Kombe la mapinduzi linathibitisha namna Simba na Yanga zinavyobebwa na waamuzi wa Bara.

Kombe la mapinduzi linathibitisha namna Simba na Yanga zinavyobebwa na waamuzi wa Bara.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Ile haki bin haki inayofanywa na waamuzi wa Zanzibar kwenye kombe la mapinduzi ndio inayokosekaana kwenye ligi ya Bara. Kama refa angetoka Bara Yanga na Simba zingepata matokeo mazuri sana dhidi ya timu ndogo za Zanzibar kwenye mashindano ya mapinduzi.

Mungu awalaani waamuzi na watu wote wanaopanga matokeo kwenye ligi ya Bara, Mungu awape mwisho mbaya wale wote wanaofanya makusudi kupika matokeo. Namuomba MwenyeziMungu baadhi ya adhabu zao ziwe hapahapa duniani ili na sisi tuzione zinavyowatafuna.

Hakuna jambo na dhambi kubwa kama kuipokonya ushindi timu na wachezaji wanaovuja jasho uwanjani, kwenye mazoezi na kwenye kuhudumia timu. Laanatullah
 
Mkuu unaamini hizi timu za Zanzibar zina uwezo wa kuzifunga timu za Simba na Yanga kwenye mashindano serious?! Kama ni maamuzi hata zenyewe huwa zinafanyiwa pia.
 
Ile haki bin haki inayofanywa na waamuzi wa Zanzibar kwenye kombe la mapinduzi ndio inayokosekaana kwenye ligi ya Bara. Kama refa angetoka Bara Yanga na Simba zingepata matokeo mazuri sana dhidi ya timu ndogo za Zanzibar kwenye mashindano ya mapinduzi.

Mungu awalaani waamuzi na watu wote wanaopanga matokeo kwenye ligi ya Bara, Mungu awape mwisho mbaya wale wote wanaofanya makusudi kupika matokeo. Namuomba MwenyeziMungu baadhi ya adhabu zao ziwe hapahapa duniani ili na sisi tuzione zinavyowatafuna.

Hakuna jambo na dhambi kubwa kama kuipokonya ushindi timu na wachezaji wanaovuja jasho uwanjani, kwenye mazoezi na kwenye kuhudumia timu. Laanatullah
Jiandae kurudi shule, bado wiki moja tu.
 
Timu zilizoshiliki mapinduzi cup.

Young Africans
Taifa Jang’ombe
KMKM
Azam FC
Namungo FC,
Yosso Boys
Meli 4 City.
Simba SC ipo
Selem View n
Mlandege FC.

Timu zilizofuzu nusu fainali.
-Simba
-Yanga
-Namungu
-Azam

Hivi mtoa mada unatumia ubongo gani kufikiri? Hizo timu za zanzibar kwenye mashindano ya kimataifa zinafungwa hadi magoli 10 on aggregate. Kwa hiyo hapo hata hizo timu za bara kuingia nusu fainali ni kwa sababu ya marefaree wamewabeba?
 
Mkuu unaamini hizi timu za Zanzibar zina uwezo wa kuzifunga timu za Simba na Yanga kwenye mashindano serious?! Kama ni maamuzi hata zenyewe huwa zinafanyiwa pia.
nahisi hujamuelewa mtoa mada, acha mihemko
 
Timu zilizoshiliki mapinduzi cup.

Young Africans
Taifa Jang’ombe
KMKM
Azam FC
Namungo FC,
Yosso Boys
Meli 4 City.
Simba SC ipo
Selem View n
Mlandege FC.

Timu zilizofuzu nusu fainali.
-Simba
-Yanga
-Namungu
-Azam

Hivi mtoa mada unatumia ubongo gani kufikiri? Hizo timu za zanzibar kwenye mashindano ya kimataifa zinafungwa hadi magoli 10 on aggregate. Kwa hiyo hapo hata hizo timu za bara kuingia nusu fainali ni kwa sababu ya marefaree wamewabeba?
Vizuri umemjibu kwa hoja
 
Unataka hadi bonanza timu zi kaze.Ilo ni bonanza tu.Ata ivyo bado ilo kombe litavuka bahari.sasa sijui point yako ni ipi hapo wakati waamuzi watakua hao hao wa zanzibar.
 
Sijaona uzingatiaji wa haki kwa waamuzi kama anavyodai mtoa mada. Jana yanga kahukumiwa off side mbili au tatu za uongo. Angalia goli la pili la kmkm faulo imepigwa mbele tofauti na eneo yalipofanyika madhambi
 
Hivi n timu gani zile zilifungana 30 kwa 30, jana timu za Zanzibar zimekaza
 
Ile haki bin haki inayofanywa na waamuzi wa Zanzibar kwenye kombe la mapinduzi ndio inayokosekaana kwenye ligi ya Bara. Kama refa angetoka Bara Yanga na Simba zingepata matokeo mazuri sana dhidi ya timu ndogo za Zanzibar kwenye mashindano ya mapinduzi.

Mungu awalaani waamuzi na watu wote wanaopanga matokeo kwenye ligi ya Bara, Mungu awape mwisho mbaya wale wote wanaofanya makusudi kupika matokeo. Namuomba MwenyeziMungu baadhi ya adhabu zao ziwe hapahapa duniani ili na sisi tuzione zinavyowatafuna.

Hakuna jambo na dhambi kubwa kama kuipokonya ushindi timu na wachezaji wanaovuja jasho uwanjani, kwenye mazoezi na kwenye kuhudumia timu. Laanatullah
Akili ya matopeni na uandishi wa michongo
 
Timu zilizoshiliki mapinduzi cup.

Young Africans
Taifa Jang’ombe
KMKM
Azam FC
Namungo FC,
Yosso Boys
Meli 4 City.
Simba SC ipo
Selem View n
Mlandege FC.

Timu zilizofuzu nusu fainali.
-Simba
-Yanga
-Namungu
-Azam

Hivi mtoa mada unatumia ubongo gani kufikiri? Hizo timu za zanzibar kwenye mashindano ya kimataifa zinafungwa hadi magoli 10 on aggregate. Kwa hiyo hapo hata hizo timu za bara kuingia nusu fainali ni kwa sababu ya marefaree wamewabeba?
Sijasema kuwa timu za Zanzibar ni Bora kuliko za Bara, hayo unayasema wewe. Mimi nilichomaanisha ni kuwa hata timu dhaifu kwenye mapinduzi zinafunhwa kihalali na timu kubwa. Timu kubwa hazikupewa ushindi wa michongp. Huku Bara isingewezekana Simba itoke sare na timu kama mlandege, na Yanga na KMKM
 
Back
Top Bottom