- Thread starter
- #41
Wizi wa EPA na Ufisadi ni wa kisayansi zaidi si wa kutumia mabavu wala nguvu.Polisi, TAKUKURU na mahakama vinatosha sana kukiwa na dhamira ya dhati ya mkuu wa nchi
Tatizo tulilonalo ni kuzoeleka kwa rushwa ambayo imezaa ufisadi kiasi kuwa kila mfanyakazi anatamani kupata nafasi .Ukiona mtu anapiga kelele ya mafisadi hajapata mwanya
Makomandoo hawatumiwi kwenye kazi nyepesi za kiintelijensia?


