*Anaerukaruka,,kupiga push up,,kukanyaga moto,,,kulalia misumari,,,kunjiwa matofali kifuani,,,na mwisho kutoa heshima kwa mkuu wa kaya mr sizonje ktk sherehe za muungano,,uhuru,,Wakuu,habari za mihangaiko ya kutafuta ridhiki?Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu mtu anae itwa komando.Je,ni cheo? ni uwezo wa Siha au utimamu wa mwili ulio pita kiasi cha uvumilivu?Wana patikanaje katika ngazi ya jeshi?.Nchi kama Tanzania ina kadiriwa kuwa na makomandoo wangapi?
Nitashukuru sana nikipatiwa ufafanuzi huo
Wale Sio Komando kama wapo huwa wachache sana... Majority ni askari wa kawaida tu..wanajeshi wanaoenda congo au sudan kumbe ni makomandoo asante mkuu nilikua sijui
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu usiweke kinyongo ss wote ni waTzhawawezi kujitokeza kuja kujibu maana tayari kuna Uzi wa kuwadhalilisha ulianzishwa baada tu ya ile show yao pale viwanja vya jamuhuri.
Commando ni level fulani katika mafunzo maalum(ni special force ndani ya jesh la wananchi, half commando anawekewa bawa moja la ndege tai then full commando anawekewa nembo ya ndege tai mzima) .Wakuu,habari za mihangaiko ya kutafuta ridhiki?Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu mtu anae itwa komando.Je,ni cheo? ni uwezo wa Siha au utimamu wa mwili ulio pita kiasi cha uvumilivu?Wana patikanaje katika ngazi ya jeshi?.Nchi kama Tanzania ina kadiriwa kuwa na makomandoo wangapi?
Nitashukuru sana nikipatiwa ufafanuzi huo
Commando ni level fulani katika mafunzo maalum(ni special force ndani ya jesh la wananchi, half commando anawekewa bawa moja la ndege tai then full commando anawekewa nembo ya ndege tai mzima) .
Komando haruhusiwi kuingia jfMmetutukana sana pumbavu zenu
AsanteWale Sio Komando kama wapo huwa wachache sana... Majority ni askari wa kawaida tu..
Mawazo yanakupeleka kwenye ma six park nini mkuuasante mzee wa fursa nawapenda sana makomandoo nikiskia story najiskia raha sana
hapana mkuu huwa napenda tu story zinazowahusuMawazo yanakupeleka kwenye ma six park nini mkuu
khaaaaa wewe ni SOJA wa UKWELI[emoji61]Komandoo ni mtu aliyepitia kozi maalumu ya mafunzo ya kijeshi.
Kozi hiyo hufanyika baada ya askari kupitia mafunzo ya kozi ya awali(Recruits training schoo au RTS).
RTS kwa sasa ni RTS Oljoro na RTS Msata(Kihangaiko), ile RTS ya Makutupola Dodoma ilishasitishwa.
Baada ya RTS ndio baadhi ya askari huchaguliwa kwenda kujifunza mafunzo maalumu ya ukomandoo(kwa ufupi hawa ndo high level trained soldiers), kozi yao ni 92KJ Ngerengere hapo Morogoro.
Sitaki swali zaidi ya hapo.
Bawa zao znatofautiana Airforce znakuwa za kudarizi na komando znakuwa za chuma/bati like....Mkuu naomba kueleweshwa. Hawa wanaowekewa bawa la ndege siyo askari wa kikosi cha anga?