Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) Stand United Vs Simba SC, Dimba la Kambarage

Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) Stand United Vs Simba SC, Dimba la Kambarage

50' Dilungaaaaaaa Goooooooooooooooooooaaal

Hassan Dilunga anaipatia Simba SC bao la kwanza kwa mkwaju wa penati kufuatia mchezaji wa Stand Utd kuunawa mpira eneo la kumi na nane

Stand United 0-1 Simba SC
 
Dilungaaaaaaa Goooooooooooooooooooaaal

Hassan Dilunga anaipatia Simba SC bao la kwanza kwa mkwaju wa penati kufuatia mchezaji wa Stand Utd kuunawa mpira eneo la kumi na nane

Stand United 0-1 Simba SC
Simba taifa kubwa.
 
57' Pangapanga anaiga shuti, lakini anababatiza beki ya Simba na kuwa kona

Anapiga konaaaaa, Beno anadaka bila wasiwasi
 
Ishengoma kwake, Maulid, lakini ni faulo kuelekea Stand Utd

Abdy Mwete anaonyeshwa kadi ya njano
 
63' Ametoka Kichuyaa Shiza, na ameingia Deo Kanda upande wa Simba

Stand United 0-1 Simba SC
 
67' Anakwenda Maulid anapigaa krosi..... Goooooal

Makosa ya beki Tairone Santos kumbabatiza mchezaji wa Stand Utd mpira, yaipatia Stand Utd bao kupitia kwa mchezaji Miraji Salehe

Stand United 1-1 Simba SC
 
77' Simba wanajenga mashambulizi kutafuta bao la pili, Dilunga nafasi kwake anapigaaa, lakini mpira unatoka njeeeee

Ametoka Shiboub, ameingia Chama
 
Back
Top Bottom