Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahaaaa. Lazima wasiamini Swahiba maana walikuwa wanatuchukulia kama wagonjwa mahututi.Upande wa pili jana walikuwa wapole sana, hawakuamini tumewapiga waarabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa. Lazima wasiamini Swahiba maana walikuwa wanatuchukulia kama wagonjwa mahututi.Upande wa pili jana walikuwa wapole sana, hawakuamini tumewapiga waarabu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hakuna wa kuhama hapa Sesten sababu tumepitia hali zote na Yanga yetu.Muhame huko Simba kumenoga😀😀😀
Tupinge. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Tupinge?
Mna mioyo migumu nyie Yanga! 😀😀😀[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hakuna wa kuhama hapa Sesten sababu tumepitia hali zote na Yanga yetu.
Hahah tuliwaambia kuwa "daima mbele nyuma mwiko" ila hawakutaka kuuelewa huu usemiHahaaaa. Lazima wasiamini Swahiba maana walikuwa wanatuchukulia kama wagonjwa mahututi.
😀😀😀, Halafu Waarabu wangetaka kuharibu wangeharibu sema walicheza kwa ku relax.....lile goli lao moja jamaa alivo wachambua utafikiri mtu anachambua Karanga kama anavojisemea Saida KaroliKikosi cha tatu cha USM Algers kile, google muone.
Hahahaaa. Tena kama wa chumaa Sesten. Teh tehMna mioyo migumu nyie Yanga! 😀😀😀
Lete kidole chako cha mkono cha mwisho😛😛Tupinge. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hata kwa dawa, labda timu ife, na hata ikifa bora nishabikie singida utd kuliko simba.Muhame huko Simba kumenoga😀😀😀
Hahahaaa. Inabidi wajilazimishe kuuelewa kwa kweli Swahiba.Hahah tuliwaambia kuwa "daima mbele nyuma mwiko" ila hawakutaka kuuelewa huu usemi
Jifarijini tu mie nawaangalia. Sababu mwisho wa siku itasemekana "😀😀😀, Halafu Waarabu wangetaka kuharibu wangeharibu sema walicheza kwa ku relax.....lile goli lao moja jamaa alivo wachambua utafikiri mtu anachambua Karanga kama anavojisemea Saida Karoli
Nishakileta haya kata. [emoji2] [emoji2] [emoji2]Lete kidole chako cha mkono cha mwisho😛😛
Yaani timu inafanya vibaya kwenye ligi mpo nayo tu, inajitoa CECAFA mmeing'ang'ania, inachezea vichapo mfulilizo Kombe la Shirikisho mnaikumbatia tu! Kwanini kujipa pressure!?Hahahaaa. Tena kama wa chumaa Sesten. Teh teh
😳😳😳😀😀Hata kwa dawa, labda timu ife, na hata ikifa bora nishabikie singida utd kuliko simba.
Akaaaaaa. Hizi sera hizi Sesten muwaambie wale watoto ambao hawajui nini maana ya ushabiki ila kina sie washabiki kindaki ndaki hatuwezi hama hata kwa dawa Sesten.Yaani timu inafanya vibaya kwenye ligi mpo nayo tu, inajitoa CECAFA mmeing'ang'ania, inachezea vichapo mfulilizo Kombe la Shirikisho mnaikumbatia tu! Kwanini kujipa pressure!?
Mngehama kama wale wengine wanaohamaga kutoka sehemu moja kwenda nyingine mje muunge mkono juhudi za Simba, halafu nyie wapya mtakaokuja Simba tutawapa kipaumbele kwenye kuishangilia timu yetu😀😀😀
Hahahaaa. Nishakata tayari. [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kata weye😉😉😛
Mbona umetumvua majicho?😳😳😳😀😀