Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hii balaa
Mkuu,
Haya ndo nilikuwa nayasema, naangalia sasa online imenibidi tu.
Hili goli nashindwa kuelezea yani huyu kipa ana mafunzo kweli? utadhani
yupo kwenye kinesi cup aaaghrrr.....
teeeeh mie natia tia ubani tufungwe nipige fitna kutwa kuchaaaaaa mpaka aondoke
Mchezaji mpya GASA? ama unamaana Jakaya Mrisho Ngasa?
huyu kipa ndio katolewa wapi vile? naona mpira sijui umemteleza pale au ndio ubovu wake?
Masanilo unatafuta kwenda Jela...ooohhhh...kama namuona mtoto wa kikwere anakumbuka bembea tehhh ...
Mkuu,Invisible alisema kipa mzuri! Balatanda upo?
asante sana mkuu manake unatuwezesha kuona tatizo liko wapi kwa kocha au wachezaji lool.hays ndugu zangu mliokuwa kwenye mtandao sasa ingia kwenye website ifuatayo kuangalia mpira...have been searching for past 45 minutes and atlast nimefanikiwa...
http://www.justin.tv/p2p1003
Tatizo yule mcheza sinema (maximo) wetu haingii humu JF, wala Tenga na wenzao!!!
Fitna za soka bongo si mtandaoni, ni kariakoo na tandika
Tunaelekea dakika ya 72dkk ya ngapi hii?
simba kipa wetu sio ndio mnamfanyia unafiki wa kuapata namba ha ha ha.Labda Simba!
Mkuu,
Kipa kilaza tu, afadhali ya Kaseja tu hahahaha
nini Kinesi..mbuzi cup...mi nataka tupigwe matatu kama arsenal VS Chelsea..teh ..samahani lakini