Sultan Zuwera
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 246
- 336
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona mods wamenisaidia ku edit mkuu, si unajua u na i zinafatana.soma vizuri mstari kwa mstari ulichoandika mkuu
Hahah! Mkuu hata mim nilitaka kumuuliza hivyohivyo naona hawa chura matopen sports club wanajitoa ufahamKundi??
Halafu vyura ni Yanga au Simba?
Kwani nani yupo matopeni?Yanga.
Lakini chura si anakaa kwenye matope pia?
Wewe sijui unaishi dunia ya wapi mkuu, amka mkuu kumeshakuchaUongo wa mchana!draw za makundi zitapangwa live leo saa moja usiku kupitia supersport live
Wacha ligi ndogo.Uongo wa mchana!draw za makundi zitapangwa live leo saa moja usiku kupitia supersport live
Hahahahahaha uko sahihi mkuu, inategemea na eneo uliko, kijijini kwetu leo ndo wanaangalia nusu fainal ya uefa 2nd leg kati ya beyern na madridUongo wa mchana!draw za makundi zitapangwa live leo saa moja usiku kupitia supersport live
kwa kweli hapa Yanga washindwe wenyewe. mbaya (Mwarabu) ni mmoja tu halafu nadhani atakuwa koko huyu!
Michuano ya nile besin mwaka huu yamefutwa kutokana na ukataHivi ile michuano ya liver nile cup aka Musonye Bonanza cup iliyeyukia wapi? Maana nakumbuka Chura Matopen sports club ilikuwa ashiriki yale mashindano kwa tiketi ya viti maalumu beby
TP mazembe mwaka huu c wazuri sana,Ila kundi B kule wa moto tupuTushindwe wenyewe nusu fainal.
Vyura FC hawapo kombe la shirikisho. Nenda Kariakoo pale mgahawani utawakuta wanakunywa kahawa.Samahani mkuu, hilo kundi mshindi wa nne anaenda next stage? mana hadi hapo vyura fc nafasi ya nne inawahusu.
Vyura hawakai mabondeni siku hizi?Vyura FC hawapo kombe la shirikisho. Nenda Kariakoo pale mgahawani utawakuta wanakunywa kahawa.