Komandoo ni Cheo au ni mtu wa namna gani?

Komandoo ni Cheo au ni mtu wa namna gani?

Wakuu,habari za mihangaiko ya kutafuta ridhiki?Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu mtu anae itwa komando.Je,ni cheo? ni uwezo wa Siha au utimamu wa mwili ulio pita kiasi cha uvumilivu?Wana patikanaje katika ngazi ya jeshi?.Nchi kama Tanzania ina kadiriwa kuwa na makomandoo wangapi?

Nitashukuru sana nikipatiwa ufafanuzi huo
*Anaerukaruka,,kupiga push up,,kukanyaga moto,,,kulalia misumari,,,kunjiwa matofali kifuani,,,na mwisho kutoa heshima kwa mkuu wa kaya mr sizonje ktk sherehe za muungano,,uhuru,,
 
wanajeshi wanaoenda congo au sudan kumbe ni makomandoo asante mkuu nilikua sijui
Wale Sio Komando kama wapo huwa wachache sana... Majority ni askari wa kawaida tu..
 
hawawezi kujitokeza kuja kujibu maana tayari kuna Uzi wa kuwadhalilisha ulianzishwa baada tu ya ile show yao pale viwanja vya jamuhuri.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu usiweke kinyongo ss wote ni waTz
 
Wakuu,habari za mihangaiko ya kutafuta ridhiki?Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu mtu anae itwa komando.Je,ni cheo? ni uwezo wa Siha au utimamu wa mwili ulio pita kiasi cha uvumilivu?Wana patikanaje katika ngazi ya jeshi?.Nchi kama Tanzania ina kadiriwa kuwa na makomandoo wangapi?

Nitashukuru sana nikipatiwa ufafanuzi huo
Commando ni level fulani katika mafunzo maalum(ni special force ndani ya jesh la wananchi, half commando anawekewa bawa moja la ndege tai then full commando anawekewa nembo ya ndege tai mzima) .
 
Huna haja ya kuwatafuta makomandoo feki wanaosifiwa bila kuwa na chochote cha maana walichokifanya. Google umsome Otto Skorzerny huyo ndiye baba of modern commandos. Alikuwa ni Kanali ktk jeshi la Ujerumani wakati wa WWII. Moja kati ya kazi zake kubwa alizowahi kuzifanya ni kumkomboa Mussolini aliyekuwa kwenye kizuizi chenye ulinzi mkali bila kufyatua hata risasi moja. Wengine hawa unaowaona ni wacheza karate tu hamna lolote.
 
Commando ni level fulani katika mafunzo maalum(ni special force ndani ya jesh la wananchi, half commando anawekewa bawa moja la ndege tai then full commando anawekewa nembo ya ndege tai mzima) .

Mkuu naomba kueleweshwa. Hawa wanaowekewa bawa la ndege siyo askari wa kikosi cha anga?
 
Komandoo ni mtu aliyepitia kozi maalumu ya mafunzo ya kijeshi.
Kozi hiyo hufanyika baada ya askari kupitia mafunzo ya kozi ya awali(Recruits training schoo au RTS).

RTS kwa sasa ni RTS Oljoro na RTS Msata(Kihangaiko), ile RTS ya Makutupola Dodoma ilishasitishwa.

Baada ya RTS ndio baadhi ya askari huchaguliwa kwenda kujifunza mafunzo maalumu ya ukomandoo(kwa ufupi hawa ndo high level trained soldiers), kozi yao ni 92KJ Ngerengere hapo Morogoro.

Sitaki swali zaidi ya hapo.
khaaaaa wewe ni SOJA wa UKWELI[emoji61]
 
Back
Top Bottom