Kombe la mapinduzi kwanini penati waliyopewa simba kwa Azam haikuwa sawa?

Kombe la mapinduzi kwanini penati waliyopewa simba kwa Azam haikuwa sawa?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Dhamira ya mchezaji sakho kwa kipa wa Azam haikuwa Safi. Kama kigonya asingejilinda kwa mguu wake huenda Leo hii angekuwa Yuko mortuary. Speed ya sakho kuelekea kwa kipa ilikuwa kubwa sana hata pale alipoona kipa ameshaudaka mpira.

Alidhamiria kwenda kugongana na kipa hata kama mpira uko mikononi mwa kipa tayari. Kwakuwa sakho alikuwa Yuko kwenye apeed kubwa kuelekea kwa kipa aliyesimama it is obvious that kipa ndiye alingeuiwa kwenye hatari zaidi ya kuumia kuliko mshambuliaji.

Bahati mbaya waamuzi wameiona zaidi Dhamira ya kipa dhidi ya mshambuliaji kuliliko ile dhamira ovu ya mshambuliaji dhidi ya kipa.

Tunabenana hata kwenye mashineano ya hivi?
 
Yuko sawa kivipi? Kwani sakho alitaka akimbie hadi wapi wakati tayari Alisha karibia kipa ambae tayari ameudaka mpira? Ni kitu gani ambacho kingemzuia kigonya asigongwe na sakho pale?
Sasa ule mguu aliunyanyua vipi?,maanake yy Kipa ndiye aliye mfuata Sakho na Sakho hakuwa na lengo kabisa ya kucheza rafu.
 
Yuko sawa kivipi? Kwani sakho alitaka akimbie hadi wapi wakati tayari Alisha karibia kipa ambae tayari ameudaka mpira? Ni kitu gani ambacho kingemzuia kigonya asigongwe na sakho pale?
Kwani aliyepiga penati ya mwisho ya Utopolo kwenda Azam alitaka mpira ukaishie wapi maana huko alipouelekeza hapakuwa na nyavu.

Ukipata jibu la hapo ndiposa utajua POS alitapotaka kuelekea na kusimama
 
Kwahiyo angemwacha sakho amgonge? ALICHOKIFANYA KIGONYA KWA SAKHO NI NATURAL REFLEX TU KWA KILA KIUNGO CHA MWILI KUUEPUKA KUUMIZWA.MACHO, MIKONO NA MIGUU INATABIA YA KURESPOND HARAKA KAMA KUNA MOVEMENT AMBAZO NI HATARI KUELEKEA KWAKE.
ahsante tuweke ushabiksai pembeni yule kipa alizingua,dk zile halafu anafanya ujinga ule,aliicost azam
He
 
'Speed Ya Sakho Kuelekea Kwa Kipa ndio inayoonesha Sakho alikuwa na dhamira mbaya dhidi ya Kipa'...!

Ama Kweli Utopolo mnajua Jinsi ya Ku ' figure out' tukio mnataka Kiendane na mnavyotaka iwe.

Hamna namna Mapnduzi Cup 2022 Imeisha...! Ukitaka Kujiuliza tena ilikuwaje kuwaje ? basi jiandae Kwa 2023..!
 
Kwahiyo angemwacha sakho amgonge? ALICHOKIFANYA KIGONYA KWA SAKHO NI NATURAL REFLEX TU KWA KILA KIUNGO CHA MWILI KUUEPUKA KUUMIZWA.MACHO, MIKONO NA MIGUU INATABIA YA KURESPOND HARAKA KAMA KUNA MOVEMENT AMBAZO NI HATARI KUELEKEA KWAKE.

He
kipa alishadaka mpira ,hakukuwa na haja ya kutegesha mguuu, either angemkwepa Sakho na angeguswa Sakho anapata kadi na mpira unapigwa kuelekea upande wa Simba,alishadaka tayari ,mguu ulikuwa wa nini?
 
Mimi Yanga ila yule kipa aliharibu ile mechi kwa kucheza rafu ya kipuuzi, refa mwengine pale anatoa tuta na kadi nyekundu.
Ile kitu ilikuwa ipo wazi no complication ,mpaka unajiuliza yule kipa kwanini alifanya vile ,maana mpira anao tayari halafu akamwekea mguu mtu anayekuja
 
Ile kitu ilikuwa ipo wazi no complication ,mpaka unajiuliza yule kipa kwanini alifanya vile ,maana mpira anao tayari halafu akamwekea mguu mtu anayekuja
Mimi baada ya lile tuta ni kaondoka zangu Nyumbani. Yaani kipa kutoka nje ila anatabia za wacheza ndondo wa mitaani.
 
'Speed Ya Sakho Kuelekea Kwa Kipa ndio inayoonesha Sakho alikuwa na dhamira mbaya dhidi ya Kipa'...!
Ama Kweli Utopolo mnajua Jinsi ya Ku ' figure out' tukio mnataka Kiendane na mnavyotaka iwe.
Hamna namna Mapnduzi Cup 2022 Imeisha...! Ukitaka Kujiuliza tena ilikuwaje kuwaje ? basi jiandae Kwa 2023..!
Kama Sakho ana dhamira ovu niambie wachezaji 5 aliowafanyia foul kwa mechi alizocheza,halafu uniambie pia kafanyiwa foul ngapi kwa mechi hizi 5
 
Back
Top Bottom