Yiyu Sheping
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 1,720
- 850
Wewe Mchina hatuwezi kukupa siri za nchi! [emoji2] [emoji2]
iyo wote mkuu,sema kila alowatukana ni pumbavu zakeMmetutukana sana pumbavu zenu
NIMEPENDA AVATAR YAKO!Cyo cheo
Bora umeruhusu kuuliza maswaliSio kila special force ni komandoo.
Special force ni watu maalumu waliobobea katika jambo flani, ambapo wao ndio huhitajika kwa ajili ya kukabiliana na tukio lolote linalohusiana na eneo ambalo wao ni wataalamu.
Kwa mfano FFU ni special force kwa polisi kazi yao ni kutuliza ghasia( Field Force Unit).
Magereza wana special force( wanaita special task force au kikosi maalumu cha kutuliza ghasia magerezani-KMKGM).
Jwtz ndio kuna Komandoo ambao ni special task force kwa ajili ya vita nchi mbali mbali (wanaenda missions pia), kwa ufupi komandoo ndio wanajeshi waliopitia mafunzo ya hali ya juu zaidi kuzidi wanajeshi wa kawaida, nao pia wamegawanyika kuna waliojikita katika ukomandoo wa majini(Navy), kuna ambao ni ni wataalamu wa angani na pia kuna wataalamu wa vita ya ardhini lakini wote ni komandoo, kiufupi wao ndio hujifunza karibia kila kitu kuhusu vita na defence.
Kwa sababu ya kuwepo kwa viwango tofauti tofauti vya elimu kuna komandoo ni askari wa kawaida(private mpaka warranty officers) pia kuna maafisa ni komandoo(Luteni usu mpaka Luteni General au hata General kabisa)
Kama hujaelewa uliza mkuu
wanajeshi wanaoenda congo au sudan kumbe ni makomandoo asante mkuu nilikua sijuiSio kila special force ni komandoo.
Special force ni watu maalumu waliobobea katika jambo flani, ambapo wao ndio huhitajika kwa ajili ya kukabiliana na tukio lolote linalohusiana na eneo ambalo wao ni wataalamu.
Kwa mfano FFU ni special force kwa polisi kazi yao ni kutuliza ghasia( Field Force Unit).
Magereza wana special force( wanaita special task force au kikosi maalumu cha kutuliza ghasia magerezani-KMKGM).
Jwtz ndio kuna Komandoo ambao ni special task force kwa ajili ya vita nchi mbali mbali (wanaenda missions pia), kwa ufupi komandoo ndio wanajeshi waliopitia mafunzo ya hali ya juu zaidi kuzidi wanajeshi wa kawaida, nao pia wamegawanyika kuna waliojikita katika ukomandoo wa majini(Navy), kuna ambao ni ni wataalamu wa angani na pia kuna wataalamu wa vita ya ardhini lakini wote ni komandoo, kiufupi wao ndio hujifunza karibia kila kitu kuhusu vita na defence.
Kwa sababu ya kuwepo kwa viwango tofauti tofauti vya elimu kuna komandoo ni askari wa kawaida(private mpaka warranty officers) pia kuna maafisa ni komandoo(Luteni usu mpaka Luteni General au hata General kabisa)
Kama hujaelewa uliza mkuu
Ni kitengo nadani ya jeshi kama ilivyo MP(Polisi jeshi), Hospitali, Utamaduni (Kwaya, Bendi, Ngoma n.k) Usafirishaji, Ujenzi na vingine vingi tu vipo kila kimoja na kazi yake. Vingi ya vitengo hivyo huwajumuisha kwenye shughuli maalumu ingawa vingine hufanya shughuli husika kwa muda wote.Wakuu,habari za mihangaiko ya kutafuta ridhiki?Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu mtu anae itwa komando.Je,ni cheo? ni uwezo wa Siha au utimamu wa mwili ulio pita kiasi cha uvumilivu?Wana patikanaje katika ngazi ya jeshi?.Nchi kama Tanzania ina kadiriwa kuwa na makomandoo wangapi?
Nitashukuru sana nikipatiwa ufafanuzi huo
Siyo wote lazima wawe makomandoo. Inategemeana na uhitaji wa ulinzi wenyewe.wanajeshi wanaoenda congo au sudan kumbe ni makomandoo asante mkuu nilikua sijui
Sio wote wanaoenda Congo au Sudan, ni komandoowanajeshi wanaoenda congo au sudan kumbe ni makomandoo asante mkuu nilikua sijui
shukraniSio wote wanaoenda Congo au Sudan, ni komandoo
Siyo wote lazima wawe makomandoo. Inategemeana na uhitaji wa ulinzi wenyewe.
Karibu mama wa Fursashukrani
asante mzee wa fursa nawapenda sana makomandoo nikiskia story najiskia raha sanaKaribu mama wa Fursa
Hata huko kunani kunaloa? Hahaha, kama jibu ndiyo basi karibu PM, hutojutia.asante mzee wa fursa nawapenda sana makomandoo nikiskia story najiskia raha sana
Khaaa mzee wa fursa ww yaan umefika huko habari za makomandoo na hayo mambo wapi na wapiHata huko kunani kunaloa? Hahaha, kama jibu ndiyo basi karibu PM, hutojutia.
soma juu hapo kwa mtoka apa ameelezea vizuri mpk makomandoo wa magerezaNiliwah kuambiwa kuwa hata MAGEREZA kuna KIKOSI CHA MAKOMANDOO.....Je ni kweli
Ukivunja tofali kwa ngumi we nkomandoo kwa Tz
Asante sanasoma juu hapo kwa mtoka apa ameelezea vizuri mpk makomandoo wa magereza