Kilakshari
JF-Expert Member
- Dec 13, 2008
- 350
- 20
aaaaghh rwanda bana...mnaafanyaje mpaka hawa wanafunga goli...kabeni sana bana sie tupate cha kupiga fitna...
soma post # 105, kabla hujauliza tena, its 2-1
Mkuu, wewe ni mnyarwanda?
mi mkwere pyuwa...kweti ni kule msoga..ila siipendi starz ....
mi mkwere pyuwa...kweti ni kule msoga..ila siipendi starz ....
Unatoka sehemu moja na mkulu hahahaha ndo maana wapenda mambo yaleeeeeeeeeeeeeeee!
Kipa wa Rwanda kama shoga eehhh...anapoteza muda kijinga ....!
Kipa wa Rwanda kama shoga eehhh...anapoteza muda kijinga ....!
kumbe mashoga huwa wanapoteza muda!
teh teh ....mtuache watoto wa kikwere bana...acha tubembee kwa raha zetu..mtajuaje na sisi tulitoa rais katika njii hii
teeeeeh......