Komandoo wa Tanzania wana kazi gani?

Komandoo wa Tanzania wana kazi gani?

makomando watu, kazi yake anayeijua ni pk na banda wa malawi, tusingekuwa na jeshi imara,choko choko zao unaona zilipoishia? Ukiwa umekaa nyumbani huwezi jua kitu kinachoendelea,pia kumbuka kazi yao kubwa ni kulinda mipaka ya nchi yetu.
 
makomando watu, kazi yake anayeijua ni pk na banda wa malawi, tusingekuwa na jeshi imara,choko choko zao unaona zilipoishia? Ukiwa umekaa nyumbani huwezi jua kitu kinachoendelea,pia kumbuka kazi yao kubwa ni kulinda mipaka ya nchi yetu.

Hatuna jeshi imara wewe tumebaki na majigambo jeshini ma spy kibao wamepenyezwa na nchi jirani ndio maana wanakuwa na kiburi cha kututukana wazi wazi jeshi letu limejaa ufisadi dhuluma na undugu ndio style ya vyombo vya usalama tz siku hiZi nenda polisi TISS nk kote kuko hovyo
 
Macomandoo kwanini wasitumike hata mle benki kuu kuzuia wizi kama wa Epa?au TRA kuzuia mambo ya ufisadi.

Makomandoo wa tanzania wanatumia nguvu nyingi akili kidogo.. wamefundishwa kupasua mbao na matofali.. sasa kule benki wizi ni wa akili nyingi nguvu kidogo.. makomando hawawezi kuzuia akili nyingi zinazotumiaka kama wizi wa EPA
 
Makomandoo wa tanzania wanatumia nguvu nyingi akili kidogo.. wamefundishwa kupasua mbao na matofali.. sasa kule benki wizi ni wa akili nyingi nguvu kidogo.. makomando hawawezi kuzuia akili nyingi zinazotumiaka kama wizi wa EPA

Alafu tumebaki kukaririshwa eti tuna jeshi zuri mara tuna usalama wa taifa mzuri yoote hayo tanakaririshwa tu yale ya miaka ya sabini enzi za nyerere but in reality sisi ni vilaza namba moja EA
1.mfano tungekuwa na vyombo vizuri vya ulinzi na usalama kusinge kuwa na wizi wa mabilion ya shilingi benki kuu,taasisi za serikali na mashirika ya umma
2.jeshi la polisi na usalama wa taifa wasingekuwa mstari wa mbele kujuhusisha na siasa tena kwa kuibeba ccm na maovu yake
3.wangekuwa imara tusingeona wezi wa mabilion wanatamba mtaani
Halafu tumebaki kujisifu sifu kijinga hapa et watatu afrika mara sijui wanne ------- wazungu kila siku wanatoroka na matofali ya dhahabu migodini huko
 
Neno Special Forces lina maana ya "kipekee".. kuna mgawanyo wa kimajukumu kwenye utendaji popote pale.. Ili komandoo afuzu the last exercise tunaitaga Plane drop.. au kuruka na mwamvuli lazima awe paratrooper sasa ukipiga mchanganuo mzima wa kumtrain mtu mmoja unakuja kwenye cost ya kama million 100 na una watrain 200 kwa mwaka halaf una wapeleka wakakimbize wezi mtaani wakat kuna Polisi, vijana wa Ulinzi Shirikishi & other vigillante groups..
 
Neno Special Forces lina maana ya "kipekee".. kuna mgawanyo wa kimajukumu kwenye utendaji popote pale.. Ili komandoo afuzu the last exercise tunaitaga Plane drop.. au kuruka na mwamvuli lazima awe paratrooper sasa ukipiga mchanganuo mzima wa kumtrain mtu mmoja unakuja kwenye cost ya kama million 100 na una watrain 200 kwa mwaka halaf una wapeleka wakakimbize wezi mtaani wakat kuna Polisi, vijana wa Ulinzi Shirikishi & other vigillante groups..

