Kombe la Shirikisho: Welayta Ditcha 1 -0 Yanga SC, Yanga yasonga hatua inayofuta

Hata hizo 300 Sio mbaya
 
Boniphace Bembele Ng'witukom3947 said:
Kanuni za caf zinaturuhusu kushiriki ubingwa tukibeba ubingwa
Ni rahisi Yanga kubeba ubingwa wa VPL kuliko huo.
Njooni mkaze buti lolote linawezekana
 
Hongera sana viongozi wachezaji wanachama wapenzi Na wananchi wote wa Tanzania!mmedhihirisha nyie Ni wa kimataifa!hongera sana!
 
Taifa stars ndio huwa wanawakilisha nchi.ebu niambie kamusoko na tshishimbi walikua wanawakilisha nchi gani pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…