Kombe la Shirikisho Barani Afrika 'CAF' Azam FC dhidi ya Triangle United, Wazimbabwe Lazima Wakae!

Kombe la Shirikisho Barani Afrika 'CAF' Azam FC dhidi ya Triangle United, Wazimbabwe Lazima Wakae!

Mkuu Pulisic CFC naona akili imerudi baada ya game Zesco, kuna baadhi Gongowazi walijikuta wanashangilia bao la Kamusoko wakidhani bado yupo Yanga[emoji23][emoji23][emoji23]

Karibu kuunga mkono jeshi la Azam FC
 
Azam nataka itolewe ibaki Yanga tu kwenye mechi za kimataifa, azam iungane na ndugu zake simba kwenye ligi ya nyumbani
 
Itolewe Yanga waliodandia Treni kwa msaada wa asante Simba SC na ibaki Azam FC wawakilishi halali kabisa Tanzania..!
Azam nataka itolewe ibaki Yanga tu kwenye mechi za kimataifa, azam iungane na ndugu zake simba kwenye ligi ya nyumbani
 
Kipute kianza kwa mashabulizi, huku Azam FC wakikosa bao la wazi, Chirwa anashindwa kukwamisha wavuni

Azam FC 0-0 Triangle FC
 
17' Azam FC wanapata kona, lakini inakuwa kona isiyozaa matunda
 
25' Bado milango ni migumu kwa pande zote..!
 
30' Faulo kuelekea Triangle FC, Azam FC wanapiga laaaaaaaa, wanakossa
 
34' Gooooaaaaal, Triangle FC wanapata bao kupitia kwa Nahodha Ralph Kawondera

Azam FC 0-1 Triangle FC
 
40' Umaliziaji upande wa Azam FC, bado hajakuwa sawa, wanashindwa kujenga vema mashambulizi
 
Back
Top Bottom