Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Watawala wao ndio wanafiki ila raia wa kawaida hawakubali huo ujinga.Waarabu wanafiki sana yaani mauaji yote pale Gaza lakini Bado Wana supply mafuta kwenye meli za kivita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watawala wao ndio wanafiki ila raia wa kawaida hawakubali huo ujinga.Waarabu wanafiki sana yaani mauaji yote pale Gaza lakini Bado Wana supply mafuta kwenye meli za kivita
Ndo hivyo wangegoma kuwauzia mafuta mbona myahudi angekomaWaarabu wanafiki sana yaani mauaji yote pale Gaza lakini Bado Wana supply mafuta kwenye meli za kivita
Iran na Yemen ndio wanaume wa kweli waliobaki Middle East ...Komandoo wa Iran wameikamata meli ya Falme za Kiarabu iliyokua inapeleka Mafuta na gas kwenye meli za Kivita za Israel. Wakati huo huo Yemen wamesema watakilipua kisima Cha mafuta Cha Israel kilichopo baharini
[emoji298]️BREAKING
Iranian commandos seized a UAE-run vessel carrying marine gas oil for Israeli warships - Fars News..
Yemeni armed forces are seriously considering strikes against Israel's vital infrastructure, including offshore gas fields - Yemen's Almasirah
View attachment 3049515View attachment 3049520
Iran aachwe aendelee kutenda haki safi sanaWajinga acheni ujinga Nchi zenu zitageuzwa Majivu watu wana mabomu makubwa sana.. Hasara watapata kubwa mno sometime kuna wakati wanajiona wako sawa wakati hata sindano nchi zao haziwezi kutengeneza... wana import tu.. Israel ikiamua kuwawekea siege Yemen watapata shida and Iran ananuna ugomvi anaowasakizia waarabu wajinga wajinga.. Yetu macho.
And Bila Kusahau News Ikiletwa na Fanatic Muslim.. wana JF itilieni Shaka lazima itakuwa imejaa Uongo... i can prove it to the below Source.
Iran’s Islamic Revolution Guards Corps (IRGC) Navy has confiscated a tanker carrying a huge amount of smuggled fuel in the Persian Gulf waters.
All 12 crew members with Indian and Sri Lankan nationalities were also arrested.
The second naval zone of the IRGC said in a statement on Monday that the vessel with the flag of Togo was carrying over 1.5 million liters of smuggled fuel.
The Belt Guse tanker was seized off the coast of the southern port city of Bushehr. It was smuggling fuel in an “organized way.”
Late in January, the IRGC Navy also confiscated a foreign tanker carrying two million liters of smuggled fuel in the southern waters.
Iran’s IRGC seizes foreign vessel transporting smuggled fuel
The vessel was seized in accordance with a court order off the coast of the southern port city of Bushehr.
The IRGC Navy has been using state-of-the-art detection tools over recent years to monitor all movements in the Persian Gulf and maintain the security of the marine route.
It has over the past years foiled several attacks on both Iranian and foreign tankers in the strategic Persian Gulf region and other high seas.
Hizi Meli zipo miaka yote even Iran anazo meli kama hizi za magendo kazitumia sana alipowekewa vikwazo kuuza mafuta yake
Uharo mtupu.Wajinga acheni ujinga Nchi zenu zitageuzwa Majivu watu wana mabomu makubwa sana.. Hasara watapata kubwa mno sometime kuna wakati wanajiona wako sawa wakati hata sindano nchi zao haziwezi kutengeneza... wana import tu.. Israel ikiamua kuwawekea siege Yemen watapata shida and Iran ananuna ugomvi anaowasakizia waarabu wajinga wajinga.. Yetu macho.
And Bila Kusahau News Ikiletwa na Fanatic Muslim.. wana JF itilieni Shaka lazima itakuwa imejaa Uongo... i can prove it to the below Source.
Iran’s Islamic Revolution Guards Corps (IRGC) Navy has confiscated a tanker carrying a huge amount of smuggled fuel in the Persian Gulf waters.
All 12 crew members with Indian and Sri Lankan nationalities were also arrested.
The second naval zone of the IRGC said in a statement on Monday that the vessel with the flag of Togo was carrying over 1.5 million liters of smuggled fuel.
The Belt Guse tanker was seized off the coast of the southern port city of Bushehr. It was smuggling fuel in an “organized way.”
Late in January, the IRGC Navy also confiscated a foreign tanker carrying two million liters of smuggled fuel in the southern waters.
Iran’s IRGC seizes foreign vessel transporting smuggled fuel
The vessel was seized in accordance with a court order off the coast of the southern port city of Bushehr.
The IRGC Navy has been using state-of-the-art detection tools over recent years to monitor all movements in the Persian Gulf and maintain the security of the marine route.
It has over the past years foiled several attacks on both Iranian and foreign tankers in the strategic Persian Gulf region and other high seas.
