Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

Yanga oyeeeeeeeeeeeeee!

Yanga oyeee wapi? Primier Legue au Challenge Cup? Au YAnga ndop inawakilisha TZ kwenye Challenge Cup? Huyo Ngassa anayefagiliwa Kili Stars mbona huko Yanga hajafanya cha maana? Hii ni Kili Star na hata mapande anayopata Ngasa na kufumania nyavu mengi yanatoka kiwa wachezaji ambao hawako naye Yanga.
 
Yanga oyeee wapi? Primier Legue au Challenge Cup? Au YAnga ndop inawakilisha TZ kwenye Challenge Cup? Huyo Ngassa anayefagiliwa Kili Stars mbona huko Yanga hajafanya cha maana? Hii ni Kili Star na hata mapande anayopata Ngasa na kufumania nyavu mengi yanatoka kiwa wachezaji ambao hawako naye Yanga.

Heri ya Mgosi sijui anagoli ngapi challenge! Kwa kukusaidia Yanga ndiye muwakilishi wa bara challenge 2009
 
Nakujua mazee wewe ni friends of Simba! Mnanunua marefarii.....mnahonga wachezaji pinzani janja yenu twajua....simba haina mchango kwenye stars....

MAsa acha unazi, kuna mfadhili mwenye pesa katika soka kama Fisadi Manji? HAdi amegundua kuwa kuwa pale YAnga ni kama anatupa pesa ****** na ameamuru ripoti ya fedha itolewe kila mwezi.

Nasikia Madega anataka kugombea Ubunge mwakani hivi pesa za kugombea huo Ubunge amepata wapi?
 
MAsa acha unazi, kuna mfadhili mwenye pesa katika soka kama Fisadi Manji? HAdi amegundua kuwa kuwa pale YAnga ni kama anatupa pesa ****** na ameamuru ripoti ya fedha itolewe kila mwezi.

Nasikia Madega anataka kugombea Ubunge mwakani hivi pesa za kugombea huo Ubunge amepata wapi?

Mkuu umetoka nje ya topic....siwezi kukujibu! samahani sana
 
Madega ni mwanasheria wa kujitegemea ana firm yake anapractise mambo ya uwakili na anabiashara zake kibao! kwahiyo suala la Ubunge halihusiani na Yanga.
 
Nasikia mpaka sasa Stars wanaongoza kwa 4 bila ni kweli???
 
Huyo Mgosi ni Joka la kibisa sijui kwa nn Maximo iwa anamwita au ndo maswala ya nidhamu?
Mkuu ukweli utabaki pale pale Yanga ndo imeing'alisha hiyo Kili lasivyo angeng'ang'ania hao waSimba tungekuwa tumesha fungasha vilago long time.


Wewe unachekesha sana. Kwani Simba si ndio kiboko yenu? Au umesahau? Kuifunga timu kama Eritrea sio kigezo kaka. Mbona Stars ilipocheza na Uganda huyo Ngassa hakuwa lolote kwa akina Joseph Owino wa The Cranes? Bila shaka hilo jina bado unalikumbuka. Ha ha ha ha.
 
MAsa acha unazi, kuna mfadhili mwenye pesa katika soka kama Fisadi Manji? HAdi amegundua kuwa kuwa pale YAnga ni kama anatupa pesa ****** na ameamuru ripoti ya fedha itolewe kila mwezi.

Nasikia Madega anataka kugombea Ubunge mwakani hivi pesa za kugombea huo Ubunge amepata wapi?

Aaaaah,mkuu mbona unaanza kwenda nje ya mada??,hapa twazungumzia Siposis ooh sorry sports,mambo ya siasa sijui ubunge sijui ufisadi yana pahala pake..Hapa tumzungumzie Goal getter Ngasa na Kili Boyz basi...Pamo jah
 
Duh hatari sana! hiii. Eritrea wamesawazisha na ktk matuta wamepata 4 kili staz 2 tumetolewa wandugu balaaa tupu!!
 
Duh hatari sana! hiii. Eritrea wamesawazisha na ktk matuta wamepata 4 kili staz 2 tumetolewa wandugu balaaa tupu!!

You're trying to look down the barrel of a gun! watch out alligator
 
Wewe unachekesha sana. Kwani Simba si ndio kiboko yenu? Au umesahau? Kuifunga timu kama Eritrea sio kigezo kaka. Mbona Stars ilipocheza na Uganda huyo Ngassa hakuwa lolote kwa akina Joseph Owino wa The Cranes? Bila shaka hilo jina bado unalikumbuka. Ha ha ha ha.
Wape donge hawa Makandambili....walilala na ghafla wameamka leo...Tusubiri mechi ijayo....Suala ya Mgosi, si ndio mbabe wenu kuwatungua....shangilieni tuu na ndio mtakuwa wa kwanza kumtupia lawama maximo akichemsha semi-final...hii ndiyo taabu ya usabiki kwenye mtantau....
 
Duh hatari sana! hiii. Eritrea wamesawazisha na ktk matuta wamepata 4 kili staz 2 tumetolewa wandugu balaaa tupu!!

Mbona mnatuchanganya sasa...Acheni utani bana,aaaaaaaaaaargh!!!!!!!!!
 
Hahahaha mpwa bana mm nilikuwa nakula live kwa radio vp ulikuwa Titanic nn mpwa? hahahaha tayari umesha tia nanga duh. Hawa wa zenji wanaimarika kila kukicha


haha meli haizami ile mpwa..nilikuwa nakulalive TBC1 kwa hiyonimeona staili zote pale

Mrisho Ngassa ndo shujaa wa mechi leo! Pamoja na Fusso Nsajigwa kama sikosei manake jamaa anapanda sana


sasa hawa jamaa wa simba wanasemaje hapa?
 
haha meli haizami ile mpwa..nilikuwa nakulalive TBC1 kwa hiyonimeona staili zote pale

Mrisho Ngassa ndo shujaa wa mechi leo! Pamoja na Fusso Nsajigwa kama sikosei manake jamaa anapanda sana


sasa hawa jamaa wa simba wanasemaje hapa?

Friends of Simba.....bunch of looser hawapo challenji kupenyeza ndululu!
 
Back
Top Bottom