Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
- Thread starter
- #181
Unamsikiliza mropokaji Jerry Muro.Wala sio visingizio Mtani. Mumeonekana huko.
Tuombe uzima tuone yatakayotokea hiyo kesho.
Huyu amekuja kukumalizeni kabisa, mtani hangaikeni kuiandaa timu na kurekebisha mapungufu, huyo anataka kesho mkishinda aonekane ana umuhimu kuliko waliopo.
Sasa hata kama wakipewa fedha na Simba na wao Gwambina uwezo ndogo itakuwaje? Mpira ni sanyansi Shadeeya