Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Naona mnatiana ndimu tu. πππUmefafanua vizuri sana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mnatiana ndimu tu. πππUmefafanua vizuri sana mkuu
Kwani nyie mnadharura gani msipeleke kikosi kamili maana ligi imesimamishwa kwa ajili hiyoNaona mnatiana ndimu tu. πππ
Maamuzi ya Kocha siku zote ni vyema yaheshimiwe Ses.Kwani nyie mnadharura gani msipeleke kikosi kamili maana ligi imesimamishwa kwa ajili hiyo
Nikionacho ni kwamba mnatafuta sababu mtakapopokea kichapo kama cha jana mseme mlipeleka watoto
Mnamshangilia huyo kocha leo angalia kesho usiwe wa mwanzo kumpopoa mawe mambo yatakapo anza kwenda kombo, na hilo halipo mbali ujue Shadeeya !Maamuzi ya Kocha siku zote ni vyema yaheshimiwe Ses.
Unajua kuna wakati si lazima Match Fitness kucheza na timu kubwa, ijapokuwa kuna wakati inabidi..Mmh. Sasa hiyo Match fitness ndio mnaitafuta kwa wale midebwedo Mkuu? Mbona kama sio kiwango sahihi?
Hiyo ni kawaida Ses kwa Klabu zetu za kitanzania na ndio Sababu hata nyie mlipofungwa na mbao mashabiki walimpiga sana manara na chupa za maji na kuona madevu hafai.Mnamshangilia huyo kocha leo angalia kesho usiwe wa mwanzo kumpopoa mawe mambo yatakapo anza kwenda kombo, na hilo halipo mbali ujue Shadeeya !
Oooh. Sawa Mtani. Nimekuelewa Sasa.Unajua kuna wakati si lazima Match Fitness kubabiliana na timu kubwa, ijapokuwa kuna wakati inabidi..
Hii ya Simba inasaidia kukuepusha na kupata injury kwa wachezaji endapo unakabiliwa na mechi ngumu
Ni kama Pre Season, Klabu kubwa Ulaya kama Man Utd, Real Madrid hujitupa Uchina ama Uarabuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa sawa bana, haya sasa tusubiri mechi ya KMKM, hilo la kuwarushia chupa za maji makocha hatuchekaniHiyo ni kawaida Ses kwa Klabu zetu za kitanzania na ndio Sababu hata nyie mlipofungwa na mbao mashabiki walimpiga sana manara na chupa za maji na kuona madevu hafai.
Yanga walicheza na KVZ, kuweka Kumbukumbu sawa!
Maelezo uliyopewa ni ya kitaalamu sanaOooh. Sawa Mtani. Nimekuelewa Sasa.
Hivyo hamna haja na hiyo M.10 si eti? ππ
Mie asubuhi cha kwanza humu. Umeonaeee ndio zetu hizo. Tunapenda matokeo mazuri kila siku sa sijui yale mabaya yawe ya kina nani.Hahahaaa sawa bana, haya sasa tusubiri mechi ya KMKM, hilo la kuwarushia chupa za maji makocha hatuchekani
Aya ya mwisho, duuuuh!!!Yaani una smartphone halafu hujui matokeo yalikuwaje. Bando unalo google Mkuu.
Na huo ufikirishi uko wapi au kisa wote mnaokutana nao ni kina Mdebwedo?
Matokeo mabaya tunaamini wanastahili kina Ruvu Shooting na Masao Bwire waoπππMie asubuhi cha kwanza humu. Umeonaeee ndio zetu hizo. Tunapenda matokeo mazuri kila siku sa sijui yale mabaya yawe ya kina nani.
π€£π€£π€£ Pole jamaani.
First eleven ya yanga ilipigwa 4-0 na azam mapinduzi cup, yanga b kapigwa tatu.ZFA wangewaalika pia Green Warriors na Mashujaa ya Kigoma kushiriki kombe hili la Mapinduzi 2019. Tungeona mechi nzuri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewaaaa. Na wale wa madaftari wale Alliance. π€£π€£π€£Matokeo mabaya tunaamini wanastahili kina Ruvu Shooting na Masao Bwire waoπππ
Kocha na mfadhili ZaheraMaamuzi ya Kocha siku zote ni vyema yaheshimiwe Ses.
ππ kwa hali tuliyonayo tunayapokea maneno yenu yote huku tunasonga mbele.Kocha na mfadhili Zahera