Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) Stand United Vs Simba SC, Dimba la Kambarage

Wala sio visingizio Mtani. Mumeonekana huko.

Tuombe uzima tuone yatakayotokea hiyo kesho.
Unamsikiliza mropokaji Jerry Muro.

Huyu amekuja kukumalizeni kabisa, mtani hangaikeni kuiandaa timu na kurekebisha mapungufu, huyo anataka kesho mkishinda aonekane ana umuhimu kuliko waliopo.

Sasa hata kama wakipewa fedha na Simba na wao Gwambina uwezo ndogo itakuwaje? Mpira ni sanyansi Shadeeya
 
Yah leo nina kijinafasi nimeona nije niwachemshe kidogo. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Usijali Mkuu. Ombea tu Umeme kwangu usikatike Mkuu. πŸ™ˆ
mmeshaanza kutafuta sababu tunataka muanzishe uzi na mechi yenu maana mnakuwa baridi ila tukicheza mnajaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…