Hizi Meli zipo miaka yote even Iran anazo meli kama hizi za magendo kazitumia sana alipowekewa vikwazo kuuza mafuta yake
Wayahudi wa jf hamujawazoea tu hao watuAjabu Sana.
Mleta mada kaweka source ya taarifa yake. Umavyosema umuamini kwani yeye ndio source ya taarifa hiyo?
Hahaha wewe Semenya acha vituko. Sisi wayahudi wa bonyokwa hatuamini hizi habari. 😅🤣🤣Ngoja wayahudi wa Mbagala maji Matitu waje Kutoa povu.
Siyo wanafiki wanatafuta baraka kwa lazima. Ukiibariki Israel UTABARIKIWA ukiilani Israel UTALAANIWA. Maneno ya Mungu mwenyewe. Angalia tu Yemen na Gaza ile ni laana.Waarabu wanafiki sana yaani mauaji yote pale Gaza lakini Bado Wana supply mafuta kwenye meli za kivita
Siyo wanafiki wanatafuta baraka kwa lazima. Ukiibariki Israel UTABARIKIWA ukiilani Israel UTALAANIWA. Maneno ya Mungu mwenyewe. Angalia tu Yemen na Gaza ile ni laana.
Adiosamigo adriz Jagina mjingamimi hydroxo inamankusweke
Wale sio Israel na hawana Uisrael bali ni Mayahadi yaliyo laaniwa , Uisrael ni wanajiita tu lakini sio haki Yao kujiita Israel.Siyo wanafiki wanatafuta baraka kwa lazima. Ukiibariki Israel UTABARIKIWA ukiilani Israel UTALAANIWA. Maneno ya Mungu mwenyewe. Angalia tu Yemen na Gaza ile ni laana.
Adiosamigo adriz Jagina mjingamimi hydroxo inamankusweke
Hujui chochote wewe. Baraka iko waziwazi lakini hamtaki kuichangamkia. Shauri zenu endeleeni kuilaani taifa teule takatifu muendelee kulaaniwa hadi mwisho.Wacha kumpakazia Mungu hayo maneno , lete ushahidi wapi aliyasema ?? Na kama alisema, aliisemea nchi au kabila ?? Maana Israeli ilianza 1948 baada ya uvamizi wa wazungu waliojiita waisraeli.
Kama aliisemea nchi , unatuambia Mungu alibariki mashoga ??
View attachment 3049938
Huyo alieonyesha kidole kimoja ndio komando wa Iran au?Komandoo wa Iran wameikamata meli ya Falme za Kiarabu iliyokua inapeleka Mafuta na gas kwenye meli za Kivita za Israel. Wakati huo huo Yemen wamesema watakilipua kisima Cha mafuta Cha Israel kilichopo baharini
⚡️BREAKING
Iranian commandos seized a UAE-run vessel carrying marine gas oil for Israeli warships - Fars News..
Yemeni armed forces are seriously considering strikes against Israel's vital infrastructure, including offshore gas fields - Yemen's Almasirah
View attachment 3049515View attachment 3049520
Hujui chochote wewe. Baraka iko waziwazi lakini hamtaki kuichangamkia. Shauri zenu endeleeni kuilaani taifa teule takatifu muendelee kulaaniwa hadi mwisho.
Usimsahau Syria na Lebanon.Iran na Yemen ndio wanaume wa kweli waliobaki Middle East ...
Wengine wote ni Mchele mchele wakiongozwa na Saudia.
Hao UAE inasemekana zile ndege za Israel zingine zimetokea pale, wengine wanasema Egypt na Saud Arabia, UK na US ndio wamepiga Yemen sio Israel, yule Israel ni show off tu.⚡️BREAKING:
According to reports, the UAE-run vessel seized by the IRGC navy was carrying marine gas oil for Israeli warships.
Hebu nipe QUOTE kwenye bibilia inasema ukilibariki taifa la Israel utabarikiwa, hivi kuna bibilia ilitoka toleo la 1948.Siyo wanafiki wanatafuta baraka kwa lazima. Ukiibariki Israel UTABARIKIWA ukiilani Israel UTALAANIWA. Maneno ya Mungu mwenyewe. Angalia tu Yemen na Gaza ile ni laana.
Adiosamigo adriz Jagina mjingamimi hydroxo inamankusweke
Wewe mleta uzi kama una mihemko ya kidiniKomandoo wa Iran wameikamata meli ya Falme za Kiarabu iliyokua inapeleka Mafuta na gas kwenye meli za Kivita za Israel. Wakati huo huo Yemen wamesema watakilipua kisima Cha mafuta Cha Israel kilichopo baharini
[emoji298]️BREAKING
Iranian commandos seized a UAE-run vessel carrying marine gas oil for Israeli warships - Fars News..
Yemeni armed forces are seriously considering strikes against Israel's vital infrastructure, including offshore gas fields - Yemen's Almasirah
View attachment 3049515View attachment 3049520