Hahaaaa. Lazima wasiamini Swahiba maana walikuwa wanatuchukulia kama wagonjwa mahututi.Upande wa pili jana walikuwa wapole sana, hawakuamini tumewapiga waarabu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hakuna wa kuhama hapa Sesten sababu tumepitia hali zote na Yanga yetu.Muhame huko Simba kumenogaπππ
Tupinge. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Tupinge?
Mna mioyo migumu nyie Yanga! πππ[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hakuna wa kuhama hapa Sesten sababu tumepitia hali zote na Yanga yetu.
Hahah tuliwaambia kuwa "daima mbele nyuma mwiko" ila hawakutaka kuuelewa huu usemiHahaaaa. Lazima wasiamini Swahiba maana walikuwa wanatuchukulia kama wagonjwa mahututi.
πππ, Halafu Waarabu wangetaka kuharibu wangeharibu sema walicheza kwa ku relax.....lile goli lao moja jamaa alivo wachambua utafikiri mtu anachambua Karanga kama anavojisemea Saida KaroliKikosi cha tatu cha USM Algers kile, google muone.
Hahahaaa. Tena kama wa chumaa Sesten. Teh tehMna mioyo migumu nyie Yanga! πππ
Lete kidole chako cha mkono cha mwishoππTupinge. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hata kwa dawa, labda timu ife, na hata ikifa bora nishabikie singida utd kuliko simba.Muhame huko Simba kumenogaπππ
Hahahaaa. Inabidi wajilazimishe kuuelewa kwa kweli Swahiba.Hahah tuliwaambia kuwa "daima mbele nyuma mwiko" ila hawakutaka kuuelewa huu usemi
Jifarijini tu mie nawaangalia. Sababu mwisho wa siku itasemekana "πππ, Halafu Waarabu wangetaka kuharibu wangeharibu sema walicheza kwa ku relax.....lile goli lao moja jamaa alivo wachambua utafikiri mtu anachambua Karanga kama anavojisemea Saida Karoli
Nishakileta haya kata. [emoji2] [emoji2] [emoji2]Lete kidole chako cha mkono cha mwishoππ
Yaani timu inafanya vibaya kwenye ligi mpo nayo tu, inajitoa CECAFA mmeing'ang'ania, inachezea vichapo mfulilizo Kombe la Shirikisho mnaikumbatia tu! Kwanini kujipa pressure!?Hahahaaa. Tena kama wa chumaa Sesten. Teh teh
Kata weyeπππNishakileta haya kata. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
π³π³π³ππHata kwa dawa, labda timu ife, na hata ikifa bora nishabikie singida utd kuliko simba.
Akaaaaaa. Hizi sera hizi Sesten muwaambie wale watoto ambao hawajui nini maana ya ushabiki ila kina sie washabiki kindaki ndaki hatuwezi hama hata kwa dawa Sesten.Yaani timu inafanya vibaya kwenye ligi mpo nayo tu, inajitoa CECAFA mmeing'ang'ania, inachezea vichapo mfulilizo Kombe la Shirikisho mnaikumbatia tu! Kwanini kujipa pressure!?
Mngehama kama wale wengine wanaohamaga kutoka sehemu moja kwenda nyingine mje muunge mkono juhudi za Simba, halafu nyie wapya mtakaokuja Simba tutawapa kipaumbele kwenye kuishangilia timu yetuπππ
Hahahaaa. Nishakata tayari. [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kata weyeπππ
Mbona umetumvua majicho?π³π³π³ππ