Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 24
Exaud,
Nasikitika kuikosa mechi yetu lakini sasa natazama hii inayoendelea kupitia Super Sport 3.
Bao ni moja bila RWANDA 0 - ZIMBABWE 1
Pole sana Bantu kuikosa mechi iliyotangulia.
Atakayeshinda hapa atacheza na Taifa stars nusu fainali siyo?.