Kombe la dunia linafikia tamati jumapili, Mwarabu ameshindwa kujisafisha duniani

Kombe la dunia linafikia tamati jumapili, Mwarabu ameshindwa kujisafisha duniani

Weka chuki pembeni ili ueleze vizuri.
Malengo ya Qatar ambayo hayajatimia ni kujisafisha au kupiga pesa?

Watu hawaamin Kama uarabuni ni sehem salama kuishi wakat Zaid ya nusu ya watu Qatar , na UAE yote ni wageni?

Waarabu sio watu wa mpira kivip wakat Wana Benzema, Hakimi, Mo Salah n.k
Tanzania inaweza kuifunga timu gan ya taifa la kiarabu?

Hiv wamiliki wa PSG na Man City ni Wangoni?
Eti ni wangoni hahaha

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
South africa ya wapi iyo isije kuwa unazungumzia yemen kule waarabu wanaokufa na njaa kwa kukosa chakula

Km ni south africa viwanja vyote vinajulikana na ni bora
Nyie hela za kutupa hamna na kuandaa kombe la dunia hamuwezi.

Afrika Kusini ni special case ile nchi ilijengwa na wazungu na sasa inaharibiwa na Waaafrika weusi ndiyo maana Wazungu wenyewe kina Elon wanakimbia kila mwaka hadi iwe shithole kama majirani zake wa Zimbabwe

 
Aliisifu katar kwasababu kamwaga mapesa

Wenzie wanatumia dola bilion kumi yeye anajimwagia zake dola bilion 220

Bahati nzuri Rais wa fifa aliyepita alikiri hadharani kuwa hata mchakato wa katar kupata nafasi ilikuwa ni mchezo mchafu walimwaga mapesa
Bila pesa mwarabu anakuwa km nyumb
Umasikini unakutesa,pole sana,maneno yako yanaonyesha kua umepigika na umekata tamaa kabisa,eti bila pesa! Sasa ni nani ambae bila pesa hua wa maana?
 
South africa ya wapi iyo isije kuwa unazungumzia yemen kule waarabu wanaokufa na njaa kwa kukosa chakula

Km ni south africa viwanja vyote vinajulikana na ni bora
Uwe unafuatilia habari kuliko kugeuka na kua kituko hapa,tumia simu yako kujua kinacho endelea Duniani.
 
Lakini tukigeukia upande wa pili ni kuwa malengo ya waarabu kuandaa kombe la dunia hayajitimia hata robo
Hujui kitu wewe zaidi ya habari za kufikirika za uchawi na ushirikina,haya mambo waachie wajuzi,wewe endelea kuwachota akili watu kua eti wakichoma chumvi watatoa mikosi na kua matajiri,uwezo wako uliishiaga hapo tu.
 
Hizi hasira zote kisa Qatar alipiga marufuku machoko,hizi ni propaganda tu zinaendeshwa na westerners dhidi ya Qatar ila watawapa watu kama nyie tu.
 
Waarabu wametumia dollar bilon 220 jiandae kombe la dunia hii haijawahi kutokea duniani

Ila upate picha halisi ni kuwa Brazil alitumia dola bilion 10 kuandaa kombe la dunia h2014

Russia alitumia dola bilion 13

Na wachumi wanasema mpaka kumalizika kombe la dunia katar wataingiza dola bilion 70 pungufu ya dola bilion 140

Katari ni mzalishaji mkubwa wa gesi na mafuta linaweza isiwe tatizo kwao kiuchumi

Lakini tukigeukia upande wa pili ni kuwa malengo ya waarabu kuandaa kombe la dunia hayajitimia hata robo

Watu bado wanaawaangalia waarabu km magaidi na watu wasiojitambua

Dunia bado inaiangalia mashariki ya kati km sehemu isiyo salama kuishi

Kauli ya mchezaji wa kiarabu ilienda kuharibu taswira yote ya mashindano hili jambo lilipelekea waarabu waendelee kuoneka ni wabuguzi, roho mbaya wasio na utu

Kunyanyaswa na kudhulumiwa wafanyakazi waliokuwa wanaajiriwa kujenga miondombinu ya viwanja,wengi wa watu hawa walikuwa wanatoka nchi za pekstan, india na kwingineko Wafanyakazi wengi walifariki wakiwa kazini ila walitelekezwa.

Baada ya kombe la dunia vile viwanja vitakuwa magofu kwasababu waarabu sio watu wa mpira tofauti na nchi za mpira baada ya mashindano ya kombe la dunia kuisha viwanja hukodishwa au kuuzwa kwa vilabu vikubwa km bayern munich kule ujerumani au urusi na brazil au kule afrika kusini

Itoshe kusema waarabu walikuwa wana pesa ila walikosa akili na mikakati na watu intelligence kwenye football

Tuwaombe Saud arabia wakipata nafasi siku zijazo wasirudie makosa haya
Hivi ndani ya ulimwengu huu kuna jamii inayo dharaulika na kuonekana ya hovyo zaidi ya jamii ya kiafrika?
 
Huna akili , Arsenal imeweka kambi inchi ya kiarabu kujiandaa na mechi zake za ligi hata kabla ya Kombe la Dunia klabu kubwa zilikuwa zinaweka kambi inchi za kiarabu ..
 
Acha kufananisha Qatar na vtu vya kijinga , Kwanza majamaa hawana maswala ya michezo ndo mana viwanja karbia vyote wamejenga na wanavunja , hap Brazil au Russia , viwanja vilikuwepo na facilities nyingi zipo , ndo mana wametumia kidog , Qatar wameandaa kama ukarimu tuu wala hawahitaji faida , hata hotel nyingi ni temporary , wanamaliza wanavunja wanaendelea na mambo Yao , wamewakarimu tuuu alaf unaanza kuwananga hapa , na nyie andaeni sasa kama hamjapasuka kundule
Kundule🤣🤣🤣🤣
 
Waliokwenda Qatar kuona World cup wameisifu Qatar,Rais wa FIFA ameisifu Qatar,
Wewe uliyepo huko Nanjilinji huna hata umeme ili uangalie mechi eti unaiponda Qatar!! Una fikra za kimasikini sana.
nilibahatika kufika Doha Qatar ni pazuri kuliko ulaya magorofa yenye urefu wa kutisha yamejaa. Ni mji msafi kuliko ulaya ambako nimeishi sana, ni pazuri haswa!

Bustani za kupumzika watu ziko katikati ya barabara zikiwa chini ya vivuli vya miti ya mitende, watunza bustani by the name of Allah niliona ni wahindi, wachina na wakorea!!huku bongo hao ni wawekezaji!


Hotel kali inaitwa Retaj ni balaa tupu kama unataka kujua dunia ni tajiri na dunia ina warembo kalale pale. Tv ya chumbani ni nusu ya ukuta mmoja!

ila kuna joto si la kuweza kuelezea! Hewa inayopuliza nje ni ya moto! Mgeni huwezi kukaa nje!
 
Weka chuki pembeni ili ueleze vizuri.
Malengo ya Qatar ambayo hayajatimia ni kujisafisha au kupiga pesa?

Watu hawaamin Kama uarabuni ni sehem salama kuishi wakat Zaid ya nusu ya watu Qatar , na UAE yote ni wageni?

Waarabu sio watu wa mpira kivip wakat Wana Benzema, Hakimi, Mo Salah n.k
Tanzania inaweza kuifunga timu gan ya taifa la kiarabu?

Hiv wamiliki wa PSG na Man City ni Wangoni?
Wangoni tena wa mpitimbi 😂😂😂
 
Back
Top Bottom