Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

Mkuu,

Kipa kilaza tu, afadhali ya Kaseja tu hahahaha

Invisible, naomba nikupinge, kipa ni mzuri sana, ukumbuke hata schmeikel alikuwa anafungwa hivyo hivyo, lilr goli ni kubwa na pressure ni juu, lazmq mqmbo kqmq yale yatokee mara chache

amecheza vizuri sna na defenders wake leo
 
Nimekubaliana na watanzania wezangu kwamba kazi ya
maximo imetosha.....


Na aende akacheze samba.... Upuuzi mtupu...
 
MTM vipi ?nipe matokeo TV yangu chenga tupu..kuna jipya starz wamesawazisha nini
 
teh teh .....Maximo kocha wa mpira au alikuwa mwalimu wa GIM??teh
 
teh teh ...mi nataka refa amalize mpira bana...mi nimechoka kuangalia nataka niende kucheza pool T Garden Sinza

Safi,

hazira zangi ntakumalizia wewe, dr na wengine wote hapo T garden kwa
kukupiga white wash.
 
Mpira ni kitu cha ajabu sana...

Rwanda 2 - 1 Tanzania

Dakika ya 81 inakwenda hiyo.

Let's hope kuna chochote kinaweza kutokea na Tanzania ikajiokoa katika kitanzi hiki
 
aaaaghh rwanda bana...mnaafanyaje mpaka hawa wanafunga goli...kabeni sana bana sie tupate cha kupiga fitna...
 
Back
Top Bottom