All that we have are those who could do high jumping? Well training specialized soldiers is damnly expensive as you say. Lakini mtoa thread naona hajui matumizi ya hawa jamaa. Anataka nao wawe wanaongoza foleni mjini kama trafiki labda ataridhika.!!! Ninachojua training zao zinaenda zaidi ya paratrooping...ndio maana Israel kuna wale jamaa wanaitwa Sarayet Metkebal, USA Navy Seals, UK wapo SAS....they handle more than working behind enemy lines
 
Makomandoo wa tanzania wanatumia nguvu nyingi akili kidogo.. wamefundishwa kupasua mbao na matofali.. sasa kule benki wizi ni wa akili nyingi nguvu kidogo.. makomando hawawezi kuzuia akili nyingi zinazotumiaka kama wizi wa EPA

Si kweli mkuu...in the military parade that ia how they display their skills...Angalia Russians Spetsnaz wanafanya nini kwenye public displays wanazofanya...no difference with ours
 
Ni kufanya maonyesho kwenye sherehe za kitaifa?

Hawa komandoo wanaifanyia nini Tanzania kwa wakati huu ambao nchi ina amani (haina vita)?

Kila uchao benki zinavamiwa. Polisi wanapata taarifa kwamba majambazi wanasilaha. Wanapotezea. Komandoo hawawezi kutumika kwenye mazingira haya?

Wizi wa uporaji magari na fedha za wafanyabiashara unafanyika kila kona. Komandoo hawawezi kutumika hata kuwakimbiza, kama Polisi wanaogopa?

Wanyamapori kama vile Tembo wanauawa sana. Serikali inapeleka "mgambo" kwa jina la askari wa kulinda wanyama pori. Kwanini komandoo wasitumike?

Ajali za baharini zinatokea. Wanaanchiwa wavuvi kusaidia uokozi. Kwanini komandoo wasitumike, wakati wao wamepata mafunzo ya juu kabisa ya usalama na uokoaji?

Au kazi yao ni kutumika kwenye vikosi vya umoja wa mataifa tu?

unawaongelea makomando gani?? kwani Tanzania tuna makomandoo wawili,
KOMANDOO HAMZA KALALA na
KOMANDOO JIDE
 
Makomando wetu wamekuwa wajasiriamali, wanatafuta pembe za ndovu kila kukicha..
 
Ni kufanya maonyesho kwenye sherehe za kitaifa?

Hawa komandoo wanaifanyia nini Tanzania kwa wakati huu ambao nchi ina amani (haina vita)?

Kila uchao benki zinavamiwa. Polisi wanapata taarifa kwamba majambazi wanasilaha. Wanapotezea. Komandoo hawawezi kutumika kwenye mazingira haya?

Wizi wa uporaji magari na fedha za wafanyabiashara unafanyika kila kona. Komandoo hawawezi kutumika hata kuwakimbiza, kama Polisi wanaogopa?

Wanyamapori kama vile Tembo wanauawa sana. Serikali inapeleka "mgambo" kwa jina la askari wa kulinda wanyama pori. Kwanini komandoo wasitumike?

Ajali za baharini zinatokea. Wanaanchiwa wavuvi kusaidia uokozi. Kwanini komandoo wasitumike, wakati wao wamepata mafunzo ya juu kabisa ya usalama na uokoaji?

Au kazi yao ni kutumika kwenye vikosi vya umoja wa mataifa tu?

Very low thinking.
 
Very low thinking.

Mkuu Schiendler,Bigup sana kwa comment yako.Inasikitisha mtu anaandika vitu asivyokuwa na uelewa navyo.Mbaya sana kwa mtu kuhukumu kwa kitu usichokijua.Acheni kudharirisha hao jamaa.Laiti kama mngalijua japo kidogo tu umuhimu na thamani ya hao jamaa kwa nchi,wala msingalitoa hizo comment huko juu.
 
Ukamandoo jeshini ni kipaji ambacho ni wachache sana huweza mafunzo yake yanyohusu matumizi ya mwili na silaha. Kwa mfano makomandoo wa marekani wanaojulikana kama SEAL ni wachache sana ukilinganisha na jeshi lote la Marekani. Watu hawa si wa kupigana vita ya kawaida tu, bali hutumika katika operationsmaalum zinazohitaji vipaji vya hali ya juu sana kuhus matumizi ya mwili na silaha; kwa mfano operation inayotakiwa imalizike kwa muda mfupi kwa ushindi.

