Kombora la Fr. Kitima kwa wanaosifiasifia ujinga

Kombora la Fr. Kitima kwa wanaosifiasifia ujinga

Sijui kwa nini mtu akitoa hoja yenye mantiki, haraka watu wanasema huyo ni CHADEMA! Ina maana kwenye vyama vingine hakuna wenye upeo, hekima na akili?
Kuna uwezekano ccm wanaiogopa sana CHADEMA! Maana ukiwakosoa, au kutofautiana nao kwa hoja! Basi wewe ni CHADEMA!

Ukidai Katiba Mpya ya Wananchi, basi wewe ni CHADEMA! Ukiukosoa utawala wao mbovu, na wa Kisultan! Wewe ni CHADEMA!!
 
Hivi Ikipita siku bila kumtaja huyo mwamba k yako huwa inakuwasha?muache apumzike huko aliko
Alimwambia lissu anamrekodi na Kwenye vita wanajeshi wanajua cha kufanya akamalizia kwà kusema this is government kumbe mungu anayake leo hii lissu mzimaaaaa yeye amelowa amelooowa ameeeloooowa
 
Sijui kwa nini mtu akitoa hoja yenye mantiki, haraka watu wanasema huyo ni CHADEMA! Ina maana kwenye vyama vingine hakuna wenye upeo, hekima na akili?
Ndiyo maana yake, kama huko CCM ndiyo yamejaa mapooza tupu
 
Bila kumtaja magufuli huwezi kunya?

Utafikiri uyo magu bado yupo hai[emoji23][emoji23][emoji23] achana nae mshamba uyo!!!! Alafu hakuna kitu kinanikera kama hii tabia ya sasa kusia sifia mfano juzi mzee makamba mpaka kaongea upuuzi kisa kusifia...!!!
 
Msikilize hapa, Siku maaskofu wamegeuza kibao sijui Bitozo atakimbilia nchi gani.

Kikwete anawajua vizuri sana hawa bwana. bila busara zao na kuwa karibu na pengo Kikwete awamu ya pili asingetoboa Dr Slaa alikuwa kachanja mbunga.

Tatizo jamaa wanaolengwa hapo huwa hawapendi kusikia wakikosolewa kwa namna yeyote ile ! Na ukikosoa unaweza ukashughulikiwa kwa namna watakayoona wao itakunyamazisha !! Nchi imeshaharibiwa hii ni kweli asemavyo Father 🙏🙏👍
 
Sijui kwa nini mtu akitoa hoja yenye mantiki, haraka watu wanasema huyo ni CHADEMA! Ina maana kwenye vyama vingine hakuna wenye upeo, hekima na akili?
Ndipo mahali hii Nchi ilipofikia !!
 
Sijui kwa nini mtu akitoa hoja yenye mantiki, haraka watu wanasema huyo ni CHADEMA! Ina maana kwenye vyama vingine hakuna wenye upeo, hekima na akili?
Watoke wapi.fanya utafiti utagundua.uko kwingine ni mapambio ya kusifu na kuabudu uku ujinga ukitamalaki.
 
Msikilize hapa, Siku maaskofu wamegeuza kibao sijui Bitozo atakimbilia nchi gani.

Kikwete anawajua vizuri sana hawa bwana. bila busara zao na kuwa karibu na pengo Kikwete awamu ya pili asingetoboa Dr Slaa alikuwa kachanja mbunga.

Unfiki wa kisiasa ulikuwepo tangu awamu ya kwanza musizushie kuwa ndiyo umeanza awamu hii.

Nyimbo zilizokuwa zikitungwa awamu ya kwanza ilikuwa kumsifia Mwalimu na mpaka kukawa na msemo 'zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti'.
 
Hii video inabidi iende viral sana na Magufuli ndio alianzisha huu ujinga
Niambie ni kiongozi gani wa dini aliyemsifia Magufuli?, Magufuli aliwachungulia sana hawa viongozi wa dini kuhusu misamaha ya kodi na walimchukua sana.
Yule mwamba alipiga kidole cha kati ndio maana haishi vinywani mwenu
 
Msikilize hapa, Siku maaskofu wamegeuza kibao sijui Bitozo atakimbilia nchi gani.

Kikwete anawajua vizuri sana hawa bwana. bila busara zao na kuwa karibu na pengo Kikwete awamu ya pili asingetoboa Dr Slaa alikuwa kachanja mbunga.

Pengo alishanyooka,, baada ya Awamu ya tano, pengo alitia akili kichwani,,
😂
 
Niambie ni kiongozi gani wa dini aliyemsifia Magufuli?, Magufuli aliwachungulia sana hawa viongozi wa dini kuhusu misamaha ya kodi na walimchukua sana.
Yule mwamba alipiga kidole cha kati ndio maana haishi vinywani mwenu
Magufuli alikua hana mzaha mzaha,, alikua haangalii cha askofu, shehe, au padri,, wote walinyooka kama rula,,
Hapo ndiposa Pengo akaona kumbe udini haulipi🤷🏼‍♂️
 
Utafikiri uyo magu bado yupo hai[emoji23][emoji23][emoji23] achana nae mshamba uyo!!!! Alafu hakuna kitu kinanikera kama hii tabia ya sasa kusia sifia mfano juzi mzee makamba mpaka kaongea upuuzi kisa kusifia...!!!
Yule mzee kavimbiwa kupita kiasi anajibu waandishi wa habari bila adabu utadhani hii nchi ni ya ukoo wake, elimu zero kabsaa.
 
Back
Top Bottom