stars 0 rwanda 2 ,,dakika ya 13 kipindi cha kwanza.teeeeeh nawadanganya
Mungu ibariki tanzania,
mungu ibariki taifa stars,
unibariki na mimi na mazimo pia.
Kitu ambacho naona Tanzania wanacho kwa sana ni nguvu, wanatumia mabavu katika defense sijui kama wataruhusu kufungika kirahisi
lol lugha gonganaMazimo ndiyo nani?
Sasa tunaelekea pabaya...
Sasa tunaelekea pabaya...