Operesheni hizo huwa siyo lazima ziwe za kivita: Marekani wameatumia SEALs katika kuwakamata wauza madawa ya kulevya, kwa mfano kumakamata Manuel Noriega. Kwa hiyo matumizi ya makomandoo ni unlimited, siyo vita conventional tu, bali vita yoyote inayolihusu taifa. Kwa wenzetu Marekani kuna makomandoo wa aina mbili; wale wanaohusu matukio ya nje ya nchi, ambao ndio SEALs na wale wanaohusu matukio ndani ya nchi ambao hujulikana kama SWAT.

Kosa la mtoa mada ni kudhani kuwa makomandoo wanaweza kwenda kulinda au kupambana, hapana wao ni kwa ajili ya ya kukamilisha operation iliyokwisha pangwa. Kuzuia wizi wa benki haiwezi kuwa kazi ya makomandoo kwa vile wizi huo hutokea ghafla bila kuwepo kwa taarifa zozote za kuweka mkakati wa mapambano; usidhani kuwa makomandooo wana miili ya chuma, hapana, sifa yao kubwa ni kuwa wana ubongo unaofikiria haraka sana wakati wa operesheni, na miili yao inaweza ku-react haraka sana tena kwa nguvu sana wakati huo.

Nadhani kosa linakuwa ni kwa upande wa watu wetu wa usalama wa taifa kushindwa kujua mipango ya ujambazi kabla haujatokea. CIA ndiyo hutoa taarifa zinazosaidia SEALS kupanga mpango wa mashambulizi. Kwetu sisi USALAMA wa taifa wanafanya kazi ya kung'oa watu meno kwa bisibisi lakini hawajui taarifa za uwezekano wa kutokea kwa ujambazi.
Kwa bisibisi hahaha
 
makomando watu, kazi yake anayeijua ni pk na banda wa malawi, tusingekuwa na jeshi imara,choko choko zao unaona zilipoishia? Ukiwa umekaa nyumbani huwezi jua kitu kinachoendelea,pia kumbuka kazi yao kubwa ni kulinda mipaka ya nchi yetu.
Hivi lile dege lililoiba wanyama wetu lilipita kwenye mipaka yetu au walibaki kwenye anga la kimataifa halafu wakatuibia kwa bluetooth??! Hao walinzi wa mipaka walikuwa wameenda likizo wote?!
 
Kijeshi mlinzi wa kwanza ni MUNGU

MLINZI WA PILI NI KOMANDOO

HAWA NI KIKOSI MBADALA / CHA ZIADA
 
Ukamandoo jeshini ni kipaji ambacho ni wachache sana huweza mafunzo yake yanyohusu matumizi ya mwili na silaha. Kwa mfano makomandoo wa marekani wanaojulikana kama SEAL ni wachache sana ukilinganisha na jeshi lote la Marekani. Watu hawa si wa kupigana vita ya kawaida tu, bali hutumika katika operationsmaalum zinazohitaji vipaji vya hali ya juu sana kuhus matumizi ya mwili na silaha; kwa mfano operation inayotakiwa imalizike kwa muda mfupi kwa ushindi.

Operesheni hizo huwa siyo lazima ziwe za kivita: Marekani wameatumia SEALs katika kuwakamata wauza madawa ya kulevya, kwa mfano kumakamata Manuel Noriega. Kwa hiyo matumizi ya makomandoo ni unlimited, siyo vita conventional tu, bali vita yoyote inayolihusu taifa. Kwa wenzetu Marekani kuna makomandoo wa aina mbili; wale wanaohusu matukio ya nje ya nchi, ambao ndio SEALs na wale wanaohusu matukio ndani ya nchi ambao hujulikana kama SWAT.

Kosa la mtoa mada ni kudhani kuwa makomandoo wanaweza kwenda kulinda au kupambana, hapana wao ni kwa ajili ya ya kukamilisha operation iliyokwisha pangwa. Kuzuia wizi wa benki haiwezi kuwa kazi ya makomandoo kwa vile wizi huo hutokea ghafla bila kuwepo kwa taarifa zozote za kuweka mkakati wa mapambano; usidhani kuwa makomandooo wana miili ya chuma, hapana, sifa yao kubwa ni kuwa wana ubongo unaofikiria haraka sana wakati wa operesheni, na miili yao inaweza ku-react haraka sana tena kwa nguvu sana wakati huo.

