Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) Stand United Vs Simba SC, Dimba la Kambarage

Nahisi mnaombea Simba atoke ili mjihakikishie nafasi ya kombe la shirikisho.

Leo Gwambina lazima awachezeshe mbina (ngoma)
Yanga kwa Gwambina ni Sawa na Fisi kukabidhiwa Bucha, kesho Kwasukwasu watachezeshwa Nyimbo zote za GAMBOSH
 
80' Free Kick kuelekea Stand Utd, anakwenda kupiga Chamaaaaa, Kona

Kona mbili zimepigwa bila kuzaa bao

Stand United 1-1 Simba SC
 
87' Maulid kwake Abdy Mwete Stand wanapanga mipango kuona namna gani Watapenya ngome ya Simba
 
Cha ajabu leo nyie ndio mumekimbia uzi. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Ushindi upo jamaani.
Sio kweli tupo mkuu ...mbona tunashinda hii game!
Ila natanguliza hongera kwa Stand ,wamejitahidi mziki wa Simba SI wa kitoto!
 
Anakwenda Kwake Kagere eneo la hatari, nafasi kwa Simba anapigaaa lakini golikipa anadaka

Stand United 1-1 Simba SC
 
Simba tunashinda hii mechi tulieni, kama unakunywa soda kunywa kabisa, kama unakunywa bia kunywa tuu wanasimba wenzangu hii mechi tunashinda
 
Hawa lazima watoke, hata kwa mikwaju ya penelti

Simba Nguvu Moja
 
Sijui kama hatufii stendi leo? πŸ€”πŸ€”

πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
90+6'

Kuelekea kukamilika kwa mchezo huu wa ASFC

Anakwenda kwake Kanda, Chama anapigaaa, lakini golikipa anaruka juu nakudaka

Kuna mchezaji wa Stand, yupo chini

Kona kuelekea Stand, inapigwaaaa Simba wanachelewa mpira unatoka nje

Wanakwenda tena Simba, Deo Kandaa kwake Gadiel, unarudishwa nyuma, unapelekwa tena mbelee kwa Ajibuuu, wanapoteza Simba..

Naaaam mpita umekwishaa kwa kukamilika dakika 90 kwa sare ya moja kwa moja.

ASFC, FT: Stand United 1-1 Simba SC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…