwa.

Baada ya RTS ndio baadhi ya askari huchaguliwa kwenda kujifunza mafunzo maalumu ya ukomandoo(kwa ufupi hawa ndo high level trained soldiers), kozi yao ni 92KJ Ngerengere hapo Morogoro.

Sitaki swali zaidi ya hapo.
hawawezi kujitokeza kuja kujibu maana tayari kuna Uzi wa kuwadhalilisha ulianzishwa baada tu ya ile show yao pale viwanja vya jamuhuri.
shukrani
 
Nilivyoelewa komandoo ni mwanajeshi awe na cheo asiwe nacho aliyepewa mafunzo maalumu ya kikomandoo. Nauliza tofauti ya komandoo na special force?

Na washawasha!
 
Nilivyoelewa komandoo ni mwanajeshi awe na cheo asiwe nacho aliyepewa mafunzo maalumu ya kikomandoo. Nauliza tofauti ya komandoo na special force?

Na washawasha!
Komandoo na special forces ni kitu kimoja.
Wenzetu kule wanaita special force sisi huku tjnaita komando... komando ni jina lilikuwa likitumika zamani.
 
Komando na special force ni kitu kimoja? Mimi sijui lakini sidhani kama ni sahihi..ngoja nisubiri wataalamu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Komandoo ni mtu aliyepitia kozi maalumu ya mafunzo ya kijeshi.
Kozi hiyo hufanyika baada ya askari kupitia mafunzo ya kozi ya awali(Recruits training schoo au RTS).

RTS kwa sasa ni RTS Oljoro na RTS Msata(Kihangaiko), ile RTS ya Makutupola Dodoma ilishasitishwa.

Baada ya RTS ndio baadhi ya askari huchaguliwa kwenda kujifunza mafunzo maalumu ya ukomandoo(kwa ufupi hawa ndo high level trained soldiers), kozi yao ni 92KJ Ngerengere hapo Morogoro.

Sitaki swali zaidi ya hapo.
Shukran kamanda ova....!!
 
Back
Top Bottom