Nadhani kosa linakuwa ni kwa upande wa watu wetu wa usalama wa taifa kushindwa kujua mipango ya ujambazi kabla haujatokea. CIA ndiyo hutoa taarifa zinazosaidia SEALS kupanga mpango wa mashambulizi. Kwetu sisi USALAMA wa taifa wanafanya kazi ya kung'oa watu meno kwa bisibisi lakini hawajui taarifa za uwezekano wa kutokea kwa ujambazi.

Mkuu asante sana ,na hili ndilo wanalo liweza kwa asilimia 100%..
 
Mleta mada, kwanza naamini unalipenda na kuliheshimu Jeshi letu la Wananchi wa Tanzania (JWTZ). Hili ni Jeshi la kupigiwa mfano, ukiacha zile dosari ndogo ndogo za hapa na pale; tena zinazofanywa na wachache.

Huwezi kujua kazi ya Komando au askari yeyote wa JWTZ hadi pale utakapokuwa eneo la kazi zao. Mambo mengi yanayofanywa na Watanzania hatuna budi kutambua na kuheshimu kwamba wanaofanya tuwe hivi ni wanajeshi wetu shupavu.

Wakati sisi tukipata moja baridi na moja moto, tukijirusha na miziki ya kizazi kipya, au tukistarehe na wapenzi wetu-JWTZ kwa ujumla wao wako kazini! Mara zote wamekataa kwa tahadhari na weledi wa hali ya juu wakiwa tayari kukabiliana na adui (siyo vibaka wa ndani). Unapoona ndege zinaruka na nyingine zikitua, ujue ni kwa sababu JWTZ wanatekeleza wajibu wao vizuri.

Masuala ya kuwapo vibaka ni kushindwa kazi kwa Polisi na wengine wa aina yao! Komando hawezi kwenda Temeke kusaka Mbwa Mwitu! Hiyo si saizi yao.

Nihitimishe kwa kusema kazi ya JWTZ utaijua pale utakapokuwa karibu na kazi zao! Mtoa mada ukiweza, omba siku moja au mbili uwe kule Kasulu au Ngara mpakani uone wanaume wanavyohangaika kulinda hii nyumba inayoitwa Tanzania na wenye nyumba wanaoitwa "Watanzania". Tena basi, wenye magari wawe na huruma. Wasiwapite barabarani. Wawape lifti! Hili ni Jeshi letu. Tunapaswa kujivunia hiki chombo!

Hongereni sana JWT
Pamoja sana mkuu wengine huwa hawaelewi
 
Mleta mada, kwanza naamini unalipenda na kuliheshimu Jeshi letu la Wananchi wa Tanzania (JWTZ). Hili ni Jeshi la kupigiwa mfano, ukiacha zile dosari ndogo ndogo za hapa na pale; tena zinazofanywa na wachache.

Huwezi kujua kazi ya Komando au askari yeyote wa JWTZ hadi pale utakapokuwa eneo la kazi zao. Mambo mengi yanayofanywa na Watanzania hatuna budi kutambua na kuheshimu kwamba wanaofanya tuwe hivi ni wanajeshi wetu shupavu.

Wakati sisi tukipata moja baridi na moja moto, tukijirusha na miziki ya kizazi kipya, au tukistarehe na wapenzi wetu-JWTZ kwa ujumla wao wako kazini! Mara zote wamekataa kwa tahadhari na weledi wa hali ya juu wakiwa tayari kukabiliana na adui (siyo vibaka wa ndani). Unapoona ndege zinaruka na nyingine zikitua, ujue ni kwa sababu JWTZ wanatekeleza wajibu wao vizuri.

Masuala ya kuwapo vibaka ni kushindwa kazi kwa Polisi na wengine wa aina yao! Komando hawezi kwenda Temeke kusaka Mbwa Mwitu! Hiyo si saizi yao.

Nihitimishe kwa kusema kazi ya JWTZ utaijua pale utakapokuwa karibu na kazi zao! Mtoa mada ukiweza, omba siku moja au mbili uwe kule Kasulu au Ngara mpakani uone wanaume wanavyohangaika kulinda hii nyumba inayoitwa Tanzania na wenye nyumba wanaoitwa "Watanzania". Tena basi, wenye magari wawe na huruma. Wasiwapite barabarani. Wawape lifti! Hili ni Jeshi letu. Tunapaswa kujivunia hiki chombo!

Hongereni sana JWT
Pamoja sana mkuu wengine huwa hawaelewi
 
Back
Top Bottom