Komandoo ni Cheo au ni mtu wa namna gani?

Komandoo ni Cheo au ni mtu wa namna gani?

Sio kila special force ni komandoo.

Special force ni watu maalumu waliobobea katika jambo flani, ambapo wao ndio huhitajika kwa ajili ya kukabiliana na tukio lolote linalohusiana na eneo ambalo wao ni wataalamu.

Kwa mfano FFU ni special force kwa polisi kazi yao ni kutuliza ghasia( Field Force Unit).

Magereza wana special force( wanaita special task force au kikosi maalumu cha kutuliza ghasia magerezani-KMKGM).

Jwtz ndio kuna Komandoo ambao ni special task force kwa ajili ya vita nchi mbali mbali (wanaenda missions pia), kwa ufupi komandoo ndio wanajeshi waliopitia mafunzo ya hali ya juu zaidi kuzidi wanajeshi wa kawaida, nao pia wamegawanyika kuna waliojikita katika ukomandoo wa majini(Navy), kuna ambao ni ni wataalamu wa angani na pia kuna wataalamu wa vita ya ardhini lakini wote ni komandoo, kiufupi wao ndio hujifunza karibia kila kitu kuhusu vita na defence.

Kwa sababu ya kuwepo kwa viwango tofauti tofauti vya elimu kuna komandoo ni askari wa kawaida(private mpaka warranty officers) pia kuna maafisa ni komandoo(Luteni usu mpaka Luteni General au hata General kabisa)
Kama hujaelewa uliza mkuu
Bora umeruhusu kuuliza maswali
 
Sio kila special force ni komandoo.

Special force ni watu maalumu waliobobea katika jambo flani, ambapo wao ndio huhitajika kwa ajili ya kukabiliana na tukio lolote linalohusiana na eneo ambalo wao ni wataalamu.

Kwa mfano FFU ni special force kwa polisi kazi yao ni kutuliza ghasia( Field Force Unit).

Magereza wana special force( wanaita special task force au kikosi maalumu cha kutuliza ghasia magerezani-KMKGM).

Jwtz ndio kuna Komandoo ambao ni special task force kwa ajili ya vita nchi mbali mbali (wanaenda missions pia), kwa ufupi komandoo ndio wanajeshi waliopitia mafunzo ya hali ya juu zaidi kuzidi wanajeshi wa kawaida, nao pia wamegawanyika kuna waliojikita katika ukomandoo wa majini(Navy), kuna ambao ni ni wataalamu wa angani na pia kuna wataalamu wa vita ya ardhini lakini wote ni komandoo, kiufupi wao ndio hujifunza karibia kila kitu kuhusu vita na defence.

Kwa sababu ya kuwepo kwa viwango tofauti tofauti vya elimu kuna komandoo ni askari wa kawaida(private mpaka warranty officers) pia kuna maafisa ni komandoo(Luteni usu mpaka Luteni General au hata General kabisa)
Kama hujaelewa uliza mkuu
wanajeshi wanaoenda congo au sudan kumbe ni makomandoo asante mkuu nilikua sijui
 
Wakuu,habari za mihangaiko ya kutafuta ridhiki?Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu mtu anae itwa komando.Je,ni cheo? ni uwezo wa Siha au utimamu wa mwili ulio pita kiasi cha uvumilivu?Wana patikanaje katika ngazi ya jeshi?.Nchi kama Tanzania ina kadiriwa kuwa na makomandoo wangapi?

Nitashukuru sana nikipatiwa ufafanuzi huo
Ni kitengo nadani ya jeshi kama ilivyo MP(Polisi jeshi), Hospitali, Utamaduni (Kwaya, Bendi, Ngoma n.k) Usafirishaji, Ujenzi na vingine vingi tu vipo kila kimoja na kazi yake. Vingi ya vitengo hivyo huwajumuisha kwenye shughuli maalumu ingawa vingine hufanya shughuli husika kwa muda wote.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Niliwah kuambiwa kuwa hata MAGEREZA kuna KIKOSI CHA MAKOMANDOO.....Je ni kweli
 
Niliwah kuambiwa kuwa hata MAGEREZA kuna KIKOSI CHA MAKOMANDOO.....Je ni kweli
soma juu hapo kwa mtoka apa ameelezea vizuri mpk makomandoo wa magereza
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hahahaaaa! kwa Tz walikwepo wengi sana kama akina Power Seven; Power Mabula; Power Musoma; Power Six e.t.c hawa walikuwa na uwezo wa Kugongelea misumari kwenye mbao (Siyo ile mbao iliyomchapa Ndala) kwa kutumia kiganja, Mawe makubwa kuvunjwa vifuani mwao kwa kutumia nyundo kubwa, kuzuia pikipiki kwenda kwa kutumia kamba inayoshikiliwa na meno, magari ya tani tatu na nusu kupita juu ya vifua vyao bila kuleta madhara, kuchemsha chai kwenye kichwa cha mtu....walikuwa na matendo mengi ya kustaajabisha....

Ukivunja tofali kwa ngumi we nkomandoo kwa Tz
 
Back
Top Bottom