Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

eeeeeeeeh kidedea ehhhhh kidedeaa AMAVUBI oyeeeeeeee.....
 
Mkuu,

Haya ndo nilikuwa nayasema, naangalia sasa online imenibidi tu.

Hili goli nashindwa kuelezea yani huyu kipa ana mafunzo kweli? utadhani
yupo kwenye kinesi cup aaaghrrr.....

nini Kinesi..mbuzi cup...mi nataka tupigwe matatu kama arsenal VS Chelsea..teh ..samahani lakini
 
teeeeh mie natia tia ubani tufungwe nipige fitna kutwa kuchaaaaaa mpaka aondoke

Tatizo yule mcheza sinema (maximo) wetu haingii humu JF, wala Tenga na wenzao!!!

Fitna za soka bongo si mtandaoni, ni kariakoo na tandika
 
Tatizo yule mcheza sinema (maximo) wetu haingii humu JF, wala Tenga na wenzao!!!

Fitna za soka bongo si mtandaoni, ni kariakoo na tandika

safari hii asituchanganye kabisa...hivi kumfukuza wanaogopa nini?mi ntaanzisha kampeni ya kuzomea Taifa starz mpaka aondoke..sijui wakija akina Drogba itakuwaje maana tunaweza bugizwa magoli mpaka basi...
 
Mkuu,

Kipa kilaza tu, afadhali ya Kaseja tu hahahaha

kipa eti anacheza soka la kulipwa msumbiji..si wangesema tu anacheza soka Namtumbo...hahaaaaaa ...kaseja akishangilia wanamlaumu,sasa magoli kama hayo kwa nini mtu asicheke na kushangilia
 
refa maliza mpiraaaaaaa giza limeanza tunakaa mbali sie..maliza mpira bana sie tunataka kuanza fitna leo
 
Yaani kampeni za Kumzoea Maximo zitamkimbiza tu popote kwenye public ni zomea zomea!
 
nini Kinesi..mbuzi cup...mi nataka tupigwe matatu kama arsenal VS Chelsea..teh ..samahani lakini


Mkuu, unanizidishia maradhi....acha bwana... Sina raha kabisa kwa jinsi
ninavyoipenda nchi yangu.....( Maximo Mhhh sijui)
 
Dakika ya 76 inakwenda hiyo, uwezekano wa kurudisha unazidi kuwa mdogo
 
Back
Top Bottom