Kombe la Shirikisho: Yanga yaanza vibaya kwa kukubali kufungwa 2 -1 dhidi ya Pyramids ndani ya CCM Kirumba

Kombe la Shirikisho: Yanga yaanza vibaya kwa kukubali kufungwa 2 -1 dhidi ya Pyramids ndani ya CCM Kirumba

Mabingwa wa kihistoria nchini, Dar es Salaam Young Africa al maarufu kwa jina la Yanga wanaingia uwanjani leo kupambana na timu ya soka ya Pyramids ya kutoka nchini Misri katika mechi ya kwanza ya mtoano kutafuta nafasi ya kuingia kwenye hatua ya mtoano kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho.

Kila la heri wawakilishi wetu wa Tanzania.

Kikosi cha Yanga

Farouk Shikalo
Juma Abdul
Ally Mtoni
Kelvin Yondani
Alli Alli
Feisal Salum
Mrisho Ngasa
Makame Rashidi
Sadney Urikhob
Pappy Tshishimbi
Mapinduzi Balama

UPDATES

Mpira umeanza

5" Yanga 0 - 0 Pyramids

10" Ally Mtoni anapiga shuti kali, golikipa wa Pyramids anaokoa

12" Pyramids wanashambulia lango la Yanga

15" Yanga 0 - 0 Pyramids ---- hawa Pyramids ni warefu na wana miili mikubwa kuliko wachezaji wengi wa Yanga

20" Yanga 0 - 0 Pyramids ---- Yanga wanapata foul baada ya Juma Abdul kufanyiwa rafu; Yanga wanapoteza

22" Yanga wanakosa goli hapa, Ally Ally anapiga kichwa ila namna gani anapiga nje

25" Yanga 0 - 0 Pyramids ---- Mrisho Ngasa anapewa kadi ya njano

35" Yanga 0 - 0 Pyramids ----- Pyramids wanakosa goli hapa

40" Yanga 0 - 0 Pyramids

42" Goal; Pyramids wanapata goli la kwanza kupitia kwa Eric Traore

42" Yanga 0 - 1 Pyramids (Eric Traore)
Wnaonyesha Azam kama walivyosema? UTV?
 
viungo wa Yanga kama vya pilau.. Makame alianza vizuri sasa hivi anamwiga Papii. Feisal hajaoneka.. Ule ukuta Ally Ally hayuko makini.
 
Back
Top Bottom